< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
ADAM, SETH, Enosh;
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Jared;
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoch, Methuselah, Lamech;
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Shem, Ham, and Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
The sons of Japheth: Gomer, and Magog, and Madai, and Javan, and Tubal, and Meshech, and Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
And the sons of Gomer: Ashkenaz, and Diphath, and Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
And the sons of Javan: Elishah, and Tarshish, Kittim, and Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
The sons of Ham: Cush, and Mizraim, Put, and Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
And the sons of Cush: Seba, and Havilah, and Sabta, and Raama, and Sabteca. And the sons of Raama: Sheba, and Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
And Cush begot Nimrod; he began to be a mighty one in the earth.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
And Mizraim begot Ludim, and Anamim, and Lehabim, and Naphtuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
and Pathrusim, and Casluhim — from whence came the Philistines — and Caphtorim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
And Canaan begot Zidon his first-born, and Heth;
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
and the Jebusite, and the Amorite, and the Girgashite;
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
and the Hivite, and the Arkite, and the Sinite;
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
and the Arvadite, and the Zemarite, and the Hamathite.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
The Sons of Shem: Elam, and Asshur, and Arpachshad, and Lud, and Aram, and Uz, and Hul, and Gether, and Meshech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
And Arpachshad begot Shelah, and Shelah begot Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
And unto Eber were born two sons: the name of the one was Peleg; for in his days the earth was divided; and his brother's name was Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
And Joktan begot Almodad, and Sheleph, and Hazarmaveth, and Jerah;
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
and Hadoram, and Uzal, and Diklah;
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
and Ebal, and Abimael, and Sheba;
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
and Ophir, and Havilah, and Jobab. All these were the sons of Joktan.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Shem, Arpachshad, Shelah;
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu;
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Terah;
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram — the same is Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
The sons of Abraham: Isaac, and Ishmael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
These are their generations: the first-born of Ishmael, Nebaioth; then Kedar, and Adbeel, and Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, and Dumah, Massa, Hadad, and Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Naphish, and Kedem. These are the sons of Ishmael.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
And the sons of Keturah, Abraham's concubine: she bore Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah. And the sons of Jokshan: Sheba, and Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
And the sons of Midian: Ephah, and Epher, and Hanoch, and Abida, and Eldaah. All these were the sons of Keturah.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
And Abraham begot Isaac. The sons of Isaac: Esau, and Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
The sons of Esau: Eliphaz, Reuel, and Jeush, and Jalam and Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
The sons of Eliphaz: Teman, and Omar, Zephi, and Gatam, Kenaz, and Timna, and Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
The sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
And the sons of Seir: Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, and Dishon, and Ezer, and Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
And the sons of Lotan: Hori, and Homam; and Timna was Lotan's sister.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
The sons of Shobal: Alian, and Manahath, and Ebal, Shephi, and Onam. And the sons of Zibeon: Aiah, and Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
The sons of Anah: Dishon. And the sons of Dishon: Hamran, and Eshban, and Ithran, and Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
The sons of Ezer: Bilhan, and Zaavan, Jaakan. The sons of Dishan: Uz, and Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Now these are the kings that reigned in the land of Edom, before their reigned any king over the children of Israel: Bela the son of Beor; and the name of his city was Dinhabah.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
And Bela died, and Jobab the son of Zerah of Bozrah reigned in his stead.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
And Jobab died, and Husham of the land of the Temanites reigned in his stead.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
And Husham died, and Hadad the son of Bedad, who smote Midian in the field of Moab, reigned in his stead; and the name of his city was Avith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
And Hadad died, and Samlah of Masrekah reigned in his stead.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
And Samlah died, and Shaul of Rehoboth by the River reigned in his stead.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
And Shaul died, and Baal-hanan the son of Achbor reigned in his stead.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
And Baal-hanan died, and Hadad reigned in his stead; and the name of his city was Pai; and his wife's name was Mehetabel, the daughter of Matred, the daughter of Mezahab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
And Hadad died. And the chiefs of Edom were: the chief of Timna, the chief of Alvah, the chief of Jetheth;
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
the chief of Oholibamah, the chief of Elah, the chief of Pinon;
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
the chief of Kenaz, the chief of Teman, the chief of Mibzar;
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
the chief of Magdiel, the chief of Iram. These are the chiefs of Edom.

< 1 Nyakati 1 >