< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
and Cainan, Maleleel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoch, Mathusala, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noe: the sons of Noe, Sem, Cham, Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
The sons of Japheth, Gamer, Magog, Madaim, Jovan, Helisa, Thobel, Mosoch, and Thiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
And the sons of Gamer, Aschanaz, and Riphath, and Thorgama.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
And the sons of Jovan, Helisa, and Tharsis, the Citians, and Rhodians.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
And the sons of Cham, Chus, and Mesraim, Phud and Chanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
And the sons of Chus, Saba, and Evila, and Sabatha, and Regma, and Sebethaca: and the sons of Regma, Saba, and Dadan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
And Chus begot Nebrod: he began to be a mighty hunter on the earth.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
The sons of Sem, Aelam, and Assur,
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
and Arphaxad, Sala,
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Pheleg, Ragan,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Seruch, Nachor, Tharrha,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abraam.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
And the sons of Abraam, Isaac, and Ismael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
And these [are] their generations: the firstborn of Ismael, Nabaeoth, and Kedar, Nabdeel, Massam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Masma, Iduma, Masse, Chondan, Thaeman,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jettur, Naphes, Kedma: these [are] the sons of Ismael.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
And the sons of Chettura Abraam's concubine: —and she bore him Zembram, Jexan, Madiam, Madam, Sobac, Soe: and the sons of Jexan; Daedan, and Sabai;
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
and the sons of Madiam; Gephar, and Opher, and Enoch, and Abida, and Eldada; all these [were] the sons of Chettura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
And Abraam begot Isaac: and the sons of Isaac [were] Jacob, and Esau.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
The sons of Esau, Eliphaz, and Raguel, and Jeul, and Jeglom, and Core.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
The sons of Eliphaz: Thaeman, and Omar, Sophar, and Gootham, and Kenez, and Thamna, and Amalec.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
And the sons of Raguel, Naches, Zare, Some, and Moze.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
The sons of Seir, Lotan, Sobal, Sebegon, Ana, Deson, Osar, and Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
And the sons of Lotan, Chorri, and Aeman; and the sister of Lotan [was] Thamna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
The sons of Sobal; Alon, Machanath, Taebel, Sophi, and Onan: and the sons of Sebegon; Aeth, and Sonan.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
The sons of Sonan, Daeson: and the sons of Daeson; Emeron, and Asebon, and Jethram, and Charran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
And the sons of Hosar, Balaam, and Zucam, and Acan: the sons of Disan, Os, and Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
And these [are] their kings, Balac the son of Beor; and the name of his city [was] Dennaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
And Balac died, and Jobab the son of Zara of Bosorrha reigned in his stead.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
And Jobab died, and Asom of the land of the Thaemanites reigned in his stead.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
And Asom died, and Adad the son of Barad reigned in his stead, who struck Madiam in the plain of Moab: and the name of his city [was] Gethaim.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
And Adad died, and Sebla of Masecca reigned in his stead.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
And Sebla died, and Saul of Rhoboth by the river reigned in his stead.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
And Saul died, and Balaennor son of Achobor reigned in his stead.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
And Balaennor died, and Adad son of Barad reigned in his stead; and the name of his city [was] Phogor.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
The princes of Edom: prince Thamna, prince Golada, prince Jether,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
prince Elibamas, prince Elas, prince Phinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
prince Kenez, prince Thaeman, prince Babsar, prince Magediel,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
prince Zaphoin. These [are] the princes of Edom.

< 1 Nyakati 1 >