< Wimbo wa Sulemani 3 >

1 Usiku kucha kwenye kitanda changu nilimtafuta yule moyo wangu umpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
Na swoim łożu wśród nocy szukałam tego, którego miłuje moja dusza. Szukałam go, ale go nie znalazłam.
2 Sasa nitaondoka na kuzunguka mjini, katika barabara zake na viwanja; nitamtafuta yule moyo wangu umpendaye. Kwa hiyo nilimtafuta lakini sikumpata.
Wstanę więc już i obiegnę miasto, po ulicach i placach będę szukać tego, którego miłuje moja dusza. Szukałam go, ale nie znalazłam.
3 Walinzi walinikuta walipokuwa wakizunguka mji. Nikawauliza, “Je, mmemwona yule moyo wangu umpendaye?”
Znaleźli mnie strażnicy, którzy obchodzili miasto, i [spytałam]: Widzieliście tego, którego miłuje moja dusza?
4 Kitambo kidogo tu baada ya kuwapita nilimpata yule moyo wangu umpendaye. Nilimshika na sikumwachia aende mpaka nilipomleta katika nyumba ya mama yangu, katika chumba cha yule aliyenichukua mimba.
A gdy ledwie od nich odeszłam, zaraz znalazłam tego, którego miłuje moja dusza. Uchwyciłam go i nie puszczę, aż go wprowadzę do domu mojej matki, do pokoju mojej rodzicielki.
5 Binti za Yerusalemu, ninawaagiza kwa paa na kwa ayala wa shambani: Msichochee wala kuamsha mapenzi hata yatakapotaka yenyewe.
Zaklinam was, córki Jerozolimy, na sarny i łanie polne: Nie budźcie mego umiłowanego i nie przerywajcie [jego] snu, dopóki nie zechce.
6 Ni nani huyu anayekuja kutoka jangwani kama nguzo ya moshi, anayenukia manemane na uvumba iliyotengenezwa kwa vikolezo vyote vya mfanyabiashara?
Kim jest ta, która wyłania się z pustyni jak słupy dymu, owiana wonią mirry i kadzidła oraz wszelkim wonnym proszkiem od kupca?
7 Tazama! Ni gari la Solomoni lisindikizwalo na mashujaa sitini, walio wakuu sana wa Israeli,
Oto łoże Salomona, dokoła którego [stoi] sześćdziesięciu dzielnych wojowników spośród dzielnych Izraela.
8 wote wamevaa panga, wote wazoefu katika vita, kila mmoja na upanga wake pajani, wamejiandaa kwa ajili ya hofu za usiku.
Wszyscy trzymają miecz, wyćwiczeni w boju. Każdy z nich ma swój miecz u boku przez wzgląd na strach nocny.
9 Mfalme Solomoni alijitengenezea gari; alilitengeneza kwa mbao kutoka Lebanoni.
Król Salomon uczynił sobie lektykę z drzewa Libanu.
10 Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha, kitako chake kwa dhahabu. Kiti chake kilipambwa kwa zambarau, gari lake likanakshiwa njumu kwa upendo na binti za Yerusalemu.
Jej słupki uczynił ze srebra, jej pokład ze złota, podniebienie z purpury, a wnętrze wyścielone miłością córek Jerozolimy.
11 Tokeni nje, ninyi binti za Sayuni, mkamtazame Mfalme Solomoni akiwa amevaa taji, taji ambalo mama yake alimvika siku ya arusi yake, siku ambayo moyo wake ulishangilia.
Wyjdźcie, córki Syjonu, i popatrzcie na króla Salomona w koronie, którą ukoronowała go jego matka w dniu jego zaręczyn i w dniu radości jego serca.

< Wimbo wa Sulemani 3 >