< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio bora wa Solomoni.
Pieśń nad pieśniami Salomona.
2 Unibusu kwa busu la kinywa chako, kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.
Niech mnie pocałuje pocałunkami swoich ust. Twoja miłość bowiem jest lepsza od wina.
3 Manukato yako yananukia vizuri, jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa. Ndiyo sababu wanawali wanakupenda!
Z powodu wonności twoich olejków twoje imię [jest jak] rozlany olejek; dlatego miłują cię dziewice.
4 Nichukue twende nawe, na tufanye haraka! Mfalme na anilete ndani ya vyumba vyake. Marafiki Tunakushangilia na kukufurahia, tutasifu upendo wako zaidi kuliko divai. Mpendwa Tazama jinsi ilivyo bora wakupende!
Pociągnij mnie, [a] pobiegniemy za tobą. Król wprowadził mnie [do] swoich komnat. Będziemy się cieszyć i radować tobą, będziemy pamiętać o twojej miłości bardziej niż o winie. Miłują cię prawi.
5 Mimi ni mweusi, lakini napendeza, enyi binti za Yerusalemu, mweusi kama mahema ya Kedari, kama mapazia ya hema la Solomoni.
Czarna jestem, ale piękna, o córki Jerozolimy, jak namioty Kedaru, jak zasłony Salomona.
6 Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu nimefanywa mweusi na jua. Wana wa mama yangu walinikasirikia na kunifanya niwe mtunza mashamba ya mizabibu. Shamba langu mwenyewe la mizabibu nimeliacha.
Nie patrzcie na mnie, że jestem czarna, gdyż słońce mnie opaliło. Synowie mojej matki rozgniewali się na mnie, postawili mnie na straży winnic; a mojej własnej winnicy nie ustrzegłam.
7 Niambie, wewe ambaye ninakupenda, unalisha wapi kundi lako la kondoo na ni wapi unapowapumzisha kondoo wako adhuhuri. Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefunikwa shela karibu na makundi ya rafiki zako?
Powiedz mi [ty], którego miłuje moja dusza, gdzie wypasasz, gdzie dajesz swojej [trzodzie] odpocząć w południe. Czemu bowiem mam być jak błądząca przy trzodach twoich towarzyszy?
8 Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote, fuata nyayo za kondoo, na kulisha wana-mbuzi wako karibu na hema za wachungaji.
Jeśli nie wiesz, najpiękniejsza wśród kobiet, to idź śladem trzody i paś swoje koźlątka przy szałasach pasterzy.
9 Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike aliyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.
Przyrównam cię, moja umiłowana, do zaprzęgu rydwanów faraona.
10 Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli, shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.
Twoje lica są piękne, ozdobione klejnotami, [a] twoja szyja – łańcuchami.
11 Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, vyenye kupambwa kwa fedha.
Uczynimy ci złote klejnoty nakrapiane srebrem.
12 Wakati mfalme alipokuwa mezani pake, manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.
Dopóki król jest przy [swoim] stole, mój nard rozsiewa swoją woń.
13 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.
[Jak] wiązka mirry jest dla mnie mój miły, spoczywa na moich piersiach.
14 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.
Mój miły jest dla mnie [jak] grono cyprysu pośród winnic w En-Gedi.
15 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Tazama jinsi ulivyo mzuri! Macho yako ni kama ya hua.
O jaka ty jesteś piękna, moja umiłowana! O jaka ty jesteś piękna! Twoje oczy są [jak oczy] gołębicy.
16 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Ee, tazama jinsi unavyopendeza! Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.
O jaki ty jesteś piękny, mój umiłowany, i jak miły! Łoże nasze się zieleni.
17 Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, na mapao yetu ni miberoshi.
Belki naszego domu są cedrowe, a nasze stropy – cyprysowe.

< Wimbo wa Sulemani 1 >