< Zaburi 54 >

1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
i powiedzieli do Saula: [Dawid się u nas ukrywa. ] Boże, wybaw mnie twoim imieniem i twoją mocą broń mojej sprawy.
2 Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
Boże, wysłuchaj mojej modlitwy, nakłoń ucha ku słowom moich ust.
3 Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
Gdyż obcy powstali przeciwko mnie, a okrutnicy czyhają na moją duszę; nie mają Boga przed oczami. (Sela)
4 Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
Oto Bóg jest moim pomocnikiem; Pan jest z tymi, którzy podtrzymują moje życie.
5 Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
Odpłaci złem moim wrogom; w twojej prawdzie wytrać ich.
6 Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
Będę ci dobrowolnie składał ofiary, będę wysławiał twoje imię, PANIE, bo jest dobre.
7 Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.
Uwolniłeś mnie bowiem z każdego utrapienia, a moje oko widziało [zemstę] nad moimi wrogami.

< Zaburi 54 >