< Zaburi 45 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi. Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema ninapomsimulia mfalme mabeti yangu; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi stadi.
Przewodnikowi chóru, na Szoszanim dla synów Korego. Psalm pouczający. Pieśń miłosna. Wezbrało moje serce dobrym słowem; dzieła, które wypowiadam, dotyczą króla; mój język będzie jak pióro biegłego pisarza.
2 Wewe ni bora kuliko watu wengine wote na midomo yako imepakwa neema, kwa kuwa Mungu amekubariki milele.
Ty jesteś najpiękniejszym z synów ludzkich; wdzięk rozlał się na twoich wargach, dlatego Bóg pobłogosławił cię na wieki.
3 Jifunge upanga wako pajani mwako, ee mwenye nguvu, jivike fahari na utukufu.
Przypasz do biodra swój miecz, mocarzu, w swej chwale i majestacie.
4 Katika fahari yako, songa mbele kwa ushindi, kwa ajili ya kweli, unyenyekevu na haki, mkono wako wa kuume na uonyeshe matendo ya kutisha.
A w swym dostojeństwie wyrusz szczęśliwie ze słowem prawdy, łagodności i sprawiedliwości, a twoja prawica dokona strasznych rzeczy.
5 Mishale yako mikali na ichome mioyo ya adui za mfalme, mataifa na yaanguke chini ya nyayo zako.
Twoje ostre strzały, [od których] upadają narody pod twoje stopy, [przenikają] serce wrogów króla.
6 Ee Mungu, kiti chako cha enzi kitadumu milele na milele, fimbo ya utawala wa haki itakuwa fimbo ya utawala wa ufalme wako.
Twój tron, o Boże, na wieki wieków, berłem sprawiedliwości [jest] berło twego królestwa.
7 Unaipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekuweka juu ya wenzako, kwa kukupaka mafuta ya furaha.
Miłujesz sprawiedliwość, a nienawidzisz nieprawości, dlatego namaścił cię, o Boże, twój Bóg olejkiem radości bardziej niż twoich towarzyszy.
8 Mavazi yako yote yana harufu nzuri ya manemane, udi na mdalasini; kutoka kwenye majumba ya kifalme yaliyopambwa kwa pembe za ndovu, sauti za vinanda vya nyuzi zinakufanya ufurahi.
Wszystkie twoje szaty [pachną] mirrą, aloesem [i] kasją, [gdy wychodzisz] z pałaców z kości słoniowej, z których cię rozweselają.
9 Binti za wafalme ni miongoni mwa wanawake wako waheshimiwa; kuume kwako yupo bibi arusi malkia aliyevaa dhahabu ya Ofiri.
Córki królewskie są wśród twoich czcigodnych [kobiet], królowa w złocie z Ofiru stoi po twojej prawicy.
10 Sikiliza, ewe binti, fikiri na utege sikio: Sahau watu wako na nyumba ya baba yako.
Posłuchaj, córko, spójrz i nakłoń ucha, zapomnij o swoim narodzie i o domu swojego ojca;
11 Mfalme ameshangazwa na uzuri wako; mheshimu, kwa kuwa yeye ni bwana wako.
A król zapragnie twojego piękna, bo on jest twoim Panem; oddaj mu pokłon.
12 Binti wa Tiro atakuletea zawadi, watu wenye utajiri watatafuta upendeleo wako.
Także córka Tyru przyjdzie z darami, najbogatsi z narodów będą zabiegać o twą przychylność.
13 Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake; vazi lake limefumwa kwa nyuzi za dhahabu.
Córka królewska jest pełna chwały w [swej] komnacie, a jej szaty złotem tkane.
14 Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa, mabikira wenzake wanamfuata na wanaletwa kwako.
W szacie haftowanej będą ją wieść do króla, za nią dziewice, jej towarzyszki, przyprowadzą do ciebie.
15 Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha, na kuingia katika jumba la mfalme.
Wiodą [je] z weselem i z radością i wejdą do królewskiego pałacu.
16 Wana wenu watachukua nafasi za baba zenu, mtawafanya wakuu katika nchi yote.
Miejsce twoich ojców zajmą twoi synowie, których ustanowisz książętami po całej ziemi.
17 Nitadumisha kumbukumbu lako katika vizazi vyote, kwa hiyo mataifa watakusifu milele na milele.
Upamiętnię twoje imię po wszystkie pokolenia; dlatego narody będą cię wysławiać na wieki wieków.

< Zaburi 45 >