< Zaburi 19 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.
Przewodnikowi chóru. Psalm Dawida. Niebiosa głoszą chwałę Boga, a firmament obwieszcza dzieło jego rąk.
2 Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
Dzień dniowi opowiada słowo, a noc nocy oznajmia wiedzę.
3 Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.
Nie ma języka ani mowy, w których nie słychać ich głosu.
4 Sauti yao imeenea duniani pote, nayo maneno yao yameenea hadi miisho ya ulimwengu. Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,
Ich zasięg rozchodzi się po całej ziemi i na krańce świata ich słowa. Na nich wystawił namiot słońcu.
5 linafanana na bwana arusi akitoka chumbani mwake, kama shujaa afurahiavyo kukamilisha kushindana kwake.
A ono wychodzi jak oblubieniec ze swojej komnaty, cieszy się jak mocarz, który rozpoczyna bieg.
6 Huchomoza upande mmoja wa mbingu, na kufanya mzunguko wake hadi upande mwingine. Hakuna kilichojificha joto lake.
Wyrusza z jednego krańca nieba i obchodzi je aż na drugi kraniec, a nic nie ukryje się przed jego żarem.
7 Sheria ya Bwana ni kamilifu, ikihuisha nafsi. Shuhuda za Bwana ni za kuaminika, zikimpa mjinga hekima.
Prawo PANA jest doskonałe, nawracające duszę; świadectwo PANA pewne, dające mądrość prostemu.
8 Maagizo ya Bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. Amri za Bwana huangaza, zatia nuru machoni.
Nakazy PANA [są] prawe, radujące serce; przykazanie PANA czyste, oświecające oczy.
9 Kumcha Bwana ni utakatifu, nako kwadumu milele. Amri za Bwana ni za hakika, nazo zina haki.
Bojaźń PANA jest czysta, trwająca na wieki; sądy PANA prawdziwe, wszystkie są słuszne.
10 Ni za thamani kuliko dhahabu, kuliko dhahabu iliyo safi sana, ni tamu kuliko asali, kuliko asali kutoka kwenye sega.
Bardziej pożądane niż złoto, niż mnóstwo szczerego złota, i słodsze niż miód, nawet niż plaster miodu.
11 Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
Także twój sługa jest przez nie pouczony, a kto ich przestrzega, otrzymuje wielką nagrodę.
12 Ni nani awezaye kutambua makosa yake? Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.
Lecz kto dostrzeże [własne] błędy? Oczyść mnie z [tych, które są] ukryte przede mną.
13 Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi, nazo zisinitawale. Ndipo nitakapokuwa sina lawama, wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.
Chroń też swego sługę od zuchwałych [grzechów], aby nie panowały nade mną. Wtedy będę nienaganny i wolny od wielkiego przestępstwa.
14 Maneno ya kinywa changu na mawazo ya moyo wangu, yapate kibali mbele zako, Ee Bwana, Mwamba wangu na Mkombozi wangu.
Niech będą ci miłe słowa moich ust i rozmyślanie mego serca, PANIE, moja Skało i mój Odkupicielu!

< Zaburi 19 >