< Zaburi 142 >

1 Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi. Namlilia Bwana kwa sauti, nainua sauti yangu kwa Bwana anihurumie.
[Psalm lal David ke el muta in luf sac] Nga pang nu sin LEUM GOD Elan kasreyu; Aok, nga kwafe nu sel.
2 Namimina malalamiko yangu mbele zake, mbele zake naeleza shida zangu.
Nga use mwe torkaskas luk nukewa nu yorol, Nga fahkak ongoiya nukewa luk nu sel.
3 Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu, wewe ndiwe unajua njia zangu. Katika njia ninayopita watu wameniwekea mtego.
Ke nga apkuran in fuhleak, El etu lah mea fal nga in oru. Ke inkanek su nga fahsr kac Mwet lokoalok luk elos okanla mwe kwasrip in sruokyuwi.
4 Tazama kuume kwangu na uone, hakuna hata mmoja anayejihusisha nami. Sina kimbilio, hakuna anayejali maisha yangu.
Ke nga ngetnget nu siskuk, Nga liye tuh wanginna mwet in kasreyu. Wangin mwet in karinginyu, Wanginna mwet nunku keik.
5 Ee Bwana, nakulilia wewe, nasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.”
LEUM GOD, nga pang nu sum tuh kom in kasreyu; Kom nien molela luk, LEUM GOD. Kom mukena pa nga enenu in moul se inge.
6 Sikiliza kilio changu, kwa sababu mimi ni mhitaji sana; niokoe na wale wanaonifuatilia, kwa kuwa wamenizidi nguvu.
Porongo ke nga pang, Tuh nga arulana muta in ongoiya. Moliyula liki mwet lokoalok luk; Elos arulana ku likiyu.
7 Nifungue kutoka kifungo changu, ili niweze kulisifu jina lako. Ndipo wenye haki watanizunguka, kwa sababu ya wema wako kwangu.
Aksukosokyeyu liki mwe keok luk, Na nga fah kaksakin kom in walil lun mwet lom Ke sripen orekma wo lom nu sik.

< Zaburi 142 >