< Zaburi 106 >

1 Msifuni Bwana. Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.
Alleluja. Wysławiajcie PANA, bo [jest] dobry, bo jego miłosierdzie [trwa] na wieki.
2 Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Bwana au kutangaza kikamilifu sifa zake?
Któż wypowie wielkie dzieła PANA i ogłosi całą jego chwałę?
3 Heri wale wanaodumisha haki, ambao daima wanafanya yaliyo mema.
Błogosławieni, którzy strzegą sądu i czynią sprawiedliwość w każdym czasie.
4 Ee Bwana, unikumbuke unapowatendea mema watu wako, uwe msaada wangu unapowaokoa,
Pamiętaj o mnie, PANIE, przez miłość do swego ludu; nawiedź mnie swoim zbawieniem;
5 ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako, niweze kushiriki katika furaha ya taifa lako, na kuungana na urithi wako katika kukusifu.
Abym widział szczęście twoich wybranych, cieszył się radością twego narodu i chlubił się razem z twoim dziedzictwem.
6 Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda, tumekosa na tumetenda uovu.
Zgrzeszyliśmy wraz z naszymi ojcami, popełniliśmy nieprawość i postąpiliśmy niegodziwie.
7 Wakati baba zetu walipokuwa Misri, hawakuzingatia maajabu yako, wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako, bali waliasi kando ya bahari, Bahari ya Shamu.
Nasi ojcowie w Egipcie nie zrozumieli twoich cudów, nie pamiętali wielkości twego miłosierdzia, lecz buntowali się nad Morzem Czerwonym.
8 Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake, ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.
A jednak ich wybawił przez wzgląd na swoje imię, aby okazać swą moc.
9 Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka, akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.
Zgromił Morze Czerwone i wyschło; i przeprowadził ich przez głębiny [jak] przez pustynię.
10 Aliwaokoa mikononi mwa adui; kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.
Tak wybawił ich z ręki tego, który ich nienawidził, i odkupił ich z ręki wroga.
11 Maji yaliwafunika adui zao, hakunusurika hata mmoja.
Wody okryły ich ciemięzców, nie został ani jeden z nich.
12 Ndipo walipoamini ahadi zake, nao wakaimba sifa zake.
Wtedy uwierzyli jego słowom i śpiewali na jego chwałę.
13 Lakini mara walisahau aliyowatendea, wala hawakungojea shauri lake.
Szybko [jednak] zapomnieli o jego dziełach, nie czekali na jego rady.
14 Jangwani walitawaliwa na tamaa zao, walimjaribu Mungu nyikani.
Pałali żądzą na pustyni, na próbę wystawiali Boga na pustkowiu.
15 Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba, lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.
I dał im, czego żądali, lecz zesłał na ich dusze wycieńczenie.
16 Kambini walimwonea wivu Mose, na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa Bwana.
Gdy w obozie zazdrościli Mojżeszowi i Aaronowi, świętemu PANA;
17 Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani, ikawazika Abiramu na kundi lake.
Otworzyła się ziemia i pochłonęła Datana, i zakryła zgromadzenie Abirama;
18 Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao, mwali wa moto uliwateketeza waovu.
I zapłonął ogień w tym zgromadzeniu, płomień spalił niegodziwych.
19 Huko Horebu walitengeneza ndama, na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.
Zrobili cielca na Horebie i odlanemu posągowi oddali pokłon;
20 Waliubadilisha Utukufu wao kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.
I zamienili swą chwałę na podobieństwo wołu jedzącego trawę.
21 Walimsahau Mungu aliyewaokoa, aliyekuwa ametenda mambo makuu huko Misri,
Zapomnieli o Bogu, swoim wybawcy, który dokonywał wielkich czynów w Egipcie;
22 miujiza katika nchi ya Hamu na mambo ya kutisha huko Bahari ya Shamu.
Cudownych dzieł w ziemi Chama, rzeczy strasznych nad Morzem Czerwonym.
23 Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza: kama Mose mteule wake, asingesimama kati yao na Mungu kuizuia ghadhabu yake kuwaangamiza.
Dlatego powiedział, że wytraciłby ich, gdyby Mojżesz, jego wybrany, nie stanął w wyłomie przed nim, aby odwrócić jego gniew, by [ich] nie wytracił.
24 Kisha waliidharau ile nchi nzuri, hawakuiamini ahadi yake.
Wzgardzili też wspaniałą ziemią, nie wierząc jego słowu.
25 Walinungʼunika ndani ya mahema yao, wala hawakumtii Bwana.
I szemrząc w swoich namiotach, nie byli posłuszni głosowi PANA.
26 Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba atawafanya waanguke jangwani,
Dlatego podniósł na nich swoją rękę, aby ich wytracić na pustyni;
27 kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa, na kuwatawanya katika nchi zote.
Aby ich potomstwo rozrzucić wśród pogan i rozproszyć ich po ziemiach.
28 Walijifunga nira na Baali wa Peori, wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.
Przyłączyli się też do Baal-Peor i jedli ofiary [składane] umarłym.
29 Waliichochea hasira ya Bwana, wakamkasirisha kwa matendo yao maovu, nayo tauni ikazuka katikati yao.
Tak pobudzili [Boga] do gniewu swymi postępkami, że spadła na nich plaga;
30 Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati, nayo tauni ikazuiliwa.
Wtedy powstał Pinchas, dokonał sądu i plaga ustała.
31 Hili likahesabiwa kwake haki, kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.
Poczytano mu to za sprawiedliwość po wszystkie pokolenia, na wieki.
32 Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Bwana, janga likampata Mose kwa sababu yao;
Rozgniewali go znowu u wód Meriba, [tak że] Mojżesz wiele ucierpiał z ich powodu;
33 kwa maana walimwasi Roho wa Mungu, na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.
Rozdrażnili bowiem jego ducha i mówił [nierozważnie] swymi ustami.
34 Hawakuyaangamiza yale mataifa kama Bwana alivyowaagiza,
Nie wytępili narodów, jak im to PAN nakazał.
35 bali walijichanganya na mataifa na wakazikubali desturi zao.
Lecz zmieszali się z tymi narodami i nauczyli się ich czynów;
36 Waliabudu sanamu zao, zikawa mtego kwao.
I służyli ich bożkom, które stały się dla nich pułapką.
37 Wakawatoa wana wao na binti zao dhabihu kwa mashetani.
Ofiarowali bowiem demonom swoich synów i swoje córki;
38 Walimwaga damu isiyo na hatia, damu za wana wao na binti zao, ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani, nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.
I przelewali krew niewinną, krew swoich synów i córek, których ofiarowali bożkom Kanaanu, i ziemia została skalana rozlewem krwi.
39 Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda; kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.
Splamili się swymi czynami i cudzołożyli swymi postępkami.
40 Kwa hiyo Bwana akawakasirikia watu wake na akauchukia sana urithi wake.
Dlatego PAN zapłonął gniewem przeciw swemu ludowi, tak że obrzydził sobie swoje dziedzictwo.
41 Akawakabidhi kwa mataifa na adui zao wakawatawala.
I wydał ich w ręce pogan, i panowali nad nimi ci, którzy ich nienawidzili.
42 Adui zao wakawaonea na kuwatia chini ya mamlaka yao.
I uciskali ich wrogowie, ujarzmili ich swoją ręką.
43 Mara nyingi aliwaokoa lakini walikuwa wamezama kwenye uasi, nao wakajiharibu katika dhambi zao.
Wielokrotnie ich ocalał, lecz oni rozgniewali go swymi zamysłami i zostali upokorzeni przez swoje nieprawości.
44 Lakini akaangalia mateso yao wakati aliposikia kilio chao;
A jednak wejrzał na ich ucisk i usłyszał ich wołanie.
45 kwa ajili yao akakumbuka agano lake, na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.
Przypomniał sobie bowiem o swoim przymierzu z nimi i pożałował według swej wielkiej litości.
46 Akawafanya wahurumiwe na wote waliowashikilia mateka.
Wzbudził też litość dla nich u wszystkich, którzy ich uprowadzili w niewolę.
47 Ee Bwana Mungu wetu, tuokoe. Tukusanye tena kutoka kwa mataifa, ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu, na kushangilia katika sifa zako.
Wybaw nas, PANIE, nasz Boże, i zgromadź nas spośród pogan, abyśmy wysławiali twoje święte imię i chlubili się twoją chwałą.
48 Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele. Watu wote na waseme, “Amen!” Msifuni Bwana.
Błogosławiony PAN, Bóg Izraela, od wieków na wieki; niech cały lud powie: Amen. Alleluja.

< Zaburi 106 >