< Hesabu 25 >

1 Israeli alipokuwa akikaa Shitimu, wanaume wa Israeli walianza kuzini na wanawake wa Kimoabu,
Potem Izrael zamieszkał w Szittim i lud zaczął uprawiać nierząd z córkami Moabu.
2 ambao waliwaalika kushiriki katika kutoa kafara kwa miungu yao. Watu wakala na kusujudu mbele ya miungu hii.
One zapraszały lud do ofiar swoich bogów. A lud jadł i oddawał pokłon ich bogom.
3 Kwa hiyo Israeli akaungana katika kumwabudu Baali wa Peori. Hasira ya Bwana ikawaka dhidi yao.
I Izrael przyłączył się do Baal-Peora, i PAN bardzo rozgniewał się na Izraela.
4 Bwana akamwambia Mose, “Uwachukue viongozi wote wa watu hawa, uwaue na uwaweke hadharani mchana peupe mbele za Bwana, ili hasira kali ya Bwana iweze kuondoka kwa Israeli.”
Wtedy PAN powiedział do Mojżesza: Zbierz wszystkich naczelników ludu i powieś ich przed PANEM na słońcu, aby zapalczywość gniewu PANA odwróciła się od Izraela.
5 Kwa hiyo Mose akawaambia waamuzi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awaue wale wanaume wenu, walioshiriki katika kumwabudu Baali wa Peori.”
Mojżesz powiedział więc do sędziów Izraela: Niech każdy z was zabije swoich ludzi, którzy przyłączyli się do Baal-Peora.
6 Ndipo mwanaume wa Kiisraeli akamleta mwanamke wa Kimidiani katika jamaa yake palepale mbele ya Mose na mkutano wote wa Israeli walipokuwa wakilia kwenye lango la Hema la Kukutania.
A oto jeden z synów Izraela przyszedł i przyprowadził do swoich braci Midianitkę na oczach Mojżesza i na oczach całego zgromadzenia synów Izraela, którzy płakali [przed] wejściem do Namiotu Zgromadzenia.
7 Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, alipoona jambo hili, akaondoka kwenye kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake,
Gdy zobaczył to Pinchas, syn Eleazara, syna Aarona, kapłana, wstał spośród zgromadzenia i wziął do ręki oszczep.
8 akamfuata yule Mwisraeli ndani ya hema. Akawachoma mkuki wote wawili kwa pamoja, ukapenya kwenye mwili wa yule Mwisraeli na mwili wa yule mwanamke. Ndipo tauni iliyokuwepo dhidi ya Waisraeli ikakoma.
I poszedł za [tym] Izraelitą do namiotu, przebił oboje, tego Izraelitę oraz kobietę przez jej podbrzusze. I plaga wśród synów Izraela została powstrzymana.
9 Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.
A tych, którzy umarli od tej plagi, było dwadzieścia cztery tysiące.
10 Bwana akamwambia Mose,
Potem PAN powiedział do Mojżesza:
11 “Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, amegeuza hasira yangu mbali na Waisraeli, kwa sababu alikuwa na wivu kama nilio nao kwa heshima yangu miongoni mwao, hata kwamba kwa wivu wangu sikuwaangamiza.
Pinchas, syn Eleazara, syna Aarona, kapłana, odwrócił mój gniew od synów Izraela, gdyż okazał wśród nich gorliwość ze względu na mnie, tak że nie wytraciłem synów Izraela w mojej zazdrości.
12 Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye.
Dlatego powiedz mu: Oto zawieram z nim moje przymierze pokoju;
13 Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”
Będzie to dla niego i dla jego potomstwa po nim przymierze wiecznego kapłaństwa, ponieważ okazał gorliwość o swego Boga i dokonał przebłagania za synów Izraela.
14 Jina la Mwisraeli ambaye aliuawa pamoja na mwanamke wa Kimidiani ni Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa jamaa ya Simeoni.
A imię [tego] Izraelity, który został zabity wraz z Midianitką, było Zimri; [był to] syn Salu, naczelnika domu swego ojca, [z pokolenia] Symeona.
15 Jina la mwanamke wa Kimidiani aliyeuawa ni Kozbi binti wa Suri, aliyekuwa mkuu wa kabila la jamaa ya Wamidiani.
Imię zabitej Midianitki [było] Kozbi, [była to] córka Sura, naczelnika w swoim narodzie i w domu swego ojca w Midianie.
16 Bwana akamwambia Mose,
I PAN powiedział do Mojżesza:
17 “Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,
Odnoście się wrogo do Midianitów i pobijcie ich;
18 kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”
Ponieważ oni odnosili się wrogo do was przez swoje podstępy, a podeszli was przez Baal-Peora i przez ich siostrę Kozbi, córkę księcia Midianu, która została zabita w dniu plagi z powodu Peora.

< Hesabu 25 >