< Luka 3 >

1 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato akiwa mtawala wa Uyahudi, Herode akiwa mfalme wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania akiwa mfalme wa Abilene,
in/on/among year then fifteenth the/this/who reign Tiberius Caesar to govern Pontius Pilate the/this/who Judea and be a tetrarch the/this/who Galilee Herod Philip then the/this/who brother it/s/he be a tetrarch the/this/who Ituraea and Trachonitis country and Lysanias the/this/who Abilene be a tetrarch
2 nao Anasi na Kayafa wakiwa makuhani wakuu, neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa Zekaria huko jangwani.
upon/to/against (high-priest *N+kO) Annas and Caiaphas to be declaration God upon/to/against John the/this/who (the/this/who *k) Zechariah son in/on/among the/this/who deserted
3 Akaenda katika nchi yote kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
and to come/go toward all the/this/who region the/this/who Jordan to preach baptism repentance toward forgiveness sin
4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.
as/when to write in/on/among book word Isaiah the/this/who prophet (to say *k) voice/sound: voice to cry out in/on/among the/this/who deserted to make ready the/this/who road lord: God Straight to do/make: do the/this/who path it/s/he
5 Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitashushwa. Njia zilizopinda zitanyooshwa, na zilizoparuza zitasawazishwa.
all valley to fulfill and all mountain and hill to humble and to be the/this/who crooked toward (Straight *NK+o) and the/this/who rough toward road smooth
6 Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”
and to appear all flesh the/this/who salvation the/this/who God
7 Yohana akauambia ule umati wa watu uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
to say therefore/then the/this/who to depart crowd to baptize by/under: by it/s/he offspring snake which? to show you to flee away from the/this/who to ensue wrath
8 Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. Wala msianze kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Kwa maana nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka mawe haya.
to do/make: do therefore/then fruit worthy the/this/who repentance and not be first to say in/on/among themself father to have/be the/this/who Abraham to say for you that/since: that be able the/this/who God out from the/this/who stone this/he/she/it to arise child the/this/who Abraham
9 Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”
already then and the/this/who axe to/with the/this/who root the/this/who tree to lay/be appointed all therefore/then tree not to do/make: do fruit good to prevent and toward fire to throw: throw
10 Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”
and to question it/s/he the/this/who crowd to say which? therefore/then (to do/make: do *N+kO)
11 Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na chakula na afanye vivyo hivyo.”
to answer then (to say *N+kO) it/s/he the/this/who to have/be two tunic to share the/this/who not to have/be and the/this/who to have/be food similarly to do/make: do
12 Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana na sisi inatupasa tufanyeje?”
to come/go then and tax collector to baptize and to say to/with it/s/he teacher which? (to do/make: do *N+kO)
13 Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”
the/this/who then to say to/with it/s/he nothing greater from/with/beside the/this/who to direct you to do/require
14 Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.”
to question then it/s/he and to battle to say which? (to do/make: do *N+kO) and me and to say (to/with *k) (it/s/he *N+kO) nothing to extort nor to extort and be sufficient the/this/who compensation you
15 Watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo.
to look for then the/this/who a people and to discuss all in/on/among the/this/who heart it/s/he about the/this/who John not once/when it/s/he to be the/this/who Christ
16 Yohana akawajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji. Lakini atakuja aliye na nguvu kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
to answer to say (all *N+kO) the/this/who John I/we on the other hand water to baptize you to come/go then the/this/who strong me which no to be sufficient to loose the/this/who leather strap the/this/who sandal it/s/he it/s/he you to baptize in/on/among spirit/breath: spirit holy and fire
17 Pepeto lake liko mkononi, tayari kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.”
which the/this/who winnowing fork in/on/among the/this/who hand it/s/he (and *k) (to scour *N+kO) the/this/who threshing-floor it/s/he and (to assemble *N+kO) the/this/who grain toward the/this/who storehouse it/s/he the/this/who then chaff to burn fire unquenchable
18 Basi, kwa maonyo mengine mengi Yohana aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.
much on the other hand therefore/then and other to plead/comfort to speak good news the/this/who a people
19 Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,
the/this/who then Herod the/this/who tetrarch to rebuke by/under: by it/s/he about Herodias the/this/who woman: wife (Philip *K) the/this/who brother it/s/he and about all which to do/make: do evil/bad the/this/who Herod
20 Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yohana gerezani.
to add (to) and this/he/she/it upon/to/against all and to lock up the/this/who John in/on/among (the/this/who *k) prison/watch: prison
21 Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka.
to be then in/on/among the/this/who to baptize all the/this/who a people and Jesus to baptize and to pray to open the/this/who heaven
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
and to come/go down the/this/who spirit/breath: spirit the/this/who holy bodily appearance (as/when *N+kO) dove upon/to/against it/s/he and voice/sound: voice out from heaven to be (to say *k) you to be the/this/who son me the/this/who beloved in/on/among you to delight
23 Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Eli,
and it/s/he to be (the/this/who *k) Jesus be first like/as/about year thirty to be son as/when to think Joseph the/this/who Heli
24 Eli alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yanai, Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
the/this/who Matthat the/this/who Levi the/this/who Melchi the/this/who Jannai the/this/who Joseph
25 Yosefu alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli alikuwa mwana wa Nagai,
the/this/who Mattathias the/this/who Amos the/this/who Nahum the/this/who Esli the/this/who Naggai
26 Nagai alikuwa mwana wa Maathi, Maathi alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Semeini, Semeini alikuwa mwana wa Yoseki, Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,
the/this/who Maath the/this/who Mattathias the/this/who Semein the/this/who (Josech *N+kO) the/this/who (Joda *N+kO)
27 Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,
the/this/who Joanan the/this/who Rhesa the/this/who Zerubbabel the/this/who Shealtiel the/this/who Neri
28 Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,
the/this/who Melchi the/this/who Addi the/this/who Cosam the/this/who Elmadam the/this/who Er
29 Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
the/this/who (Joshua *N+kO) the/this/who Eliezer the/this/who Jorim the/this/who Matthat the/this/who Levi
30 Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
the/this/who Simeon the/this/who Judah the/this/who Joseph the/this/who Jonam the/this/who Eliakim
31 Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,
the/this/who Melea the/this/who Menna the/this/who Mattatha the/this/who Nathan the/this/who David
32 Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
the/this/who Jesse the/this/who Obed the/this/who Boaz the/this/who (Sala *N+kO) the/this/who Nahshon
33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,
the/this/who Amminadab the/this/who (Admin *N+KO) (the/this/who Arni *NO) the/this/who Hezron the/this/who Perez the/this/who Judah
34 Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,
the/this/who Jacob the/this/who Isaac the/this/who Abraham the/this/who Terah the/this/who Nahor
35 Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala,
the/this/who Serug the/this/who Reu the/this/who Peleg the/this/who Eber the/this/who Shelah
36 Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki,
the/this/who Cainan the/this/who Arphaxad the/this/who Shem the/this/who Noah the/this/who Lamech
37 Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,
the/this/who Methuselah the/this/who Enoch the/this/who Jared the/this/who Mahalaleel the/this/who Cainan
38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mungu.
the/this/who Enos the/this/who Seth the/this/who Adam the/this/who God

< Luka 3 >