< Luka 3 >

1 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato akiwa mtawala wa Uyahudi, Herode akiwa mfalme wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania akiwa mfalme wa Abilene,
Mumunyaka wakkumi amusanu mubweendelezi bwa Tibeliyasi Kkayisala - aawo Pontiyasi Payileti nakali mwendelezyi waku Judiya, Heloda kali mwendelezyi waku Galilii, mwana wakwabo Filipo kali mweendelezi wachisi chaku Ituliya a Tilankonitis, a Lisaniyasi kali mwendelezyi waku Abilene,
2 nao Anasi na Kayafa wakiwa makuhani wakuu, neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa Zekaria huko jangwani.
kuzwa kubupayizyi bwa Anasi aKkefasi - ijwi lya Leza lyakasika kuli Joni mwana wa Zakaliya munkanda.
3 Akaenda katika nchi yote kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
Wakeenda muzisi zyoonse zizyuungulukide Joodani kakambauka lubbabbatizyo lwakusanduka akulekelela kwazibi.
4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.
Mbuli mbukulembedwe mubbuku lyamakani aIsaya musinsimi, “Ijwi lyasikompolola munkanda, 'Amubambenzila yamwami, amululamike nzila zyakwe
5 Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitashushwa. Njia zilizopinda zitanyooshwa, na zilizoparuza zitasawazishwa.
Yonse mimpata iyozuzukizigwa, a zilundu zyoonse atulundu tuyoba ansi amigwagwa ipilingene iyo lulamikwa, amasen aatabambinkene ayooyakwa akuba migwagw,
6 Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”
bantu boonse bayoobona lufutuko lwa Leza.'”
7 Yohana akauambia ule umati wa watu uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
Mpawo Joni wakati kumakamu akalikuza kuzo bbabbatizigwa anguwe, “Nywebo nobana bachipile! ngwani wakamuchenjezya kuti muchije kuzwa kubukali bulokuza?
8 Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. Wala msianze kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Kwa maana nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka mawe haya.
Aaboobo, muzyale michelo mibotu iitondezya kusanduka alimwi mutataliki kwaamba mukati kanu, “Tula Abulahamu kali taata wesu; mbundamwambila kuti Leza ulakonzya kusumpula bana ba Abulahamu kuzwa kumabwe aya.
9 Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”
Alino kaleba kalibikidwe kale kumiyanda yamisamu. Aboobo kufumbwa musamu utazyali muchelo mubotu ulawugonkela kunsi akuuwalila mumulilo.”
10 Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”
Alimwi makamu akendelela kunembo akumubuzya bakati, “Niinzi mpawo nzitutachite?”
11 Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na chakula na afanye vivyo hivyo.”
Wakasandula akuti kulimbabo, “Na kulumwi uujisi twakuzwata tubili, uleelede kwabana amuntu utakwe ayooyo ujisi chakulya ayiite mbobo.”
12 Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana na sisi inatupasa tufanyeje?”
Abasimutelo abalabo bakaza kuzo bbabbatizigwa, akwamba kuli nguwe kuti, “Muyisi, niinzi nchitweelede kuchita?”
13 Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”
Wakati kulimbabo, “Mutakabwezi mali nyiingi njimutabuzizigwe kubweza.”
14 Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.”
Bamwi basilumamba abalabo bakamubuzya, bakati, “Aniswe ninzi nchitweelede kuchita?” Wakati kulimbabo, “Mutakabwezi mali kufumbwa kulumwi changuzu, alimwi mutakapenzyi omwe chakubeja. amukakutisikane amiholo yanu.”
15 Watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo.
Lino bantu nibakachili kulindila chakupekezya kusika kwa Kkilisto boonse bakali kugamba mukati kamooyo yabo aatala aJoni, kutii ngunguwe Kkilisto.
16 Yohana akawajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji. Lakini atakuja aliye na nguvu kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Joni wakasandula wakati kuliboonse, “Imebo lwangu ndamubbabbatizya amanzi, pele kulumwi ulobuza ulanguzu kwiinda ndime, aboobo nsikonzyi nikuba nkwangununa misungo yansangu zyakwe. Uyomu bbabbatizya aMuya Uusalala antomwe amulilo.
17 Pepeto lake liko mkononi, tayari kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.”
Kajisi pologwe yakupupuluzya mujanza lyakwe chakusalazya lubuwa lwakwe akubunganya bbali munganda yakwe. Pele uyowumpa buungu amulilo alimwi mulilo tukoyoozima pe.”
18 Basi, kwa maonyo mengine mengi Yohana aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.
Mubwingi bwakumusumpula Joni wakalikwambula makani mabotu kubantu.
19 Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,
Alimwi Heloda kali mwendelezyi wakazumizigwa kukukwata mwanakazi wamwana wakwabo Helodiyasi azyoonse zintu zibi Heloda nzyakachitide,
20 Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yohana gerezani.
wakayungizya ezi kulimbabo boonse, akujalila Joni muntolongo.
21 Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka.
Lino nichakasika chiindi aawo bantu boonse bakabbabbatizigwa Jesu alakwe wakabbabbatizigwa, nibakachili kukomba, majulu akajulika,
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
aMuuya Uusalala muchimo chamubili wakaza mbuli nziba, alimwi jwi lyakazwa kujulu “Ulimwana wangu ngwendiyandisisya. Ndabotelwa anduwe.”
23 Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Eli,
Mpawo Jesu naakatalika mulimu wakwe wakali amyaaka yakuzyalwa makumi aatatu. Wakali mwana mulombe (mbuli mbukwakaklikuyelelwa) kuti Josefa mulombe waHeli,
24 Eli alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yanai, Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
mwana waMatati, mwana waLevi, mwana Melichi, mwana wa Janayi, mwana waJosefa.
25 Yosefu alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli alikuwa mwana wa Nagai,
Josefa wakali mwana wa Matatiyasi, mwana wa Amos, mwana wa Naumi, mwana wa Esili, mwana wa Nagayi,
26 Nagai alikuwa mwana wa Maathi, Maathi alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Semeini, Semeini alikuwa mwana wa Yoseki, Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,
mwana wa Mati, mwana wa Matatiyasi, mwana wa Simiyoni, mwana wa Josekki, mwana wa Juda.
27 Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,
Joda wakali mwana waJowanani, mwana wa Lesa, mwana wa Zelubbabbeli, mwana wa Salatiyeli, mwana wa Neli,
28 Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,
mwana wa Melikki, mwana wa Elimadamu, mwana wa Eli,
29 Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
mwana wa Joshuwa, mwana wa Eliyeza, mwana wa Jolimu, mwana wa Matati, mwana wa Levi
30 Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
Levi wakali mwana wa Simiyoni, mwana wa Juda, mwana wa Josefa, mwana wa Eliyakim, mwana wa
31 Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,
Meliya, mwana wa Mena, mwana Matata, mwana wa Natani, mwana wa Davida,
32 Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
mwana wa Jese, mwana wa Obbeti, mwana wa Bbowazi, mwana wa Salimoni, mwana wa Nasiyoni.
33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,
Nashoni wakali mwana wa Aminadabu, mwana Adimini, mwan wa Alini, mwana wa Heziloni, mwana wa Perez, mwana wa Juda,
34 Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,
mwana wa Jakkobo, mwana wa Isakka, mwana wa Abbulamu, mwana wa Tela, mwana wa Nawoli,
35 Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala,
mwana wa Selugi, mwana wa Lewu, mwana wa Pelegi, mwana wa Ebba, mwana wa Shela.
36 Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki,
Sila wakali mwana wa Kkayinani, mwana wa Alipazada, mwana wa Semu, mwana wa Nowa, mwana wa Lameki,
37 Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,
mwana wa Metusela, mwana wa Inoki, mwana wa Jaledi, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Kkayini,
38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mungu.
mwana wa Inosi, mwana wa Seti, mwana wa Adamu, mwana wa Leza.

< Luka 3 >