< Luka 10 >

1 Baada ya hayo, Bwana akawachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawili wawili katika kila mji na kila sehemu aliyokusudia kwenda baadaye.
ANAE munjayan este sija na güinaja, jaayig y Señot otro setenta, ya jatago dos en dos gui menaña para todo y siuda yan ayo na lugat anae para ufato güe.
2 Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini watendakazi ni wachache. Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili apeleke watendakazi katika shamba lake la mavuno.
Ya ilegña nu sija: Y cosecha megae, lao y manmachochocho didide; enaomina gagao y Señot y cosecha, ya ufanago ni manmachochocho para y cosechaña.
3 Haya! nendeni. Ninawatuma kama wana-kondoo katikati ya mbwa mwitu.
Fanjanao gui chalanmiyo; estagüe na jutago jamyo taegüije quinilo gui entalo y lobo sija.
4 Msichukue mkoba, wala mfuko, wala viatu, na msimsalimu mtu yeyote njiani.
Chamiyo fanmañuñule botsa ni maleta, ni sapatos: ni jaye insaluda gui jinanaonmiyo.
5 “Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
Masqueseaja mano na guma nae manjalom jamyo, finenana in alog: Pas para este na guma.
6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.
Yaguin guaja güije patgon y pas, y pasmiyo usaga guiya güiya; yaguin taya, utalo guato guiya jamyo.
7 Kaeni katika nyumba hiyo, mkila na kunywa kile watakachowapa, kwa sababu kila mtendakazi anastahili malipo yake. Msihamehame kutoka nyumba hadi nyumba.
Fañaga güije na guma, fañocho yan infanguimen todo y manmanaenmiyo; sa y machochoeho ufanmerese nu y apasña. Chamiyo fanjajanao guma pot guma.
8 “Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,
Ya masquesea mano na siuda nae manjalom jamyo, ya manmaresibe jamyo, cano jafa y manmasajyane jamyo.
9 waponyeni wagonjwa waliomo na waambieni: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’
Ya nafanjomlo y manmalango ni guaja güije, ya inalog nu sija: y raenon Yuus esta mato guiya jamyo.
10 Lakini mkiingia katika mji, nao hawakuwakaribisha, tokeni mwende katika barabara zake mkaseme:
Lao masqueseaja mano na suida nae manjalom jamyo, ya ti manmaresibe jamyo, fanjanao gui cayeñija, ya inalog:
11 ‘Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu, tunayakungʼuta dhidi yenu. Lakini mjue kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.’
Asta y petbos ni jachetune y adengmame güine gui siudanmiyo, insacude contra jamyo; lao tingo este na y raenon Yuus mato jijot guiya jamyo.
12 Ninawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ile kuliko mji ule.
Ya jusangane jamyo: mas sungunon Sodoma güije na jaane qui ayo na siuda.
13 “Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwenu ingefanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa imetubu zamani, kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
Ay! ay! jao Corasin: ay! ay! jao Betsaida! sa yaguin guiya Tiro yan Sidon nae manmafatinas este sija na mannamanman y manmafatinas guiya jamyo, jagas sen amco manmañotsot, infanmatachong gui silisio yan y apo.
14 Lakini itakuwa rahisi zaidi kwa Tiro na Sidoni kustahimili katika siku ya hukumu, kuliko ninyi.
Enaomina mas sungunon Tiro yan Sidon qui para jamyo gui jaanin y sentensia.
15 Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs g86)
Ya jago Capernaum, unacajulo jao asta y langet? umachule papa asta sasalaguan. (Hadēs g86)
16 “Yeye awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi; naye awakataaye ninyi amenikataa mimi. Lakini yeye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma.”
Y jumungog jamyo, jajungogyo; ya y dumesecha jamyo, jadesechayo; ya y dumesechayo, jadesecha y tumagoyo.
17 Wale sabini na wawili wakarudi kwa furaha, na kusema, “Bwana, hata pepo wachafu wanatutii kwa jina lako.”
Ya manalo guato y setenta yan y minagofñija, ya ilegñija: Señot, asta y manganite insujejeta pot y naanmo.
18 Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa radi.
Ya ilegña nu sija: Julie si Satanas taegüije y lamlam ni y pedong guinin y langet.
19 Tazama nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na juu ya nguvu zote za adui; wala hakuna kitu chochote kitakachowadhuru.
Estagüe, na junae jamyo ninasiña para ingacha y culebla, yan y alacran, yan y jilo todo y ninasiñan y enemigo, ya taya siña munafanlamen jamyo.
20 Basi, msifurahi kwa kuwa pepo wachafu wanawatii, bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni.”
Lao chamiyo ninafanmamagof pot este, pot y espiritu sija ni insujejeta; lao fanmagof jamyo pot y naanmiyo ni esta matugue gui langet.
21 Wakati huo Yesu akashangilia katika Roho Mtakatifu, akasema, “Nakuhimidi Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.
Ya ayoja na ora magof si Jesus gui Espiritu Santo ya ilegña: Junae jao grasia, O Tata, Señot y langet yan y tano, sa unana este sija na güinaja gui manmejnalom yan manmanungo, ya unfanue gui mandiquique; junggan Tata, sa taegüine nae senmagof gui menamo.
22 “Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba yangu. Hakuna mtu amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala hakuna amjuaye Baba ni nani ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”
Todo y güinaja sija jagasja jaentregayo y Tatajo; ya taya tumungo jaye y Lajiña, na y Tataja; ya jaye y Tata, na y Lajiñaja, yan ayo y minalago y lajiña ufinanue.
23 Basi Yesu akawageukia wanafunzi wake akanena nao faraghani, akawaambia, “Heri macho yanayoona yale mambo mnayoyaona.
Ya jabiragüe guato gui disipulo sija, ya ilegña: Mandichoso y atadog ni manmanlie nu estesija ni y liniinmiyo:
24 Kwa maana nawaambia, manabii wengi na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.”
Sa jusangane jamyo, na megae na profeta yan ray sija, dumesesea na ulie nu estesija ni y liniinmiyo, ya ti malie; yan ujajungog nu estesija ni y jiningogmiyo ya ti jajungog.
25 Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Ya, estagüe, un magas y lay na tumojgue julo ya tinietientagüe, ya ilegña: Maestro, jafa jufatinas para juereda y taejinecog na linâlâ? (aiōnios g166)
26 Yesu akamjibu, “Imeandikwaje katika Sheria? Kwani unasoma nini humo?”
Ya ilegña nu güiya: Jafa matugue gui tinago? jafa untataetae?
27 Akajibu, “‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote’; tena, ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”
Ya güiya manope, ilegña: Guaeya y Señot Yuosmo contodo gui corasonmo, yan contodo y antimo, yan contodo y minetgotmo, yan contodo y tiningomo; yan y tiguangmo taegüije iya jago namaesa.
28 Yesu akamwambia, “Umejibu vyema. Fanya hivyo nawe utaishi.”
Ya ilegña nu güiya: Mauleg inepemo: fatinas este, ya unlâlâ.
29 Lakini yule mtaalamu wa sheria, akitaka kujionyesha kuwa mwenye haki, akamuuliza Yesu, “Jirani yangu ni nani?”
Lao güiya, malago na unatunas maesa güe, ilegña as Jesus: Ya jaye tiguangjo?
30 Yesu akamjibu akasema, “Mtu mmoja alikuwa akiteremka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko, naye akaangukia mikononi mwa wanyangʼanyi. Wakampiga, wakaondoka, wakamwacha akiwa karibu kufa.
Ya inepe as Jesus ya ilegña: Un taotao tumunog guinin Jerusalem asta Jerico, ya podong gui entalo y manaque; y machule y magaguña ya manachetnudan güe, ya manjanao ya mapolo cana matae.
31 Kuhani mmoja alikuwa akipitia njia ile, alipomwona huyo mtu, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani.
Ya susede na un pale tumunog güijeja na chalan; ya anae jalie malofanja gui otro banda.
32 Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani
Taegüijeja locue un Lebita, anae mato jijot güije na lugat, ya jaatanja, ya malofanja gui otro banda.
33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri alipomwona, alimhurumia.
Ya un Samaritano, anae jumajanao güije na chalan, mato lugat nae gaegue güe, ya anae jalie, ninamaase,
34 Akaenda alipokuwa na akasafisha majeraha yake kwa divai na mafuta, kisha akayafunga. Ndipo akampandisha kwenye punda wake, akampeleka mpaka kwenye nyumba ya wageni na kumtunza.
Ya mato guato guiya güiya jabee y chetnot sija ya janaye laña yan bino; ya janamaudae gui gaña gâgâ, ya jacone asta y guima publico ya jaadaje.
35 Kesho yake, yule Msamaria akachukua dinari mbiliakampa yule mwenye nyumba ya wageni na kusema, ‘Mtunze, nami nirudipo nitakulipa gharama yoyote ya ziada uliyotumia kwa ajili yake.’
Ya y inagpaña güije anae para ujanao jachule dos denarion salape ya janae y magas y guima, ya ilegña nu güiya: Guesadaje güe; ya todo y palo na gastomo despues, yaguin tumaloyo mague, juapase jao.
36 “Ni yupi basi miongoni mwa hawa watatu wewe unadhani ni jirani yake yule mtu aliyeangukia mikononi mwa wanyangʼanyi?”
Ya jaye y tiguang entre y tres, pot ayo y pedong gui entalo y manaque?
37 Yule mtaalamu wa sheria akajibu, “Ni yule aliyemhurumia.” Ndipo Yesu akamwambia, “Nenda, ukafanye vivyo hivyo.”
Ya güiya ilegña: Ayo y maase nu güiya. Ayonae ilegña Janao ya unfatinas locue taegüije.
38 Ikawa Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakienda Yerusalemu, akaingia kwenye kijiji kimoja ambapo mwanamke mmoja aliyeitwa Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
Ya anae jumajanao, jumalom gui un songsong; ya un palaoan na y naanña si Marta rinesibegüe gui guimaña.
39 Martha alikuwa na mdogo wake aliyeitwa Maria, ambaye aliketi chini miguuni mwa Bwana akisikiliza yale aliyokuwa akisema.
Ya guaja uno cheluña palaoan na y naanña si Maria, na locue matatachongja gui adeng Jesus, ya jaecungogja y sinanganña.
40 Lakini Martha alikuwa akihangaika na maandalizi yote yaliyokuwa yafanyike. Martha akaja kwa Yesu na kumuuliza, “Bwana, hujali kwamba ndugu yangu ameniachia kazi zote mwenyewe? Basi mwambie anisaidie.”
Lao si Marta esta inestotba pot megae sinetbeña, ya mato guiya güiya, ya ilegña: Señot, ada ti unlie y chelujo na upaloyo ya jufañeñetbeja na maesa? Tago ya uayudayo.
41 Lakini Bwana akamjibu, “Martha, Martha, mbona unasumbuka na kuhangaika na mengi?
Ya inepe as Jesus ilegña nu güiya: Marta, Marta, esta jago inestotba ya guesmanadaje jao, pot megae na güinaja:
42 Lakini kunahitajika kitu kimoja tu. Maria amechagua kile kilicho bora, wala hakuna mtu atakayemwondolea.”
Lao unoja manesesita; ya si Maria jaayig ayo mauleg na patte ni ti umachule guiya güiya.

< Luka 10 >