< Mambo ya Walawi 3 >

1 “‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ngʼombe kutoka kundi, akiwa dume au jike, atamleta mnyama asiye na dosari mbele za Bwana.
A jeźliby ofiara spokojna była ofiara jego, a byłaby z rogatego bydła, ofiarować będzie samca, albo samicę; zupełnie ofiarować je będzie przed obliczem Pańskiem.
2 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake na kumchinja penye ingilio la Hema la Kukutania. Ndipo makuhani wana wa Aroni watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
I położy rękę swą na głowę ofiary swojej, i zabije ją kapłan przede drzwiami namiotu zgromadzenia; i wyleją synowie Aaronowi, kapłani, krew na wierzch ołtarza w około.
3 Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yote ya mnyama yafunikayo sehemu za ndani, ama yanayoungana na hizo sehemu za ndani,
Potem ofiarować będzie z ofiary spokojnej paloną ofiarę Panu; tłustość okrywającą wnętrzności, i wszystkę tłustość, która jest na wnętrznościach.
4 figo zote pamoja na mafuta yote yanayozizunguka karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.
Obie też nerki z tłustością, która jest na nich, i na polędwicach, i odzieczkę, która na wątrobie, z nerkami odejmie.
5 Kisha wana wa Aroni wataiteketeza juu ya madhabahu, juu ya ile sadaka ya kuteketezwa iliyoko juu ya kuni zinazowaka, kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
I zapalą to synowie Aaronowi na ołtarzu, pospołu z ofiarą całopalenia, która będzie na drwach, które są na ogniu; ofiara to ognista ku wdzięcznej wonności Panu.
6 “‘Kama akitoa kondoo au mbuzi kutoka kundi kama sadaka ya amani kwa Bwana, atamtoa dume au jike asiye na dosari.
Ale jeźliby z drobnego bydła była ofiara jego na ofiarę spokojną Panu, samca albo samicę zupełne ofiarować je będzie.
7 Kama akimtoa mwana-kondoo, atamleta mbele za Bwana.
Jeźliby baranka ofiarował na ofiarę swoję, ofiarować go będzie przed obliczem Pańskiem.
8 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake, naye atamchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.
A włoży rękę swą na głowę ofiary swojej, i zabije ją przed namiotem zgromadzenia; i wyleją synowie Aaronowi krew jej na wierzch ołtarza w około.
9 Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta dhabihu iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yake, mafuta yote ya mkia uliokatwa karibu na uti wa mgongo, mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani au yale yanayounganika nazo,
I będzie ofiarował z ofiary spokojnej ofiarę ognistą Panu, tłustość jej, ogon cały, który od grzbietu odejmie, także i tłustość, okrywającą wnętrzności, i wszystkę tłustość, która jest na wnętrznościach.
10 figo mbili pamoja na mafuta yanayozizunguka yaliyo karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayatoa pamoja na figo.
Obie też nerki z tłustością, która jest na nich, i na polędwicach, i odzieczkę, która na wątrobie, z nerkami odejmie.
11 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
I zapali to kapłan na ołtarzu, pokarm to jest ofiary ognistej Panu.
12 “‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za Bwana.
Jeźliby zaś koza była ofiarą jego, tedy ją ofiarować będzie przed obliczem Pańskiem.
13 Ataweka mkono wake juu ya kichwa chake na kumchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.
I położy rękę swoję na głowę jej, i zabije ją przed namiotem zgromadzenia, i wyleją synowie Aaronowi krew jej na wierzch ołtarza w około.
14 Kutokana na ile sadaka anayotoa, atatoa sadaka hii kwa Bwana kwa moto: mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani na yale yanayoungana nazo,
I ofiarować będzie z niej ofiarę swoję na ofiarę ognistą Panu, tłustość okrywającą wnętrzności, i wszystkę tłustość, która jest na wnętrznościach.
15 figo zote mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake karibu na kiuno na yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.
Obie też nerki z tłustością która jest na nich i na polędwicach, i odzieczkę która na wątrobie, z nerkami odejmie.
16 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri. Mafuta yote ya mnyama ni ya Bwana.
I zapali to kapłan na ołtarzu, pokarm to jest ofiary ognistej na wdzięczną wonność; bo wszystka tłustość jest Pańska.
17 “‘Hii ni kanuni ya kudumu kwa vizazi vijavyo, popote muishipo: Msile mafuta yoyote ya mnyama wala damu.’”
Prawem wiecznem w narodziech waszych, we wszystkich mieszkaniach waszych, żadnej tłustości i żadnej krwi jeść nie będziecie.

< Mambo ya Walawi 3 >