< Mambo ya Walawi 1 >

1 Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia,
I PAN zawołał do Mojżesza, i powiedział do niego z Namiotu Zgromadzenia:
2 “Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.
Przemów do synów Izraela i powiedz im: Jeśli ktoś z was zechce złożyć PANU ofiarę, niech złoży ją z bydła, ze stada albo z trzody.
3 “‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana.
Jeśli jego ofiara całopalna [będzie] ze stada, niech złoży samca bez skazy. Niech go złoży dobrowolnie przed PANEM u wejścia do Namiotu Zgromadzenia.
4 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake.
I położy swą rękę na głowie ofiary całopalnej, a zostanie przyjęta jako przebłaganie za niego.
5 Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania.
Potem zabije tego cielca przed PANEM. A kapłani, synowie Aarona, ofiarują krew i pokropią tą krwią z wierzchu dokoła ołtarz, który [jest] przed wejściem do Namiotu Zgromadzenia.
6 Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
I obedrze ofiarę całopalną ze skóry, i pokroi ją na części.
7 Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.
Wtedy synowie kapłana Aarona położą ogień na ołtarzu i ułożą drwa na ogniu.
8 Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
Potem kapłani, synowie Aarona, porządnie ułożą te części oraz głowę i tłuszcz na drwach leżących na ogniu na ołtarzu.
9 Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
A jego wnętrzności i nogi obmyje wodą. I kapłan spali to wszystko na ołtarzu. To jest całopalenie, ofiara ogniowa, miła woń dla PANA.
10 “‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari.
A jeśli jego ofiara na całopalenie będzie z trzody, owiec lub kóz, niech weźmie samca bez skazy;
11 Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu.
I zabije go obok ołtarza po północnej stronie przed PANEM. A kapłani, synowie Aarona, pokropią jego krwią z wierzchu ołtarz dokoła.
12 Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
Potem pokroi go na części wraz z jego głową i tłuszczem. A kapłan ułoży je porządnie na drwach leżących na ogniu na ołtarzu.
13 Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Wnętrzności zaś i nogi obmyje wodą. I kapłan weźmie to wszystko, i spali na ołtarzu. To jest całopalenie, ofiara ogniowa, miła woń dla PANA.
14 “‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa.
A jeśli jego ofiara na całopalenie dla PANA będzie z ptactwa, niech weźmie swoją ofiarę z synogarlic albo z młodych gołębi.
15 Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu.
Kapłan przyniesie go do ołtarza, ukręci mu głowę i spali na ołtarzu, a jego krew wyciśnie na ścianę ołtarza.
16 Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu.
I usunie wole wraz z jego pierzem i wyrzuci je na popielisko, obok ołtarza po wschodniej stronie;
17 Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
I naderwie jego skrzydła, [ale ich] nie oderwie. I kapłan spali to na ołtarzu, na drwach leżących na ogniu. To jest całopalenie, ofiara ogniowa, miła woń dla PANA.

< Mambo ya Walawi 1 >