< Ayubu 31 >

1 “Nimefanya agano na macho yangu yasimtazame msichana kwa kumtamani.
Zawarłem przymierze ze swoimi oczami; jak mógłbym więc myśleć o pannie?
2 Kwa kuwa fungu la mwanadamu ni gani kutoka kwa Mungu juu, urithi wake kutoka kwa Mungu Mwenye Nguvu Aliye juu?
Jaki bowiem byłby dział od Boga z góry? I jakie byłoby dziedzictwo od Wszechmocnego z wysoka?
3 Je, si uharibifu kwa watu waovu, maangamizi kwa wale watendao mabaya?
Czy zatracenie nie jest [przygotowane] dla niegodziwych i sroga pomsta dla czyniących nieprawość?
4 Je, yeye hazioni njia zangu na kuihesabu kila hatua yangu?
Czyż on nie widzi moich dróg i nie liczy wszystkich moich kroków?
5 “Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
Jeśli postępowałem kłamliwie, jeśli moja noga spieszyła się do oszustwa;
6 Mungu na anipime katika mizani za uaminifu, naye atajua kwamba sina hatia:
To niech zważy mnie na wadze sprawiedliwej i niech Bóg pozna moją prawość.
7 kama hatua zangu zimepotoka kutoka kwenye njia, kama moyo wangu umeongozwa na macho yangu, au kama mikono yangu imetiwa unajisi,
Jeśli moja noga zboczyła z drogi i moje serce poszło za moimi oczami, i jeśli jakaś zmaza przylgnęła do moich rąk;
8 basi wengine na wale nilichokipanda, nayo yale yote niliyootesha na yangʼolewe.
Wtedy niech ja sieję, a inny spożywa, niech moje latorośle będą wykorzenione.
9 “Kama moyo wangu umeshawishiwa na mwanamke, au kama nimevizia mlangoni mwa jirani yangu,
Jeśli moje serce uwiodła kobieta i jeśli czyhałem pod drzwiami swego bliźniego;
10 basi mke wangu na asage nafaka ya mwanaume mwingine, nao wanaume wengine walale naye.
To niech moja żona mieli innemu i niech inni się nad nią schylają.
11 Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu, naam, dhambi ya kuhukumiwa.
[Jest] to bowiem haniebny czyn, karygodna nieprawość;
12 Ni moto uwakao kwa Uharibifu; ungekuwa umengʼoa mavuno yangu.
To jest ogień, który pożera aż do zatracenia i może wykorzenić cały mój dobytek.
13 “Kama ningewanyima haki watumishi wangu wanaume au vijakazi wangu, walipokuwa na manungʼuniko dhidi yangu,
Jeśli zlekceważyłem sprawę swojego sługi albo swojej służącej, gdy wiedli spór ze mną;
14 nitafanya nini Mungu atakaponikabili? Nitamjibu nini nitakapoitwa kutoa hesabu?
Co zrobię, gdy Bóg powstanie? Gdy mnie nawiedzi, co mu odpowiem?
15 Je, yeye aliyeniumba tumboni mwa mama yangu, si ndiye aliwaumba? Je, si ni yeye huyo mmoja aliyetuumba sote ndani ya mama zetu?
Czy ten, który mnie stworzył w łonie, nie stworzył też jego? Czy nie on jeden ukształtował nas w łonie?
16 “Ikiwa nimewanyima maskini haja zao, au kuyaacha macho ya wajane yadhoofike,
Jeśli odmówiłem prośbie ubogich i jeśli zasmuciłem oczy wdowy;
17 kama nimekula chakula changu mwenyewe, bila kuwashirikisha yatima;
Jeśli sam jadłem swoją kromkę [i] nie jadła z niej sierota;
18 lakini tangu ujana wangu nimemlea yatima kama ambavyo baba angefanya, nami tangu kuzaliwa kwangu nimewaongoza wajane:
(Od swojej młodości bowiem wychowywałem ją jak ojciec, a od łona swojej matki prowadziłem [wdowę]);
19 kama nilimwona yeyote akiteseka kwa kukosa nguo, au mtu mhitaji asiye na mavazi
Jeśli widziałem ginącego z powodu braku ubrania albo biedaka bez okrycia;
20 ambaye wala moyo wake haukunibariki kwa kumpatia joto kwa mavazi ya manyoya ya kondoo zangu,
Jeśli jego biodra nie błogosławiły mi dlatego, że się zagrzał wełną moich owiec;
21 na kama nimeinua mkono wangu dhidi ya yatima, nikijua kuwa nina ushawishi mahakamani,
Jeśli podniosłem rękę przeciwko sierocie, gdy widziałem w bramie swoją pomoc;
22 basi mkono wangu na unyofoke toka begani mwangu, nao na uvunjike kutoka kiungio chake.
Wtedy niech odpadnie mój bark od karku, a niech moje ramię wyjdzie ze stawu.
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu, nami kwa kuuogopa utukufu wake sikuweza kufanya mambo kama hayo.
Bałem się bowiem klęski od Boga, a przed jego majestatem nie mógłbym [się ostać].
24 “Kama nimeweka tumaini langu kwenye dhahabu, au kuiambia dhahabu safi, ‘Wewe ndiwe salama yangu,’
Jeśli pokładałem w złocie swoją nadzieję, a do czystego złota mówiłem: [Ty jesteś] moją ufnością;
25 kama nimefurahia wingi wa utajiri wangu, ustawi ambao mikono yangu ilikuwa imepata,
Jeśli radowałem się ze swojego wielkiego bogactwa i [tego], że moja ręka nabyła wiele;
26 kama nimelitazama jua katika kungʼaa kwake au mwezi ukienda kwa fahari yake,
Jeśli patrzyłem na słońce, gdy świeciło, i na księżyc, gdy sunął wspaniale;
27 hivyo moyo wangu kushawishiwa kwa siri, au kubusu mkono wangu kwa kuviheshimu,
A moje serce dało się uwieść potajemnie i moje usta całowały moją rękę;
28 basi hiyo pia ingekuwa dhambi ya kuhukumiwa, kwa kuwa ningekuwa si mwaminifu kwa Mungu aishiye juu sana.
I to byłaby nieprawość karygodna, bo zaparłbym się Boga z wysoka.
29 “Kama nimeshangilia msiba wa adui yangu, au kutazama kwa furaha taabu iliyomjia,
Jeśli cieszyłem się z upadku tego, który mnie nienawidzi, jeśli wyniosłem się, gdy mu się źle wiodło;
30 lakini sikuruhusu kinywa changu kufanya dhambi kwa kuomba laana dhidi ya maisha yake;
(Nawet nie pozwoliłem zgrzeszyć swoim ustom, pragnąc przekleństwa na jego duszy);
31 kama watu wa nyumbani mwangu kamwe hawakusema, ‘Ni nani ambaye hajashibishwa na nyama ya Ayubu?’
Czy ludzie z mojego namiotu nie mówili: Obyśmy mieli z jego mięsa! Nie możemy się najeść.
32 Lakini hakuna mgeni aliyelala njiani, kwa maana mlango wangu ulikuwa wazi kwa msafiri;
Obcy nie nocował na dworze, swoje drzwi otwierałem podróżnemu.
33 kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,
Jeśli ukrywałem swoje przestępstwa jak Adam i chowałem w zanadrzu swoją nieprawość;
34 kwa sababu ya kuogopa umati wa watu, na hivyo kuwa na hofu ya kudharauliwa na jamaa, nikanyamaza kimya nisitoke nje ya mlango:
Czy strach przed wielką zgrają albo pogarda bliskich przeraziły mnie, abym milczał i nie wychodził [za] drzwi?
35 (“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia! Tazama sasa ninatia sahihi kwenye utetezi wangu: Mwenyezi na anijibu; mshtaki wangu na aweke mashtaka yake kwenye maandishi.
Obym miał kogoś, kto by mnie wysłuchał! Oto moja prośba, [aby] Wszechmogący odpowiedział mi i aby mój wróg napisał księgę.
36 Hakika ningeyavaa begani mwangu, ningeyavaa kama taji.
Czy nie nosiłbym jej na swoim ramieniu i nie przywiązałbym jej sobie [jak] koronę?
37 Ningempa hesabu ya kila hatua yangu, ningemwendea kama mwana wa mfalme.)
Oznajmiłbym mu liczbę swoich kroków; zbliżyłbym się do niego jak książę.
38 “Kama nchi yangu inalia dhidi yangu, na mifereji yake yote imelowana kwa machozi,
Jeśli moja ziemia wołała przeciwko mnie, jeśli razem z nią płakały jej bruzdy;
39 kama nimekula mazao yake bila malipo, au kuvunja mioyo ya wapangaji wake,
Jeśli spożywałem z jej plonów bez zapłaty, jeśli jej właścicieli pozbawiłem życia;
40 basi miiba na iote badala ya ngano, na magugu badala ya shayiri.” Mwisho wa maneno ya Ayubu.
Niech rosną ciernie zamiast pszenicy i sam kąkol zamiast jęczmienia. Skończyły się słowa Hioba.

< Ayubu 31 >