< Isaya 9 >

1 Hata hivyo, hapatakuwepo huzuni tena kwa wale waliokuwa katika dhiki. Wakati uliopita aliidhili nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, lakini katika siku zijazo ataiheshimu Galilaya ya Mataifa, karibu na njia ya bahari, kando ya Yordani:
Mrok jednak nie będzie taki, jak [był] w czasie jej ucisku, gdy [Bóg] dotknął ziemię Zebulona i ziemię Neftalego, ani [jak] potem, [gdy] trapił ją przy drodze morskiej za Jordanem, w Galilei pogan.
2 Watu wanaotembea katika giza wameona nuru kuu, wale wanaoishi katika nchi ya uvuli wa mauti, nuru imewazukia.
Lud, który chodził w ciemności, ujrzał wielką światłość, a mieszkającym w ziemi cienia śmierci zajaśniała światłość.
3 Umelikuza taifa, na kuzidisha furaha yao, wanafurahia mbele zako, kama watu wanavyofurahia wakati wa mavuno, kama watu wafurahivyo wagawanyapo nyara.
Rozmnożyłeś ten naród, ale nie zwiększyłeś radości. Będą się jednak radować przed tobą, jak się radują w czasie żniwa, jak się radują przy podziale łupów;
4 Kama vile siku ya kushindwa kwa Wamidiani, umevunja nira iliyowalemea, ile gongo mabegani mwao na fimbo yake yeye aliyewaonea.
Gdyż złamałeś jarzmo jego ciężaru i laskę jego ramienia, pręt jego ciemięzcy, jak za dni Midianitów.
5 Kila kiatu cha askari kilichotumiwa vitani, na kila vazi lililovingirishwa katika damu vitawekwa kwa ajili ya kuchomwa, vitakuwa kuni za kuwasha moto.
Każdej bitwie wojowników towarzyszą trzask i szaty zbroczone krwią, lecz tej – spalenie i ogień.
6 Kwa maana, kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanaume, nao utawala utakuwa mabegani mwake. Naye ataitwa Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.
Dziecko bowiem narodziło się nam, syn został nam dany. Na jego ramieniu spocznie władza, a nazwą go imieniem: Cudowny, Doradca, Bóg Mocny, Ojciec Wieczności, Książę Pokoju;
7 Kuongezeka kwa utawala wake na amani hakutakuwa na mwisho. Atatawala katika kiti cha enzi cha Daudi na juu ya ufalme wake, akiuthibitisha na kuutegemeza kwa haki na kwa adili, tangu wakati huo na hata milele. Wivu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote utatimiza haya.
A rozszerzeniu jego władzy i pokoju nie będzie końca, [zasiądzie] na tronie Dawida i nad jego królestwem, aż je ustanowi i utwierdzi sądem i sprawiedliwością, odtąd i na wieki. Dokona tego gorliwość PANA zastępów.
8 Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo, utamwangukia Israeli.
Pan posłał słowo do Jakuba i spadło na Izraela.
9 Watu wote watajua hili: Efraimu na wakazi wa Samaria, wanaosema kwa kiburi na majivuno ya mioyo,
Pozna je cały lud, Efraim i mieszkańcy Samarii, którzy mówią w pysze i wyniosłości serca:
10 “Matofali yameanguka chini, lakini tutajenga tena kwa mawe yaliyochongwa, mitini imeangushwa, lakini tutapanda mierezi badala yake.”
Cegły rozsypały się, ale [my] będziemy budować ciosanym kamieniem. Wycięto sykomory, ale [my] zastąpimy [je] cedrami.
11 Lakini Bwana amemtia nguvu adui wa Resini dhidi yao na kuchochea watesi wao.
PAN wywyższy wrogów Resina przeciwko niemu i zjednoczy jego nieprzyjaciół;
12 Waashuru kutoka upande wa mashariki na Wafilisti kutoka upande wa magharibi wameila Israeli kwa kinywa kilichopanuliwa. Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali, mkono wake bado umeinuliwa juu.
Syryjczyków z przodu i Filistynów z tyłu; i pożrą Izraela całą paszczą. Mimo tego wszystkiego jego gniew nie ustał, ale jego ręka jest jeszcze wyciągnięta.
13 Lakini watu hawajamrudia yeye aliyewapiga, wala hawajamtafuta Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Lud bowiem nie nawraca się do tego, który go bije, ani nie szuka PANA zastępów;
14 Kwa hiyo Bwana atakatilia mbali kutoka Israeli kichwa na mkia, tawi la mtende na tete katika siku moja.
Dlatego PAN odetnie Izraelowi głowę i ogon, gałąź i sitowie, w jednym dniu.
15 Wazee na watu mashuhuri ndio vichwa, nao manabii wanaofundisha uongo ndio mkia.
Starzec i dostojnik – to głowa, a prorok, który uczy kłamstwa – to ogon.
16 Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha, nao wale wanaoongozwa wamepotoka.
Przywódcy tego ludu stali się bowiem zwodzicielami, a ci, którym przewodzą, giną.
17 Kwa hiyo Bwana hatawafurahia vijana, wala hatawahurumia yatima na wajane, kwa kuwa kila mmoja wao hamchi Mungu, nao ni waovu, na kila kinywa kinanena upotovu. Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali, mkono wake bado umeinuliwa juu.
Dlatego Pan nie ucieszy się z jego młodzieńców i nie zlituje się nad jego sierotami i wdowami. Wszyscy bowiem są obłudni i niegodziwi, a każde usta mówią sprośności. Mimo tego wszystkiego jego gniew nie ustał, ale jego ręka jest jeszcze wyciągnięta.
18 Hakika uovu huwaka kama moto; huteketeza michongoma na miiba, huwasha moto vichaka vya msituni, hujiviringisha kuelekea juu kama nguzo ya moshi.
Niegodziwość bowiem płonie jak ogień, pożre głogi i ciernie, potem zapali się w gęstwinach lasu, skąd jak dym unoszą się.
19 Kwa hasira ya Bwana Mwenye Nguvu Zote nchi itachomwa kwa moto, nao watu watakuwa kuni za kuchochea moto. Hakuna mtu atakayemhurumia ndugu yake.
Od gniewu PANA zastępów zaćmi się ziemia, a ten lud będzie jak strawa dla ognia. Nikt nie oszczędzi swego brata.
20 Upande wa kuume watakuwa wakitafuna, lakini bado wataona njaa; upande wa kushoto watakuwa wakila, lakini hawatashiba. Kila mmoja atajilisha kwa nyama ya mtoto wake mwenyewe:
A porwie, co [znajduje się] po prawej stronie, ale nadal będzie głodny; zje, co z lewej, ale nie nasyci się. Każdy z nich będzie pożerać ciało swego ramienia;
21 Manase atamla Efraimu, naye Efraimu atamla Manase; nao pamoja watakuwa kinyume na Yuda. Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali, mkono wake bado umeinuliwa juu.
Manasses – Efraima, a Efraim – Manassesa, a obaj razem [będą] przeciwko Judzie. Mimo tego wszystkiego jego gniew nie ustał, ale jego ręka [jest] jeszcze wyciągnięta.

< Isaya 9 >