< Isaya 29 >

1 Ole wako, wewe Arieli, Arieli, mji alimokaa Daudi! Ongezeni mwaka kwa mwaka, na mzunguko wa sikukuu zenu uendelee.
Biada Arielu, Arielu, miasto, w którym mieszkał Dawid. Dodawajcie rok do roku, niech zarzynają barany.
2 Hata hivyo nitauzunguka Arieli kwa jeshi, utalia na kuomboleza, utakuwa kwangu kama mahali pa kuwashia moto madhabahuni.
Ześlę jednak ucisk na Ariela i nastanie smutek i lament, i będzie mi jak Ariel.
3 Nitapiga kambi pande zote dhidi yako, nitakuzunguka kwa minara na kupanga mazingirwa yangu dhidi yako.
Rozbiję obóz przeciwko tobie dokoła, otoczę cię wałami i wzniosę przeciwko tobie baszty.
4 Utakaposhushwa, utanena kutoka ardhini, utamumunya maneno yako kutoka mavumbini. Sauti yako itatoka katika nchi kama vile ya mzimu, utanongʼona maneno yako toka mavumbini.
Wtedy poniżony będziesz mówił z ziemi, z prochu ledwie wyjdzie twoja mowa i twój głos będzie mówił z ziemi jak głos czarownika, a twoja mowa z prochu jak szept.
5 Lakini adui zako wengi watakuwa kama vumbi laini, kundi la wakatili watakuwa kama makapi yapeperushwayo. Naam, ghafula, mara moja,
Mnóstwo twoich wrogów będzie jak drobny pył, a zgraja okrutników jak rozwiane plewy. A stanie się to nagle, w okamgnieniu.
6 Bwana Mwenye Nguvu Zote atakuja na ngurumo, tetemeko la ardhi, na kwa sauti kuu, atakuja na dhoruba, tufani na miali ya moto iteketezayo.
Zostaniesz nawiedzony od PANA zastępów grzmotem, trzęsieniem ziemi i wielkim hukiem, wichurą, burzą i płomieniem trawiącego ognia.
7 Kisha makundi ya mataifa yote yale yapiganayo dhidi ya Arieli, yale yanayomshambulia yeye na ngome zake, na kumzunguka kwa jeshi, watakuwa kama ilivyo ndoto, kama maono wakati wa usiku:
Jak sen nocnego widzenia będzie zgraja wszystkich narodów walczących przeciwko Arielowi i wszystkich, którzy walczą przeciwko niemu i jego twierdzom, oraz tych, którzy go uciskają.
8 kama vile mtu aliye na njaa aotavyo kuwa anakula, lakini huamka, bado njaa yake ingalipo, kama vile mtu mwenye kiu aotavyo kuwa anakunywa maji, lakini huamka akiwa anazimia, akiwa bado angali ana kiu. Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa makundi yote ya mataifa yanayopigana dhidi ya Mlima Sayuni.
Będzie tak jak [wtedy], gdy śni się głodnemu, że je, ale gdy się obudzi, ma pusty żołądek; i jak [wtedy], gdy śni się spragnionemu, że pije, a gdy się obudzi, nadal jest słaby i jego dusza jest spragniona. Tak będzie ze zgrają wszystkich narodów walczących przeciwko górze Syjon.
9 Duwaeni na kushangaa, jifanyeni vipofu wenyewe na msione, leweni, lakini si kwa mvinyo, pepesukeni lakini si kwa kileo.
Zatrzymujcie się i zdumiewajcie; rozkoszujcie, choćbyście mieli wołać na pomoc. Upili się, ale nie winem; zataczają się, ale nie od mocnego napoju.
10 Bwana amewaleteeni usingizi mzito: Ameziba macho yenu (ninyi manabii); amefunika vichwa vyenu (ninyi waonaji).
PAN bowiem wylał na was ducha twardego snu i zamknął wasze oczy. [Oczy] waszych proroków i książąt, widzących, zasłonił.
11 Kwa maana kwenu ninyi, maono haya yote si kitu ila maneno yaliyotiwa lakiri katika kitabu. Kama mkimpa mtu yeyote awezaye kusoma kitabu hiki, nanyi mkamwambia, “Tafadhali kisome,” yeye atajibu, “Mimi siwezi, kwa kuwa kimetiwa lakiri.”
Dlatego całe to widzenie stało się dla was jak słowa zapieczętowanej księgi, którą podaje się temu, kto umie czytać, mówiąc: Przeczytaj to, proszę, na co odpowiada: Nie mogę, bo jest zapieczętowana.
12 Au kama mkimpa mtu yeyote kitabu hiki asiyeweza kusoma na kumwambia, “Tafadhali kisome,” atajibu, “Mimi sijui kusoma.”
A jeśli podaje się księgę temu, kto nie umie czytać, mówiąc: Czytaj to, proszę, [ten] wtedy odpowiada: Nie umiem czytać.
13 Bwana anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao na kuniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. Ibada yao kwangu inatokana na maagizo waliyofundishwa na wanadamu.
Mówi więc PAN: Ponieważ ten lud zbliża się do mnie swymi ustami i czci mnie swymi wargami, a jego serce jest daleko ode mnie i jego bojaźń wobec mnie jest wyuczoną przez nakazy ludzi;
14 Kwa hiyo mara nyingine tena nitawashangaza watu hawa, kwa ajabu juu ya ajabu. Hekima ya wenye hekima itapotea, nayo akili ya wenye akili itatoweka.”
Dlatego ja będę postępował przedziwnie z tym ludem, przedziwnie i cudownie; zginie mądrość jego mądrych, a rozum jego roztropnych się skryje.
15 Ole kwa wale wanaokwenda kwenye vilindi virefu kumficha Bwana mipango yao, wafanyao kazi zao gizani na kufikiri, “Ni nani anayetuona? Ni nani atakayejua?”
Biada tym, którzy głęboko przed PANEM ukrywają swój zamysł, których czyny są popełnione w ciemności i mówią: Kto nas widzi? Kto o nas wie?
16 Mnapindua mambo juu chini, kana kwamba mfinyanzi aweza kufikiriwa kuwa kama udongo wa mfinyanzi! Je, kile kilichofinyangwa chaweza kumwambia yule aliyekifinyanga, “Wewe hukunifinyanga mimi?” Je, chungu kinaweza kumwambia mfinyanzi, “Wewe hujui chochote?”
Wasze przewrotne myśli są jak glina garncarska. Czyż glina powie o tym, co ją uczynił: Nie uczynił mnie? Czyż to, co ulepione, powie o tym, co je ulepił: Nie miał rozumu?
17 Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba liwe kama msitu?
Czyż nie w bardzo krótkim czasie Liban obróci się w pole, a pole będzie uważane za las?
18 Katika siku ile viziwi watasikia maneno ya kitabu, na katika utusitusi na giza macho ya kipofu yataona.
Tego dnia głusi usłyszą słowa księgi, a oczy ślepych przejrzą z mroku i ciemności.
19 Mara nyingine tena wanyenyekevu watafurahi katika Bwana, wahitaji watafurahi katika yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.
Cisi jeszcze bardziej się rozweselą w PANU, a ubodzy spośród ludzi rozradują się w Świętym Izraela.
20 Wakatili watatoweka na wenye kudhihaki watatokomea, nao wote wenye jicho la uovu watakatiliwa mbali,
Gdyż nastanie kres dla okrutnika, zniszczeje szyderca i zostaną wytępieni wszyscy, którzy czyhają na nieprawość;
21 wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia, wamtegeao mtego mtetezi katika mahakama, na kwa ushuhuda wa uongo humnyima haki yeye asiye na hatia.
Którzy obwiniają człowieka za słowo, zastawiają sidło na tego, który ich strofuje w bramie, i bez powodu doprowadzają sprawiedliwego do upadku.
22 Kwa hiyo hili ndilo Bwana, aliyemkomboa Abrahamu, analosema kwa nyumba ya Yakobo: “Yakobo hataaibishwa tena, wala nyuso zao hazitabadilika sura tena.
Dlatego tak mówi PAN, który odkupił Abrahama, o domu Jakuba: Jakub już więcej nie zazna wstydu ani jego twarz już nie zblednie.
23 Wakati watakapoona watoto wao miongoni mwao, kazi ya mikono yangu, watalitakasa Jina langu takatifu; wataukubali utakatifu wa yeye Aliye Mtakatifu wa Yakobo, nao watamcha Mungu wa Israeli.
Gdy bowiem ujrzy pośród siebie swoich synów, dzieło moich rąk, poświęcą moje imię, poświęcą Świętego Jakuba, i będą się bać Boga Izraela.
24 Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu, nao wale wanaolalamika watayakubali mafundisho.”
Ci, którzy błądzili duchem, nabiorą rozumu, ci, którzy szemrali, przyjmą naukę.

< Isaya 29 >