< Isaya 20 >

1 Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,
W roku, w którym Tartan przybył do Aszdodu, wysłany tam przez Sargona, króla Asyrii, walczył przeciw Aszdodu i go zdobył;
2 wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.
W tym czasie PAN powiedział przez Izajasza, syna Amosa: Idź, zdejmij wór ze swych bioder i obuwie ze swoich nóg. I uczynił tak, chodząc nago i boso.
3 Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi,
I PAN powiedział: Jak mój sługa Izajasz chodzi nago i boso przez trzy lata jako znak i cud dla Egiptu i Etiopii;
4 vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri.
Tak król Asyrii uprowadzi więźniów Egiptu i jeńców Etiopii, młodych i starych, nagich i bosych, z obnażonymi pośladkami, na pohańbienie Egiptu.
5 Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika.
I przestraszą się, i zawstydzą z powodu Etiopii, ich nadziei, i z powodu Egiptu, ich chluby.
6 Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’”
Tego dnia mieszkaniec tej wyspy powie: Oto co się stało z naszą nadzieją, do której uciekliśmy się o pomoc, abyśmy zostali wyzwoleni od króla Asyrii. A teraz jak zdołamy ujść cało?

< Isaya 20 >