< Hosea 6 >

1 “Njooni, tumrudie Bwana. Ameturarua vipande vipande lakini atatuponya; ametujeruhi lakini atatufunga majeraha yetu.
Chodźcie i zawróćmy do PANA, bo on [nas] poszarpał i on nas uzdrowi; uderzył, a opatrzy nasze [rany].
2 Baada ya siku mbili atatufufua; katika siku ya tatu atatuinua, ili tuweze kuishi mbele zake.
Ożywi nas po dwóch dniach, a trzeciego dnia wzbudzi nas i będziemy żyć przed jego obliczem.
3 Tumkubali Bwana, tukaze kumkubali yeye. Kutokea kwake ni hakika kama vile kuchomoza kwa jua; atatujia kama mvua za masika, kama vile mvua za vuli ziinyweshavyo nchi.”
Wtedy poznamy i będziemy się starać poznać PANA. Jego wyjście bowiem jest przygotowane jak zorza poranna, przyjdzie do nas jak deszcz wiosenny i jesienny, który nawadnia ziemię.
4 “Nifanye nini nawe, Efraimu? Nifanye nini nawe, Yuda? Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi, kama umande wa alfajiri utowekao.
Cóż mam ci uczynić, Efraimie? Cóż mam ci uczynić, Judo? Wasza dobroć bowiem jest jak obłok poranny, jak rosa, [która] rano znika.
5 Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande kwa kutumia manabii wangu; nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu, hukumu zangu zinawaka kama umeme juu yenu.
Dlatego ciosałem [ich] przez proroków, zabijałem ich słowami moich ust, aby wyszła światłość twoich sądów.
6 Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu, kumkubali Mungu zaidi kuliko sadaka za kuteketezwa.
Pragnę bowiem miłosierdzia, a nie ofiary, i poznania Boga bardziej niż całopalenia.
7 Wamevunja Agano kama Adamu: huko hawakuwa waaminifu kwangu.
Ale oni zerwali [moje] przymierze jako ludzkie, w tym mi się sprzeniewierzyli.
8 Gileadi ni mji wenye watu waovu, umetiwa madoa kwa nyayo za damu.
Gilead jest miastem czyniących nieprawość, splamionym krwią.
9 Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu, ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo; wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu, wakifanya uhalifu wa aibu.
A jak zbójcy czyhają na człowieka, [tak czyni] zgraja kapłanów na drodze do Sychem, bo popełniają czyny wstydliwe.
10 Nimeona jambo la kutisha katika nyumba ya Israeli. Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba na Israeli amenajisika.
Widziałem w domu Izraela rzeczy okropne: tam jest nierząd Efraima, a Izrael się splugawił.
11 “Pia kwa ajili yako, Yuda, mavuno yameamriwa. “Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,
I dla ciebie, Judo, wyznaczył żniwo, gdy odwróciłem niewolę mojego ludu.

< Hosea 6 >