< Mwanzo 8 >

1 Mungu akamkumbuka Noa na wanyama wote wa porini na wa kufugwa waliokuwa naye ndani ya safina, akatuma upepo ukavuma katika dunia, nayo maji yakaondoka.
Bóg pamiętał jednak o Noem i wszystkich zwierzętach, i wszelkim bydle, które [było] z nim w arce, i sprowadził Bóg wiatr na ziemię, a wody zaczęły opadać.
2 Zile chemchemi zilizo chini sana ya ardhi pamoja na malango ya mafuriko ya mbinguni yakawa yamefungwa nayo mvua ikawa imekoma kunyesha kutoka angani.
I źródła głębi i okna nieba zamknęły się, i deszcz z nieba został zatrzymany.
3 Maji yakaendelea kupungua taratibu katika nchi. Kunako mwisho wa siku ya 150, maji yalikuwa yamepungua,
Wody stopniowo ustępowały z powierzchni ziemi, a po upływie stu pięćdziesięciu dni wody opadły.
4 katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.
I arka osiadła na górach Ararat w siódmym miesiącu, siedemnastego dnia [tego] miesiąca.
5 Maji yakaendelea kupungua hadi mwezi wa kumi, na siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya milima vikaonekana.
A wody opadały nadal aż do dziesiątego miesiąca. I w dziesiątym miesiącu, pierwszego dnia, ukazały się szczyty gór.
6 Baada ya siku arobaini Noa akafungua dirisha alilokuwa amelifanya katika safina
Po upływie czterdziestu dni Noe otworzył okno arki, które zrobił.
7 na akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya nchi.
I wypuścił kruka, który wylatywał i wracał, aż wyschły wody na ziemi.
8 Kisha akamtoa hua ili aone kama maji yameondoka juu ya uso wa ardhi.
Potem wypuścił gołębicę, aby zobaczyć, czy wody opadły z powierzchni ziemi.
9 Lakini hua hakupata mahali pa kutua kwa kuwa maji yalienea juu ya uso wa dunia yote, kwa hiyo akarudi kwa Noa ndani ya safina. Noa akanyoosha mkono akamchukua yule hua akamrudisha ndani ya safina.
A gdy gołębica nie znalazła dla siebie miejsca spoczynku, wróciła do niego do arki, bo wody [były] jeszcze na całej powierzchni ziemi. Wyciągnął więc swoją rękę, pochwycił ją i wziął do siebie do arki.
10 Noa akangojea siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka safina.
A gdy odczekał jeszcze drugie siedem dni, ponownie wypuścił gołębicę z arki.
11 Wakati hua aliporejea kwa Noa jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule! Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juu ya uso wa dunia.
I gołębica wróciła do niego pod wieczór, a oto w dziobie zerwany liść oliwny. Tak Noe poznał, że wody opadły z powierzchni ziemi.
12 Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Noa.
Odczekał jeszcze drugie siedem dni i wypuścił gołębicę, ale już do niego nie wróciła.
13 Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka 601, wa kuishi kwake Noa, maji yalikuwa yamekauka duniani. Kisha Noa akafungua mlango wa safina akaona ya kuwa uso wa ardhi ulikuwa umekauka.
W sześćset pierwszym roku, w pierwszym miesiącu, pierwszego [dnia], wyschły wody na ziemi. Wtedy Noe zdjął przykrycie arki i zobaczył, że powierzchnia ziemi była sucha.
14 Katika siku ya ishirini na saba ya mwezi wa pili dunia ilikuwa imekauka kabisa.
A w drugim miesiącu, dwudziestego siódmego dnia [tego] miesiąca, wyschła ziemia.
15 Ndipo Mungu akamwambia Noa,
I Bóg powiedział do Noego:
16 “Toka ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na wake zao.
Wyjdź z arki, ty i z tobą twoja żona, twoi synowie i żony twoich synów.
17 Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”
Wyprowadź ze sobą wszystkie zwierzęta, które [są] z tobą, z wszelkiego ciała, ptactwa, bydła i wszelkich zwierząt pełzających, które pełzają po ziemi, i niech się rozrodzą na ziemi, niech będą płodne i niech się rozmnażają na ziemi.
18 Kwa hiyo Noa akatoka nje pamoja na mkewe, wanawe na wake zao.
Wyszedł więc Noe i z nim jego synowie, jego żona i żony jego synów.
19 Wanyama wote na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi na ndege wote, kila kitu kiendacho juu ya nchi, aina moja baada ya nyingine vikatoka katika safina, kila aina ya kiumbe, kimoja baada ya kingine.
Wyszły także z arki wszelkie bydlęta, wszelkie zwierzęta pełzające, wszelkie ptactwo oraz wszystko, co pełza po ziemi, według swoich rodzajów.
20 Kisha Noa akamjengea Bwana madhabahu, akachukua baadhi ya wale wanyama na ndege wote walio safi, akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.
Potem Noe zbudował ołtarz dla PANA i wziął z każdego czystego zwierzęcia i z każdego czystego ptactwa, i złożył całopalenia na tym ołtarzu.
21 Bwana akasikia harufu nzuri ya kupendeza, naye akasema moyoni mwake, “Kamwe sitailaani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, hata ingawa kila mwelekeo wa moyo wake ni mbaya tangu ujana. Kamwe sitaangamiza tena viumbe hai vyote kama nilivyofanya.
I PAN poczuł miłą woń, i PAN powiedział w swoim sercu: Nie będę więcej przeklinał ziemi z powodu człowieka, bo myśl serca człowieka [jest] zła od jego młodości. Nie wytracę więcej wszystkiego, co żyje, jak [teraz] uczyniłem.
22 “Kwa muda dunia idumupo, wakati wa kupanda na wa kuvuna, wakati wa baridi na wa joto, wakati wa kiangazi na wa masika, usiku na mchana kamwe havitakoma.”
Póki ziemia będzie trwać, nie ustaną siew i żniwo, zimno i gorąco, lato i zima, dzień i noc.

< Mwanzo 8 >

A Dove is Sent Forth from the Ark
A Dove is Sent Forth from the Ark