< Mwanzo 5 >

1 Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu. Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu.
아담 자손의 계보가 이러하니라 하나님이 사람을 창조하실 때에 하나님의 형상대로 지으시되
2 Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”
남자와 여자를 창조하셨고 그들이 창조되던 날에 하나님이 그들에게 복을 주시고 그들의 이름을 사람이라 일컬으셨더라
3 Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi.
아담이 일백 삼십세에 자기 모양 곧 자기 형상과 같은 아들을 낳아 이름을 셋이라 하였고
4 Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
아담이 셋을 낳은 후 팔백년을 지내며 자녀를 낳았으며
5 Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.
그가 구백 삼십세를 향수하고 죽었더라
6 Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
셋은 일백 오세에 에노스를 낳았고
7 Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
에노스를 낳은 후 팔백 칠년을 지내며 자녀를 낳았으며
8 Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
그가 구백 십이세를 향수하고 죽었더라
9 Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
에노스는 구십세에 게난을 낳았고
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
게난을 낳은 후 팔백 십 오년을 지내며 자녀를 낳았으며
11 Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.
그가 구백 오세를 향수하고 죽었더라
12 Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
게난은 칠십세에 마할랄렐을 낳았고
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
마할랄렐을 낳은 후 팔백 사십년을 지내며 자녀를 낳았으며
14 Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.
그가 구백 십세를 향수하고 죽었더라
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
마할랄렐은 육십 오세에 야렛을 낳았고
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
야렛을 낳은 후 팔백 삼십년을 지내며 자녀를 낳았으며
17 Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.
그가 팔백 구십 오세를 향수하고 죽었더라
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.
야렛은 일백 육십 이세에 에녹을 낳았고
19 Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
에녹을 낳은 후 팔백년을 지내며 자녀를 낳았으며
20 Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.
그가 구백 육십 이세를 향수하고 죽었더라
21 Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
에녹은 육십 오세에 므두셀라를 낳았고
22 Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
므두셀라를 낳은 후 삼백년을 하나님과 동행하며 자녀를 낳았으며
23 Enoki aliishi jumla ya miaka 365.
그가 삼백 육십 오세를 향수하였더라
24 Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
에녹이 하나님과 동행하더니 하나님이 그를 데려 가시므로 세상에 있지 아니하였더라
25 Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.
므두셀라는 일백 팔십 칠세에 라멕을 낳았고
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
라멕을 낳은 후 칠백 팔십 이년을 지내며 자녀를 낳았으며
27 Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.
그는 구백 육십 구세를 향수하고 죽었더라
28 Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
라멕은 일백 팔십 이세에 아들을 낳고
29 Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.”
이름을 노아라 하여 가로되 `여호와께서 땅을 저주하시므로 수고로이 일하는 우리를 이 아들이 안위하리라' 하였더라
30 Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
라멕이 노아를 낳은 후 오백 구십 오년을 지내며 자녀를 낳았으며
31 Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.
그는 칠백 칠십 칠세를 향수하고 죽었더라
32 Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.
노아가 오백세 된 후에 셈과, 함과, 야벳을 낳았더라

< Mwanzo 5 >