< Ezekieli 48 >

1 “Haya ndiyo majina ya makabila na sehemu zao: Kwenye mpaka wa kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja, mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi Lebo-Hamathi, Hasar-Enani hata mpaka wa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
A oto imiona pokoleń: Na północnym krańcu wzdłuż drogi Chetlon, w kierunku Chamat, Chasar-Enan, do granicy Damaszku na północy i aż do Chamat, od strony wschodniej aż na zachód, jeden [dział dla] Dana.
2 “Asheri atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki hadi upande wa magharibi.
A obok granicy Dana, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Aszera.
3 “Naftali atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki hadi magharibi.
A obok granicy Aszera, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Neftalego.
4 “Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi.
A obok granicy Neftalego, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Manassesa.
5 “Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.
A obok granicy Manassesa, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Efraima.
6 “Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.
A obok granicy Efraima, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Rubena.
7 “Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.
A obok granicy Rubena, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Judy.
8 “Kupakana na nchi ya Yuda kuanzia mashariki mpaka magharibi itakuwa ndiyo sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000 na urefu wake kuanzia mashariki mpaka magharibi utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo.
A obok granicy Judy, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, będzie święty dział, szeroki na dwadzieścia pięć tysięcy [prętów] i długi jak każdy z pozostałych działów od strony wschodniej do strony zachodniej, a w jego środku będzie świątynia.
9 “Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa Bwana itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000
Ten dział, który macie ofiarować PANU, [będzie] długi na dwadzieścia pięć tysięcy [prętów] i szeroki na dziesięć tysięcy.
10 Hii itakuwa ni sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake patakuwa mahali patakatifu pa Bwana.
Do nich, [to jest] kapłanów, będzie należał ten święty dział: na północy dwadzieścia pięć tysięcy [prętów], na zachodzie dziesięć tysięcy szerokości, na wschodzie dziesięć tysięcy szerokości i na południe dwadzieścia pięć tysięcy długości. W jego środku będzie świątynia PANA.
11 Hii itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa wakfu, Wasadoki, waliokuwa waaminifu katika kunitumikia nao hawakupotoka kama Walawi walivyofanya wakati Waisraeli walipopotoka.
[To ma być] dla uświęconych kapłanów spośród synów Sadoka, którzy pełnili moją służbę i nie błądzili, gdy błądzili synowie Izraela, jak błądzili [inni] Lewici.
12 Itakuwa toleo maalum kwao kutoka sehemu takatifu ya nchi, yaani, sehemu takatifu sana, inayopakana na nchi ya Walawi.
I ten święty dział z ofiar tej ziemi będzie rzeczą najświętszą obok granicy Lewitów.
13 “Kando ya nchi ya makuhani, Walawi watakuwa na mgawo wa urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake utakuwa jumla dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.
Obok granicy kapłanów [będzie dział] Lewitów o długości dwudziestu pięciu tysięcy [prętów] i o szerokości dziesięciu tysięcy. Cała długość będzie wynosiła dwadzieścia pięć tysięcy, a szerokość dziesięć tysięcy.
14 Hawataruhusiwa kuuza wala kuibadilisha hata mojawapo. Hii ndiyo sehemu nzuri ya nchi kuliko nyingine zote, hivyo haitakuwa mikononi mwa watu wengine, kwa sababu ni takatifu kwa Bwana.
I nie będą mogli go sprzedać ani zamienić, ani pierwocin ziemi przekazać [innym], gdyż jest poświęcony PANU.
15 “Eneo linalobaki lenye upana wa dhiraa 5,000 na urefu wa dhiraa 25,000, litakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mji, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na malisho. Mji utakuwa katikati yake
A pięć tysięcy [prętów], które pozostaną z szerokości wzdłuż dwudziestu pięciu tysięcy, stanowi miejsce pospolite na miasto, na zamieszkanie i na pastwiska. A miasto będzie w jego środku.
16 nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500, upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500.
Oto jego wymiary: strona północna – cztery tysiące pięćset [prętów], strona południowa – cztery tysiące pięćset, strona wschodnia – cztery tysiące pięćset i strona zachodnia – cztery tysiące pięćset.
17 Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250 upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.
Pastwiska miasta na północ – dwieście pięćdziesiąt [prętów], na południe – dwieście pięćdziesiąt, na wschód – dwieście pięćdziesiąt i na zachód – dwieście pięćdziesiąt.
18 Eneo linalobaki, linalopakana na sehemu takatifu likiwa na urefu sawa nalo, litakuwa dhiraa 10,000 upande wa mashariki na dhiraa 10,000 upande wa magharibi. Mazao yake yatawapa watumishi wa mji chakula.
To, co pozostanie wzdłuż świętego działu, [będzie mieć] dziesięć tysięcy [prętów] na wschód i dziesięć tysięcy na zachód. Będzie to wzdłuż świętego działu, a plony tego [miejsca] będą na utrzymanie sług miasta.
19 Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
A ci, co służą miastu, będą sługami spośród wszystkich pokoleń Izraela.
20 Eneo lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani, dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya mji.
Cały ten święty dział będzie wynosił dwadzieścia pięć tysięcy [prętów] na dwadzieścia pięć tysięcy. Ofiarujecie kwadrat świętego działu wraz z posiadłością miasta.
21 “Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.
To, co pozostanie, [będzie] dla księcia z obu stron świętego działu i posiadłości miasta, wzdłuż dwudziestu pięciu tysięcy [prętów] ofiary aż do granicy wschodniej i na zachód wzdłuż dwudziestu pięciu tysięcy [prętów] do granicy zachodniej, wzdłuż innych działów, [będzie] to dla księcia. A będzie to święty dział, a świątynia domu będzie w jego środku.
22 Kwa hiyo milki ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala. Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.
A od posiadłości Lewitów i od posiadłości miasta, które będą w środku tego, co należy do księcia, pomiędzy granicą Judy i granicą Beniamina, będzie [to] należało do księcia.
23 “Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
Pozostałe pokolenia, od strony wschodniej aż do strony zachodniej: jeden [dział dla] Beniamina.
24 “Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.
Obok granicy Beniamina, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Symeona.
25 “Isakari atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Simeoni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Obok granicy Symeona, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Issachara.
26 “Zabuloni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Isakari kuanzia mashariki hadi magharibi.
Obok granicy Issachara, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Zebulona.
27 “Gadi atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Zabuloni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Obok granicy Zebulona, od strony wschodniej aż do strony zachodniej, jeden [dział dla] Gada.
28 “Mpaka wa kusini wa Gadi utapita kusini kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba-Kadeshi, kisha kupitia upande wa Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu.
Obok granicy Gada, po stronie południowej na południe, granica będzie od Tamar [aż do] wód sporu w Kadesz, w stronę rzeki do Wielkiego Morza.
29 “Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa sehemu zao,” asema Bwana Mwenyezi.
To [jest] ziemia, którą podzielicie przez losowanie między pokolenia Izraela, i to są działy, mówi Pan BÓG.
30 “Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu,
To też są wyjścia z miasta: od strony północnej – cztery tysiące pięćset [prętów].
31 malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.
A bramy miasta [będą nazwane] według imion pokoleń Izraela. Trzy bramy na północy: brama Rubena jedna, brama Judy jedna i brama Lewiego jedna.
32 “Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.
Od strony wschodniej – cztery tysiące pięćset, a bramy trzy: brama Józefa jedna, brama Beniamina jedna i brama Dana jedna.
33 “Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.
Od strony południowej – cztery tysiące pięćset prętów, a bramy trzy: brama Symeona jedna, brama Issachara jedna i brama Zebulona jedna.
34 “Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.
Od strony zachodniej – cztery tysiące pięćset, a bramy trzy: Brama Gada jedna, brama Aszera jedna i brama Neftalego jedna.
35 “Urefu wote kuzunguka utakuwa dhiraa 18,000. “Nalo jina la mji huo kuanzia wakati huo na kuendelea litakuwa: Bwana yupo hapa.”
Wokoło osiemnaście tysięcy [prętów]. A imię miasta od tego dnia [będzie]: PAN tam [mieszka].

< Ezekieli 48 >