< Ezekieli 42 >

1 Ndipo yule mtu akaniongoza kuelekea kaskazini mpaka kwenye ua wa nje na kunileta mpaka kwenye vyumba vinavyoelekeana na ua wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje upande wa kaskazini.
I wyprowadził mnie na dziedziniec zewnętrzny w kierunku północy, i wprowadził mnie do tych komórek, które stały naprzeciwko obszaru wyznaczonego i naprzeciwko budowli, od [strony] północy.
2 Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini.
Ich długość od strony północnych drzwi [wynosiła] sto łokci, a ich szerokość pięćdziesiąt łokci.
3 Mbele ya zile dhiraa ishirini za ule ua wa ndani unaoelekeana na ile njia ya ua wa nje, kuliinuka vyumba virefu kimoja baada ya kingine vya ghorofa tatu.
Naprzeciw dziedzińca wewnętrznego, który miał dwadzieścia łokci, i naprzeciw posadzki dziedzińca zewnętrznego, [były] krużganki naprzeciw krużganków na trzech [poziomach].
4 Mbele ya hivi vyumba kulikuwa na njia ya ndani yenye upana wa dhiraa kumi na urefu wa dhiraa mia moja. Milango yake ilikuwa upande wa kaskazini.
A przed komórkami [było] przejście szerokie na dziesięć łokci wewnątrz i ścieżka do nich na jeden łokieć, a ich drzwi [były] od północy.
5 Basi vyumba vya juu vilikuwa vyembamba zaidi, kwa kuwa ujia ulichukua nafasi zaidi ndani yake kuliko katika vyumba vya sakafu ya chini na vya katikati ya jengo.
A górne komórki były węższe, ponieważ ich krużganki [były] szersze od tych w dolnej i środkowej [części] budowli.
6 Vyumba katika ghorofa ya tatu havikuwa na nguzo, kama kumbi zilivyokuwa nazo, kwa hiyo eneo la sakafu ya vyumba vya juu lilikuwa ni dogo kuliko la sakafu ya chini na ya kati.
Były bowiem trzypiętrowe, ale nie miały słupów jak słupy dziedzińców. Dlatego były węższe niż dolne i środkowe, [począwszy] od ziemi.
7 Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza urefu wa dhiraa hamsini.
A mur, który był na zewnątrz naprzeciw tych komórek w kierunku dziedzińca zewnętrznego przed komórkami, miał pięćdziesiąt łokci długości.
8 Wakati safu ya vyumba katika ua wa nje vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini, vile vyumba vilivyokuwa karibu zaidi na Hekalu vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja.
Długość bowiem komórek, które [były] na dziedzińcu zewnętrznym, [wynosiła] pięćdziesiąt łokci, a [tych] przed świątynią – sto łokci.
9 Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.
A poniżej tych komórek było wejście od wschodu, przez które wchodzi się do nich z dziedzińca zewnętrznego.
10 Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba
Na szerokości muru dziedzińca od strony wschodniej naprzeciw obszaru wyznaczonego i naprzeciw budowli [były także] komórki.
11 vyenye ujia unayopita mbele yake. Hivi vilifanana na vile vyumba vya upande wa kaskazini, vilikuwa na urefu na upana ulio sawa, mahali pa kutokea na vipimo vyake vilikuwa sawa. Kama ilivyokuwa milango ya upande wa kaskazini,
A ścieżka przed nimi była taka sama jak ścieżka tamtych komórek, które znajdowały się po stronie północnej: [miały] taką samą długość i taką samą szerokość. Takie same były ich wyjścia, ich drzwi oraz ich układ.
12 ndivyo ilivyokuwa milango ya vyumba vya upande wa kusini. Kulikuwa na ingilio kuanzia mwanzo wa njia ambao ulikuwa sambamba na ukuta wa pili uliokuwa upande wa mashariki, ambako ndiko kwa kuingia vyumbani.
A drzwi do tych komórek, które były po stronie południowej, były podobne do drzwi na początku przejścia, właśnie tego przejścia przed murem w stronę wschodu, którędy się do nich wchodzi.
13 Kisha akaniambia, “Vyumba vya upande wa kaskazini na vya upande wa kusini ambavyo vinaelekeana na ukumbi wa Hekalu ni vyumba vya makuhani, mahali ambapo wale makuhani ambao humkaribia Bwana watakula zile sadaka takatifu sana. Huko ndiko watakakoweka zile sadaka takatifu sana, yaani, sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia, kwa kuwa mahali ni patakatifu.
Wtedy powiedział do mnie: Komórki północne i komórki południowe, które są przed obszarem wyznaczonym, to komórki święte, gdzie kapłani, którzy zbliżają się do PANA, będą jadali najświętsze rzeczy. Tam będą kłaść rzeczy najświętsze, ofiary z pokarmów, ofiary za grzech i ofiary za przewinienie. Jest to bowiem miejsce święte.
14 Mara makuhani waingiapo mahali patakatifu, hawaruhusiwi kwenda kwenye ukumbi wa nje mpaka wayaache mavazi ambayo walivaa wakiwa wanahudumu, kwa kuwa hayo mavazi ni matakatifu. Inawapasa kuvaa mavazi mengine kabla hawajakaribia eneo lililo wazi kwa ajili ya watu.”
Gdy kapłani wejdą tam, nie wyjdą ze świątyni na dziedziniec zewnętrzny, ale tam złożą swoje szaty, w których służyli, bo są święte. I założą inne szaty, i wtedy będą mogli zbliżyć się do tego, co [należy] do ludu.
15 Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka:
A gdy ukończył mierzenie domu wewnętrznego, wyprowadził mnie w stronę bramy, która była zwrócona na wschód, i zmierzył zewsząd dokoła.
16 Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa 500
Prętem mierniczym zmierzył stronę wschodnią – pięćset prętów wokoło według pręta mierniczego.
17 Akapima upande wa kaskazini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Zmierzył także stronę północną – pięćset prętów wokoło według pręta mierniczego.
18 Tena akapima upande wa kusini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
[I] zmierzył stronę południową – pięćset prętów mierniczych.
19 Kisha akageukia upande wa magharibi na kuupima, ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Potem obrócił się na stronę zachodnią i zmierzył – pięćset prętów według pręta mierniczego.
20 Hivyo akapima eneo katika pande zote nne. Lilikuwa na ukuta kulizunguka wenye urefu wa dhiraa 500 na upana wa dhiraa 500, uliotenganisha mahali Patakatifu na eneo la watu wote.
Zmierzył po czterech stronach mur zewsząd dokoła: długi na pięćset [prętów] i szeroki na pięćset [prętów], aby oddzielić miejsce święte od pospolitego.

< Ezekieli 42 >