< Kutoka 11 >

1 Basi Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya hivyo, atawafukuza mtoke kabisa.
I PAN powiedział do Mojżesza: Sprowadzę jeszcze jedną plagę na faraona i na Egipt, potem wypuści was stąd. A gdy was wypuści, całkowicie was stąd wypędzi.
2 Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.”
Powiedz teraz do uszu ludu, aby każdy mężczyzna pożyczył od swego sąsiada i każda kobieta od swej sąsiadki srebrne i złote przedmioty.
3 (Bwana akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)
A PAN dał ludowi łaskę w oczach Egipcjan. Mojżesz także był bardzo wielkim mężem w ziemi Egiptu w oczach sług faraona i w oczach ludu.
4 Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.
Wtedy Mojżesz powiedział: Tak mówi PAN: O północy przejdę przez Egipt.
5 Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.
I umrze wszystko, co pierworodne w ziemi Egiptu, od pierworodnego [syna] faraona, który miał zasiadać na jego tronie, aż do pierworodnego niewolnicy, która [jest] przy żarnach, i wszelkie pierworodne bydła.
6 Patakuwepo kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe hakitakuwepo tena.
I będzie wielki krzyk w całej ziemi Egiptu, jakiego nigdy przedtem nie było i jakiego potem nie będzie.
7 Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea mwanadamu wala mnyama yeyote.’ Ndipo mtakapojua kuwa Bwana huweka tofauti kati ya Misri na Israeli.
Ale na nikogo z synów Izraela pies nie ruszy swym językiem, ani na człowieka, ani na bydlę, abyście wiedzieli, że PAN uczynił różnicę między Egipcjanami a Izraelem.
8 Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.
I przyjdą do mnie wszyscy twoi słudzy, i będą mi się kłaniać, mówiąc: Wyjdź ty i cały lud, który jest pod twoim przywództwem. Potem wyjdę. I wyszedł od faraona z wielkim gniewem.
9 Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.”
PAN powiedział do Mojżesza: Faraon nie posłucha was, aby mnożyły się moje cuda w ziemi Egiptu.
10 Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.
Mojżesz i Aaron czynili więc te wszystkie cuda przed faraonem. Lecz PAN zatwardził serce faraona i ten nie wypuścił synów Izraela ze swojej ziemi.

< Kutoka 11 >