< Esta 1 >

1 Hili ndilo lililotokea wakati wa utawala wa Mfalme Ahasuero, yule aliyetawala juu ya majimbo mia na ishirini na saba tangu Bara Hindi hadi Kushi.
У време Асвирово, а тај Асвир цароваше од Индије до Етиопије у сто и двадесет и седам земаља,
2 Wakati huo Mfalme Ahasuero alitawala katika kiti chake cha enzi katika ngome ya mji wa Shushani.
У то време, кад сеђаше цар Асвир на престолу царства свог у Сусану царском граду,
3 Katika mwaka wa tatu wa utawala wake, alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake wote pamoja na maafisa. Akawaalika viongozi wa jeshi wa Uajemi na Umedi, wana wa wafalme na wakuu wa majimbo.
Треће године царовања свог учини гозбу свим кнезовима својим и слугама својим, те беше код њега сила персијска и мидска, властељи и управитељи земаљски;
4 Kwa siku zote 180 mfalme alionyesha utajiri mwingi wa ufalme wake, fahari na utukufu wa enzi yake.
И он показиваше богатство и славу царства свог и дику и красоту величине своје много дана, сто и осамдесет дана.
5 Siku hizo zilipopita, mfalme alifanya karamu kwa muda wa siku saba, katika bustani ya ndani katika jumba la kifalme, kwa ajili ya watu wote kuanzia mdogo hadi mkubwa, waliokuwa katika ngome ya mji wa Shushani.
И после тих дана учини цар свему народу што га беше у Сусану царском граду од малог до великог гозбу за седам дана у трему у врту од царског двора.
6 Bustani ilikuwa na mapazia ya kitani nyeupe na buluu, yaliyofungiwa kamba za kitani nyeupe na kitambaa cha zambarau, kwenye pete za fedha juu ya nguzo za marmar. Kulikuwepo viti vya dhahabu na vya fedha vilivyokuwa vimewekwa kwenye ile sakafu iliyotengenezwa kwa mawe ya rangi, marmar, lulumizi na mawe mengine ya thamani.
Завеси бели, зелени и љубичасти беху обешени врпцама белим, ланеним и скерлетним о биочузима сребрним на ступовима мраморним; одри беху златни и сребрни по поду од зеленог, белог, жутог и црвеног мрамора.
7 Vyombo vya dhahabu vilitumika kwa watu kunywea mvinyo, kila kimoja tofauti na kingine, naye mfalme akatoa mvinyo kwa wingi kwa kadiri ya ukarimu wake.
А пиће даваху у судовима златним, и то у судовима другим и другим, а вина царског беше изобила, како може бити у цара.
8 Kwa amri ya mfalme kila mgeni aliruhusiwa kunywa alichotaka, kwa kuwa mfalme alitoa maagizo kwa watumishi wote wa kuhudumu mvinyo kumhudumia kila mtu kwa jinsi alivyotaka.
И пићем нико не наваљиваше по наредби, јер цар беше заповедио свим приставима дома свог да чине како ко хоће.
9 Malkia Vashti pia akawafanyia wanawake karamu katika jumba la kifalme la Mfalme Ahasuero.
И царица Астина учини гозбу женама у царском двору цара Асвира.
10 Siku ya saba, wakati Mfalme Ahasuero alikuwa amesisimka roho yake kwa mvinyo, aliamuru matowashi saba waliokuwa wakimhudumia, yaani, Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkasi,
Седми дан кад се цар развесели од вина рече Меуману, Висати, Арвони, Викти, Авакти, Зетару и Харкасу, седморици дворана који двораху пред царем Асвиром,
11 kumleta Malkia Vashti mbele ya mfalme akiwa amevaa taji lake la kifalme, ili aonyeshe uzuri wake kwa watu na wakuu, kwa kuwa alikuwa ni mzuri wa kupendeza.
Да доведу царицу Астину пред цара под царским венцем, да покаже народима и кнезовима лепоту њену, јер беше лепа.
12 Lakini wakati watumishi walipotoa amri ya mfalme, Malkia Vashti alikataa kuja. Ndipo mfalme alighadhibika, na hasira yake ikawaka.
Али царица Астина не хте доћи на реч цареву, коју јој поручи по дворанима; зато се цар врло разгневи и гнев се његов распали у њему.
13 Kwa kuwa ilikuwa desturi ya mfalme kupata ushauri kwa wataalamu katika mambo ya sheria na haki, alizungumza na watu wenye busara, ambao walijua nyakati,
И рече цар мудрацима који разумеваху времена (јер тако цар изношаше ствари пред све који разумеваху закон и правду,
14 nao waliokuwa karibu na mfalme ni Karshena, Shethari, Admatha, Tarshishi, Meresi, Marsena na Memukani, wakuu saba wa Uajemi na Umedi waliokuwa na nafasi ya pekee kwa mfalme nao walikuwa na vyeo vya juu kabisa katika utawala wake.
А најближи до њега беху Карсена, Сетар, Адмата, Тарсис, Мерес, Марсена и Мемукан, седам кнезова персијских и мидских, који гледаху лице царево и сеђаху на првим местима у царству):
15 Mfalme akauliza, “Kulingana na sheria, Malkia Vashti anapaswa kutendewa nini? Malkia hakutii amri ya Mfalme Ahasuero ambayo matowashi walimpelekea.”
Шта треба по закону чинити с царицом Астином што није учинила шта је заповедио цар Асвир преко дворана?
16 Kisha Memukani akajibu mbele ya mfalme na wakuu, “Malkia Vashti si kwamba amemkosea mfalme tu bali pia amewakosea wakuu wote na watu wa himaya yote ya Mfalme Ahasuero.
Тада рече Мемукан пред царем и кнезовима: Није само цару скривила царица Астина него и свим кнезовима и свим народима по свим земљама цара Асвира.
17 Kwa maana tendo hili la malkia litajulikana kwa wanawake wote, kwa hiyo watawadharau waume zao na kusema, ‘Mfalme Ahasuero aliagiza Malkia Vashti aletwe mbele yake, lakini alikataa.’
Јер ће се дело царичино разићи међу све жене, па ће презирати мужеве своје говорећи: Цар Асвир заповеди да доведу преда њ царицу Астину, а она не дође.
18 Leo hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi ambao wamesikia juu ya tabia ya malkia watawatendea wakuu wote wa mfalme vivyo hivyo. Hapatakuwepo na mwisho wa dharau na magomvi.
И од данас ће кнегиње персијске и мидске које чују шта је учинила царица тако говорити свим кнезовима царевим; те ће бити много пркоса и свађе.
19 “Kwa hiyo, kama itampendeza mfalme, atoe amri ya kifalme na iandikwe katika sheria ya Uajemi na Umedi, ambayo haitabadilika, kwamba Vashti kamwe asije tena mbele ya Mfalme Ahasuero. Pia mfalme na atoe hiyo nafasi yake ya umalkia kwa mwanamke mwingine aliye bora kumliko yeye.
Ако је угодно цару, да изиђе царска заповест од њега и да се упише међу законе персијске и мидске да је непроменљиво, да Астина не излази више пред цара Асвира и да ће цар дати њено царство другој, бољој од ње.
20 Kisha mbiu hii ya mfalme itakapotangazwa katika himaya yake iliyo kubwa sana, wanawake wote watawaheshimu waume zao, kuanzia mdogo hadi mkubwa.”
И кад се заповест царева коју учини чује по царству његовом свему коликом, све ће жене поштовати своје мужеве, од великог до малог.
21 Mfalme na wakuu wake walipendezwa na shauri hili, hivyo basi mfalme akafanya kama Memukani alivyopendekeza.
И ово би по вољи цару и кнезовима, и учини цар како рече Мемукан.
22 Alipeleka barua katika sehemu zote za ufalme wake, kwa kila jimbo kwa maandishi yake mwenyewe na kwa kila watu katika lugha yao wenyewe, akitangaza kwa msemo wa kila watu kwamba inampasa kila mwanaume kuwa mtawala wa nyumba yake mwenyewe.
И разасла књиге по свим земљама царским, у сваку земљу њеним писмом и сваком народу његовим језиком, да би сваки муж био господар у својој кући; и би проглашено језиком сваког народа.

< Esta 1 >