< Waefeso 6 >

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa kuwa hili ni jema.
Mwivana mwiyisyage khuvavakha vinyo du Daada, ulwakuva uwuwayelweli.
2 “Waheshimu baba yako na mama yako,” hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi,
“Mdwadage udadayo nuvanyoko vako” (ululwulagilo ulwa kwanda ulunya ndagilo),
3 “upate baraka na uishi siku nyingi duniani.”
“muve nuvudekhekhe mtamaa manchuva amingi mkhelunga.”
4 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, bali waleeni kwa nidhamu na mafundisho ya Bwana.
Nayumwe vababa, mlekhe ukhuvanyanchi likhania avana nukhuvapelela uluvipo, mvalelage avana ndivungu lya Nguluve.
5 Ninyi watumwa, watiini hao walio mabwana zenu hapa duniani kwa heshima na kwa kutetemeka na kwa moyo mmoja, kama vile mnavyomtii Kristo.
Nayumwe vasukhiwa, muve videkhinchi kuvavakha vinyo avapakhilunga nuvudwadi uvuvawa nukhutelemanikha, nuvudunchi uwikhuma munumbula ncheyo. Mwiyesyage kuvene nduwu mukiyisya uwa Kilisiti.
6 Watiini, si tu wakati wakiwaona ili mpate upendeleo wao, bali mtumike kama watumwa wa Kristo, mkifanya mapenzi ya Mungu kwa moyo.
Ukwiyisa kweyo kulekhe ukuva kuvavaha viyoo wuvikuvalola nukuhavosya. Vambogelage ninumbula nehiyo nchoni, ulwakuva muombombela unguluva ukuhuma munumbula nchiyo, vavombelage ni numbula nchiyo.
7 Tumikeni kwa moyo wote, kama vile mnamtumikia Bwana na si wanadamu.
Ulwakuhava Unguluve siyo avanu,
8 Mkijua kwamba Bwana atampa kila mtu thawabu kwa lolote jema alilotenda, kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.
munogile ukulumanya ukhuta uhila imbombo inonu umunu enchoivomba alakava amahombo ukuhuma kwa Daada, nayumwe vasuhiwa nu dekhe.
9 Nanyi mabwana, watendeeni watumwa wenu kwa jinsi iyo hiyo. Msiwatishe, kwa kuwa mnajua ya kwamba yeye aliye Bwana wenu na Bwana wao yuko mbinguni, naye hana upendeleo.
Nayumwe mwivaha mughahage vulevule kuvasuhiwa vinyo. Mlekhe uvadwadwancha mulumanyage ukhuta Unguluve va kukyanye vavanuvoni. Mulumanye ukuta kusikuli ukugava kugati kumwene.
10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
Valume muve na kha umwa Daada, na makha auluma khwa Daada.
11 Vaeni silaha zote za Mungu ili kwamba mweze kuzipinga hila za ibilisi.
Mufwalage efilwilo fyoni afya Nguluve, mwese ukwima fivi nuvutulaganogwa wa ntavango.
12 Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. (aiōn g165)
Ulwakhuva embancha yetu sio ya nkisa numbeli, eligoha lyakulwa na vatwa na valogonchi va imepo imbivi na vavaha va nkilunga. (aiōn g165)
13 Kwa hiyo vaeni silaha zote za Mungu ili mweze kushindana siku ya uovu itakapokuja nanyi mkiisha kufanya yote, simameni imara.
Lino mufwalage ivifilwelo fyoni ifya Nguluve, ulwakuva mnogiwa ukwima vunono mukavalilo akha akhavivi. Apya mumalie vyoni, mukwema vunonu.
14 Kwa hiyo simameni imara mkiwa mmejifunga kweli kiunoni na kuvaa dirii ya haki kifuani,
Pwulino mwimage vunonu, mugahage ewo mwipinyage utivo ugwa vyayelweli pauipambanga.
15 nayo miguu yenu ifungiwe utayari tuupatao kwa Injili ya amani.
Muvombage ewo wumufwalile uwayelweli mumalunde genyo wumulila kulumbelila uluhungu.
16 Zaidi ya haya yote, twaeni ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu.
Pivu yinogwa mutole dlwesigo ulwa lwidikho, lulwa luwesya ukhunchinya umwoto gwa ndugu.
17 Vaeni chapeo ya wokovu na mchukue upanga wa Roho, ambao ni Neno la Mungu.
Mufwale ekitili kyavupoki nemundu ya Mepo umbalanche, nelumuyu lya Nguruve.
18 Mkiomba kwa Roho siku zote katika sala zote na maombi, mkikesha kila wakati mkiwaombea watakatifu wote.
Panine nukhudova uluhunga, mudovage Umepo khila neluseuhi. Mumilole mivineliga miocho emiseuhi kyoni, Kwakwiyumilincha kwuni ni nyisayo avampelela voni.
19 Niombeeni na mimi pia, ili kila nifunguapo kinywa changu, nipewe maneno ya kusema, niweze kutangaza siri ya Injili kwa ujasiri,
Mudovela une wuninogwa ukhunchova mudovage nivuliwe uvunchimu wayelweli iyefinchi iyonchova elimenyu.
20 ambayo mimi ni balozi wake katika vifungo. Ombeni ili nipate kuhubiri kwa ujasiri kama inipasavyo.
Kulimenyu une nilimwemelinchi nukungiwe nemilegehe ikyakyuma mgali mvene nienchove khumakha nduwunidayiwa ukhonchova.
21 Tikiko, aliye ndugu mpendwa na mtumishi mwaminifu katika Bwana, atawaambia kila kitu, ili pia mpate kujua hali yangu na kile ninachofanya sasa.
Nayumwe mulumaye embombo yangu umwunivombela, Tikiko nngane vango vimbombi vinyakhisa khwa kuludeva, ikhuvavula khilakhinu.
22 Ninamtuma kwenu kwa ajili ya kusudi hili hasa, ili mpate kujua hali yetu, na awatie moyo.
Nisukhile khulyumwe kuvafumbwe uwu pwu mulumaye imbombo ncheho, avanunanchage inumbula ncheyo.
23 Amani iwe kwa ndugu, na pendo pamoja na imani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo.
Uluhungu luve khuvalukholo nalugano paninye nulwidiko ulwihuma khwa Nguluve u Daada nu nnnnnnnnswambe Yeesu kilisiti.
24 Neema iwe na wote wampendao Bwana wetu Yesu Kristo kwa upendo wa dhati. Amen.
Uluhungu luve panine na voni avikhugana utwa Yeesu kilisite kulugano lulwa salwifwa.

< Waefeso 6 >