< Amosi 1 >

1 Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.
Słowa Amosa, który był [jednym] spośród pasterzy z Tekoa, które widział o Izraelu za dni Uzjasza, króla Judy, i za dni Jeroboama, syna Joasza, króla Izraela, dwa lata przed trzęsieniem ziemi.
2 Alisema: “Bwana ananguruma toka Sayuni, pia ananguruma kutoka Yerusalemu; malisho ya wachunga wanyama yanakauka, kilele cha Karmeli kinanyauka.”
I powiedział: PAN zagrzmi z Syjonu, z Jerozolimy wyda swój głos; mieszkania pasterzy będą lamentować, a wyschnie szczyt Karmelu.
3 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Dameski, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliipura Gileadi kwa vyombo vya chuma vyenye meno.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Damaszku i z powodu czterech nie przepuszczę mu, ponieważ młócili Gilead narzędziami z żelaza.
4 Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli ambao utateketeza ngome za Ben-Hadadi.
Ale ześlę ogień na dom Chazaela, który strawi pałace Ben-Hadada.
5 Nitalivunja lango la Dameski; nitamwangamiza mfalme aliyeko katika Bonde la Aveni, na yeye ambaye anaishika fimbo ya utawala katika Beth-Edeni. Watu wote wa Aramu watakwenda uhamishoni huko Kiri,” asema Bwana.
Połamię też rygiel Damaszku i wykorzenię mieszkańca z doliny Awen i tego, który trzyma berło z domu Eden. I lud Syrii pójdzie do niewoli do Kir, mówi PAN.
6 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Gaza, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu walichukua mateka jumuiya nzima na kuwauza kwa Edomu,
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Gazy i z powodu czterech nie przepuszczę im, ponieważ uprowadzili wszystkich jeńców, aby ich wydać Edomowi.
7 nitatuma moto juu ya kuta za Gaza ambao utateketeza ngome zake.
Ale ześlę ogień na mur Gazy, który strawi jej pałace.
8 Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi na yeye aishikaye fimbo ya utawala katika Ashkeloni. Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni, hadi Mfilisti wa mwisho atakapokufa,” asema Bwana Mwenyezi.
Wykorzenię też mieszkańca z Aszdodu i tego, który trzyma berło z Aszkelonu, i zwrócę swoją rękę przeciwko Ekronowi, i zginie resztka Filistynów, mówi Pan BÓG.
9 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Tiro, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya mateka kwa Edomu, na kutokujali mapatano ya undugu,
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Tyru i z powodu czterech nie przepuszczę mu, ponieważ wydali wszystkich jeńców Edomowi, a nie pamiętali o braterskim przymierzu;
10 Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro ambao utateketeza ngome zake.”
Ale ześlę ogień na mur Tyru, który strawi jego pałace.
11 Hili ndilo Bwana asemalo: “Kwa dhambi tatu za Edomu, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga, alikataa kuonyesha huruma yoyote, kwa sababu hasira yake kali iliendelea kupanda wakati wote na ghadhabu iliwaka bila kuzuiliwa.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Edomu i z powodu czterech nie przepuszczę mu, ponieważ prześladował mieczem swego brata, tłumiąc w sobie wszelaką litość, a nieustannie pałał gniewem, swoją zapalczywość chował na zawsze.
12 Nitatuma moto juu ya Temani ambao utateketeza ngome za Bosra.”
Ale ześlę ogień na Teman i strawi pałace Bosry.
13 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Amoni, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliwatumbua wanawake wajawazito wa Gileadi ili kuongeza mipaka yake.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków synów Ammona i z powodu czterech nie przepuszczę im, ponieważ rozcinali brzemienne w Gileadzie tylko po to, by rozszerzyć swoje granice.
14 Nitatuma moto kwenye kuta za Raba ambao utateketeza ngome zake katikati ya vilio vya vita katika siku ya mapigano, katikati ya upepo mkali katika siku ya dhoruba.
Ale rozniecę ogień na murze Rabby, który strawi jego pałace wśród krzyku w dzień bitwy, podczas wichru w dzień burzy.
15 Mfalme wake atakwenda uhamishoni, yeye pamoja na maafisa wake,” asema Bwana.
I pójdzie ich król do niewoli, on i jego książęta razem z nim, mówi PAN.

< Amosi 1 >