< 2 Samweli 8 >

1 Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Metheg-Amma kutoka mikononi mwa Wafilisti.
Po tych wydarzeniach Dawid pobił Filistynów i ujarzmił ich. Dawid zabrał też z rąk Filistynów Meteg-Amma.
2 Pia Daudi akawashinda Wamoabu. Akawafanya walale chini kwa mstari akawapima kwa urefu wa kamba. Kila alipopima urefu wa hiyo kamba mara mbili hilo kundi waliuawa na alipopima mara ya tatu aliwaacha hai. Kwa hiyo Wamoabu wakawa chini ya Daudi nao wakamletea kodi.
Pobił także Moabitów, których zmierzył sznurem i ułożył na ziemi. Wymierzył ich dwa sznury do zabicia, a jeden cały sznur do zachowania przy życiu. I Moabici zostali sługami Dawida płacącymi daninę.
3 Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kurudisha tena utawala wake kwenye eneo la Mto Frati.
Dawid pobił również Hadadezera, syna Rechoba, króla Soby, kiedy ten wyruszał, aby przywrócić swoją granicę nad rzeką Eufrat.
4 Daudi akateka magari yake ya vita 1,000, askari wapanda farasi 7,000 na askari 20,000 watembeao kwa miguu. Daudi akawakata wale farasi wote wakokotao magari mishipa ya miguu, isipokuwa farasi 100 hakuwakata.
I Dawid zabrał mu tysiąc rydwanów, siedmiuset jeźdźców i dwadzieścia tysięcy piechoty. I Dawid popodcinał ścięgna wszystkim [koniom] zaprzęgowym, zostawiając z nich tylko tyle, ile potrzeba do stu rydwanów.
5 Waaramu wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.
Kiedy Syryjczycy z Damaszku przybyli na pomoc Hadadezerowi, królowi Soby, Dawid pobił spośród Syryjczyków dwadzieścia dwa tysiące ludzi.
6 Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski, nao Waaramu wakawa watumwa wake na kumlipa ushuru. Bwana akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.
Potem Dawid umieścił załogi w Syrii, w Damaszku, a Syryjczycy zostali sługami Dawida płacącymi daninę. I PAN bronił Dawida wszędzie, dokądkolwiek się udał.
7 Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.
Dawid zabrał też złote tarcze, które mieli słudzy Hadadezera, i przyniósł je do Jerozolimy.
8 Kutoka miji ya Beta na Berothai, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Mfalme Daudi akatwaa shaba nyingi sana.
I z Betachu i z Berotaj, miast Hadadezera, król Dawid zabrał bardzo dużo brązu.
9 Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,
Gdy Toi, król Chamat, usłyszał, że Dawid pokonał całe wojsko Hadadezera;
10 akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.
Wysłał swego syna Jorama do króla Dawida, aby go pozdrowił w pokoju i aby powinszował mu tego, że walczył z Hadadezerem i pokonał go. Hadadezer bowiem prowadził wojnę z Toi. I [Joram] przyniósł ze sobą przedmioty ze srebra, ze złota i z brązu.
11 Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda:
Również i te król Dawid poświęcił PANU wraz ze srebrem i złotem, które poświęcił, [zabranym] od wszystkich narodów, które podbił;
12 yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.
Od Syrii, od Moabu, od synów Ammona, od Filistynów, od Amaleka i z łupów Hadadezera, syna Rechoba, króla Soby.
13 Naye Daudi akapata sifa baada ya kurudi kutoka kuwaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.
I tak Dawid uczynił [sławnym swoje] imię, gdy wrócił po pokonaniu Syryjczyków w Dolinie Soli [w liczbie] osiemnastu tysięcy mężczyzn.
14 Akaweka kambi za askari walinzi katika Edomu yote, nao Waedomu wakawa chini ya Daudi. Bwana alimpatia Daudi ushindi kila alipokwenda.
Umieścił w Edomie załogi, na całej [ziemi] Edomu rozmieścił je. I wszyscy Edomczycy stali się sługami Dawida. I PAN bronił Dawida wszędzie, dokądkolwiek się udał.
15 Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.
I Dawid królował nad całym Izraelem, i sprawował sąd nad całym swym ludem, i [wymierzał] mu sprawiedliwość.
16 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
Joab, syn Serui, [był postawiony] nad wojskiem, a Jehoszafat, syn Achiluda, [był] kronikarzem.
17 Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;
Sadok, syn Achituba, i Achimelek, syn Abiatara, [byli] kapłanami, a Serajasz – pisarzem.
18 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.
Benajasz, syn Jehojady, był [postawiony] nad Keretytami i Peletytami, a synowie Dawida byli książętami.

< 2 Samweli 8 >