< 1 Samweli 22 >

1 Daudi akaondoka Gathi na kukimbilia kwenye pango la Adulamu. Ndugu zake na watu wa nyumba ya baba yake waliposikia habari hiyo, wakamwendea huko.
Da: ibidi da Ga: de moilaiga hobeale, magufu gelaba Adalame moilai gadenene amoga asi. Ea olalali amola sosogo fi eno da e amogawi esalebe nababeba: le, ilia da ema madelamusa: asi.
2 Wale wote waliokuwa katika dhiki au waliokuwa na madeni au wale ambao hawakuridhika wakamkusanyikia Daudi, naye akawa kiongozi wao. Watu wapatao 400 walikuwa pamoja naye.
Amola dunu 400 eno, mogili da enoga banenesi, mogili da hame gagui, mogili da enoma dabe imunu gala o hahawane hame esala, ilia Da: ibidima madelale, e da ilia bisilua hamoi.
3 Kutoka huko Daudi akaenda Mispa huko Moabu na kumwambia mfalme wa Moabu, “Naomba uwaruhusu baba yangu na mama yangu waje kukaa nawe mpaka nijue nini Mungu atakachonifanyia.”
Da: ibidi da amo sogebi yolesili, Misiba moilai Moua: be soge ganodini amoga asi. E da Moua: be hina bagade ema amane sia: i, “Dafawane! Dia na ada amola ame ela misini dilimagai esalawane, na da Gode Ea nama adi hamomu ganabela: le, hogoma: ma.”
4 Hivyo akawaacha wazazi wake wakae na mfalme wa Moabu, nao wakakaa naye muda wote ambao Daudi alikuwa ngomeni.
Amaiba: le, Da: ibidi da ea ada amola ame Moua: be hina bagade ea ouligima: ne yolesilalu, Da: ibidi da Adalame magufu gelaba wamoaligili esalu defele, ela da amogawi esalu.
5 Ndipo nabii Gadi akamwambia Daudi, “Usikae ngomeni. Nenda katika nchi ya Yuda.” Hivyo Daudi akaondoka na kwenda katika msitu wa Herethi.
Amalalu, balofede dunu Ga: de da Da: ibidima misini, amane sia: i, “Gui maedafa esaloma! Hedolodafa Yuda sogega masa!” Amaiba: le, Da: ibidi da yolesili amola Helede iwilaga asi.
6 Basi Sauli akasikia kwamba Daudi na watu wake wameonekana. Sauli akiwa na mkuki mkononi, alikuwa ameketi chini ya mti wa mkwaju kwenye kilima huko Gibea, maafisa wake wote wakiwa wamesimama kumzunguka.
Eso afaega, Solo da Gibia sogega agolo damana ea goge agei hi loboga gaguli amola ea dadi gagui ouligisu dunu ilia e beba: le sisiga: le aligili, ‘da: malisige’ ifa ougiha esalu. E da Da: ibidi amola ea dunu ili ba: i sia: be nabi galu.
7 Sauli akawaambia, “Sikilizeni enyi watu wa Benyamini! Je, mwana wa Yese atawapa ninyi nyote mashamba na mashamba ya mizabibu? Je, atawafanya ninyi nyote majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia?
Amola e da ea dadi gagui ouligisu dunuma amane sia: i, “Dilia Bediamini dunu nabima! Dilia adi dawa: bela: ? Da: ibidi da dili huluanema soge amola waini efe sagai ima: bela: ? E da dili huluane ea dadi gagui ouligisu dunu hamonesima: bela: ?
8 Je, ndiyo sababu ninyi mkapanga hila mbaya dhidi yangu? Hakuna hata mmoja wenu ambaye ameniambia ni lini mwanangu alifanya agano na mwana wa Yese. Hapana hata mmoja wenu anayejishughulisha nami wala anayeniambia kwamba mwanangu amechochea mtumishi wangu kunivizia, kama afanyavyo leo.”
Amo dawa: beba: le, dilia da na sogebi lamusa: wamo sia: ga ilegesala: ? Dilia afaega da nama nina: manodafa amoea Da: ibidima gilisi amo nama hame sia: i. Afaega da nama hame asigisa amola Da: ibidi ninia: dunudafa da wahadafa na fane legema: ne logo hogolala. Amola na manodafa da Da: ibidi e noga: le denesima: ne sisasa.”
9 Lakini Doegi Mwedomu, ambaye alikuwa akisimama na maafisa wa Sauli, akasema, “Nilimwona mwana wa Yese akija kwa Ahimeleki mwana wa Ahitubu huko Nobu.
Douege da Solo amola ea ouligisu dunu amo ili gilisili lelefula. E amane sia: i, “Na da Da: ibidi amo Noube moilai bai bagadega, Ahaidabe egefe Ahimelege ema ahoanebe ba: i.
10 Ahimeleki akamuuliza Bwana kwa ajili yake; pia akampa vyakula na ule upanga wa Goliathi Mfilisti.”
Ahimelege da Hina Godema Da: ibidi da adi hamoma: bela: le adole ba: i. Amalalu, e da Da: ibidima ha: i manu amola Filisidini dunu Goulaia: de ea gegesu gobihei i.”
11 Kisha mfalme akatuma watu wamwite kuhani Ahimeleki mwana wa Ahitubu, na jamaa yote ya baba yake, waliokuwa makuhani huko Nobu, nao wote wakaja kwa mfalme.
Amaiba: le, Solo da gobele salasu dunu Ahimelege amola ea sosogo fi huluane (amo amola da Noube gobele salasu dunu esalu) amo huluane lala masa: ne sia: sili, amola ilia da Soloma mafia: i.
12 Sauli akasema, “Sikiliza sasa, mwana wa Ahitubu.” Akajibu, “Naam, bwana wangu.”
Solo da Ahimelegema amane sia: i, “Ahimelege nabima!” Ahimelege da bu adole i, “Hina! Na da dia hawa: hamosu dunu wea!”
13 Sauli akamwambia, “Kwa nini umepanga shauri baya dhidi yangu, wewe na mwana wa Yese, ukampa vyakula na upanga, tena hukumuuliza Mungu kwa ajili yake, na kwa sababu hiyo ameasi dhidi yangu na kunivizia, kama afanyavyo leo?”
Solo da ema adole ba: i, “Abuliba: le, di amola Da: ibidi ali da na sogebi lamusa: sia: ga ilegesala: ? Abuliba: le, di da ha: i manu amola gegesu gobihei ianu, Godema Da: ibidi ea hawa: hamoma: ne adole ba: bela: ? E da wali nama ogobele amola na fane legemusa: logo hogolala.”
14 Ahimeleki akamjibu mfalme, “Ni nani miongoni mwa watumishi wako wote aliye mwaminifu kama Daudi, mkwewe mfalme, kiongozi wa walinzi wako na anayeheshimika sana katika watu wa nyumbani mwako?
Ahimelege da bu adole i, “Da: ibidi da dia baligili moloidafa hawa: hamosu ouligisu dunu. E da disoa: dafa, dia da: i ouligisu dunu ilia hina gala. Amola dia diasua fi amola hawa: hamosu dunu huluane da ema nodosa.
15 Je, siku hiyo ilikuwa ndiyo ya kwanza kumwomba Mungu kwa ajili yake? La hasha! Mfalme na usiwashutumu watumishi wako wala yeyote wa jamaa ya baba yake, kwa kuwa mtumishi wako hafahamu lolote kabisa kuhusu jambo hili lote.”
Dafawane! Na da e fidima: ne, Godema sia: ne gadolesi, amola amo da degabo hame galu. Be na amola na sosogo da dia sogebi lamusa: wamowane ilegemu hame dawa: Hina noga: idafa! Dia da niniagoane diwaneya udidimu da defea hame.”
16 Lakini mfalme akasema, “Ahimeleki, hakika utakufa, wewe na jamaa yote ya baba yako.”
Solo da amane sia: i, “Ahimelege! Di amola dia sosogo huluane da bogogia: mu.”
17 Ndipo mfalme akawaamuru walinzi wake waliokuwa kando yake: “Geukeni na kuwaua makuhani wa Bwana, kwa sababu nao pia wamejiunga na Daudi. Walijua kuwa alikuwa anakimbia, wala hawakuniambia.” Lakini maafisa wa mfalme hawakuwa radhi kuinua mkono kuwaua makuhani wa Bwana.
Amalalu, e da da: igene ouligisu dunu e gadenene lelefulubi ilima amane sia: i, “Hina Gode Ea gobele salasu dunu medole legema! Bai ilia amola Da: ibidi da gilisili wamowane ilegele, Da: ibidi ea hobea: i amo nama mae olelele, ilia ogogole hame dawa: be sia: i, be ilia da dawa: i galu.” Be da: igene ouligisu dunu ilia da lobo lalegadole, Hina Gode Ea gobele salasu dunu fane legemu higa: iba: le, hame hamoi.
18 Kisha mfalme akamwagiza Doegi, “Wewe geuka ukawaue makuhani.” Hivyo basi Doegi Mwedomu, akageuka na kuwaua. Siku ile aliwaua watu themanini na watano wavaao visibau vya kitani.
Amaiba: le, Solo da Douegema amane sia: i, “Dia ili fane legema!” Amalalu, Douege da ili huluane fane legei. Amo esoha e da gobele salasu dunu85 (huluane da Ifode gaguli ahoasu defele esalu) amo hulu fane legei dagoi.
19 Pia akaupiga Nobu kwa upanga, mji wa makuhani, wakiwemo wanaume na wanawake, watoto wadogo na wale wanyonyao, ngʼombe wake, punda na kondoo.
Amola Solo da dunu huluane gobele salasu dunu ilia moilai Noube amoga esalebe, amo huluane fane legema: ne sia: i. Dunu amola uda amola mano, mano dudubu, bulamagau, dougi, sibi-huluanedafa da fane legei dagoi ba: i.
20 Lakini Abiathari, mwana wa Ahimeleki, mwana wa Ahitubu, akatoroka, akakimbia na kujiunga na Daudi.
Be Ahimelege egefe afae ea dio amo Abaia: da e hobeale asili, Da: ibidima madelai.
21 Akamwambia Daudi kuwa Sauli amewaua makuhani wa Bwana.
E da Da: ibidima Solo ea da Hina Gode Ea gobele salasu dunu fane legei, amo adodole i.
22 Kisha Daudi akamwambia Abiathari: “Siku ile, wakati Doegi Mwedomu alipokuwa pale, nilijua atahakikisha amemwambia Sauli. Mimi ninawajibika kwa vifo vya jamaa ya baba yako yote.
Da: ibidi da ema amane sia: i, “Amohaga na da Douege esalebe ba: loba, na da dawa: digi, e da Soloma adomu galebeya dawa: i galu. Amaiba: le, na giadofale hamobeba: le, dia sosogo huluane da bogogia: i.
23 Kaa pamoja nami; usiogope. Mtu anayeutafuta uhai wako anautafuta uhai wangu pia. Ukiwa pamoja nami utakuwa salama.”
Ani esala: di! Mae beda: ma! Solo da di amola na fane legemusa: hanai. Be di da ani esalea gaga: i ba: mu.”

< 1 Samweli 22 >