< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Set, Enosz;
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalaleel, Jered;
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Henoch, Matuzalem, Lamech;
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noe, Sem, Cham i Jafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Synowie Jafeta: Gomer, Magog, Madaj, Jawan, Tubal, Meszek i Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
A synowie Gomera: Aszkenaz, Rifat i Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
A synowie Jawana: Elisa i Tarszisz, Cytym i Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Synowie Chama: Kusz, Misraim, Put i Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
A synowie Kusza: Seba, Chaawila, Sabta, Rama i Sabteka. A synowie Ramy: Szeba i Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Kusz spłodził Nimroda, który zaczął być mocarzem na ziemi.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Misraim spłodził Ludima, Ananima, Lahabima i Naftuchima;
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Oraz Patrusyma, Kasluchima, od których wywodzą się Filistyni, i Kaftoryma.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Kanaan zaś spłodził Sidona, swego pierworodnego, i Cheta;
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Jebusytę, Amorytę i Girgaszytę;
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
Chiwwitę, Arkitę i Sinitę;
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Arwadytę, Semarytę i Chamatytę.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Synowie Sema: Elam, Assur, Arpachszad, Lud, Aram, Us, Chul, Geter i Meszek.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arpachszad spłodził Szelacha, a Szelach spłodził Ebera.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Eberowi zaś urodzili się dwaj synowie: jeden [miał] na imię Peleg, gdyż za jego czasów ziemia została rozdzielona, a imię brata jego – Joktan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joktan spłodził Almodada, Szelefa, Chasarmaweta i Jeracha;
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadorama, Uzala i Diklę;
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebala, Abimaela i Szeba;
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ofira, Chawila i Jobaba. Wszyscy ci byli synami Joktana.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arpachszad, Szelach;
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu;
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nachor, Terach;
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Abram, to jest Abraham.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Synowie Abrahama: Izaak i Izmael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
A oto [są] ich rody: pierworodny Izmaela – Nebajot, następnie Kedar, Abdeel i Mibsam;
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Miszma, Duma, Massa, Hadad i Tema;
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Nafisz i Kedma. [Byli] oni synami Izmaela.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
A [oto] synowie Ketury, nałożnicy Abrahama: urodziła ona Zimrana, Jokszana, Medana, Midiana, Jiszbaka i Szuacha. A synowie Jokszana: Szeba i Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Synowie Midiana: Efa, Efer, Henoch, Abida i Eldaa. Oni wszyscy [byli] synami Ketury.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
I Abraham spłodził Izaaka. Synowie Izaaka: Ezaw i Izrael.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
A synowie Ezawa: Elifaz, Rehuel, Jeusz, Jalam i Korach.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Synowie Elifaza: Teman, Omar, Sefo, Gatam, Kenaz, Timna i Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Synowie Rehuela: Nachat, Zerach, Szamma i Mizza.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
A synowie Seira: Lotan, Szobal, Sibeon, Ana, Diszon, Eser i Diszan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
A synowie Lotana: Chori, Homam; a siostrą Lotana [była] Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Synowie Szobala: Alian, Manachat, Ebal, Szefo i Onam. A synowie Sibeona: Ajja i Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Synowie Any: Diszon. Synowie Diszona: Chamran i Eszban, Jitran i Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Synowie Esera: Bilhan, Zaawan i Jaakan. Synowie Diszana: Us i Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
To byli królowie, którzy panowali w ziemi Edomu, zanim zapanował król nad synami Izraela: Bela, syn Beora, a jego miasto nazywało się Dinhaba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
A gdy Bela umarł, królował w jego miejsce Jobab, syn Zeracha z Bosry.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
A gdy Jobab umarł, królował w jego miejsce Chuszam z ziemi Temanitów.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
A gdy Chuszam umarł, królował w jego miejsce Hadad, syn Bedada, który pobił Midianitów na polu Moabu. A jego miasto nazywało się Awit.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
A gdy Hadad umarł, królował w jego miejsce Samla z Masreki.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
A gdy Samla umarł, królował w jego miejsce Szaul z Rechobot nad Rzeką.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
A gdy Szaul umarł, królował w jego miejsce Baalchanan, syn Akbora.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
A gdy Baalchanan umarł, królował w jego miejsce Hadad. Jego miasto nazywało się Pai, a jego żona miała na imię Mehetabel, [była to] córka Matredy, córki Mezahaba.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
I Hadad umarł. A książętami Edomu byli: książę Timna, książę Alia, książę Jetet;
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Książę Oholibama, książę Ela, książę Pinon;
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Książę Kenaz, książę Teman, książę Mibsar;
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Książę Magdiel, książę Iram. Oni [byli] książętami Edomu.

< 1 Nyakati 1 >