< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Beniamin spłodził Belę, swego pierworodnego, Aszbela – drugiego, Achracha – trzeciego;
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Nocha – czwartego, Rafa – piątego.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Synami Beli [byli]: Addar, Gera, Abihud;
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abiszua, Naaman, Achoach;
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Szefufan i Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Oto synowie Ehuda – byli oni naczelnikami rodów mieszkających w Geba i zostali przesiedleni do Manachat;
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Byli to: Naaman, Achiasz i Gera. On ich przesiedlił i potem spłodził Uzzę i Ahiuda.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
A Sacharaim spłodził [dzieci] w krainie Moabu po odprawieniu swoich żon Chuszimy i Baary.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Spłodził więc ze swojej żony Chodeszy Jobaba, Sibię, Meszę, Malkoma;
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeusa, Sakiasza i Mirmę. Ci [byli] jego synami, naczelnikami rodów.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Z Chuszimy spłodził Abituba i Elpaala.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Synowie Elpaala: Eber, Miszam i Szemed, który zbudował Ono i Lod oraz należące do niego miejscowości;
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
A także Beria i Szema, którzy [byli] naczelnikami rodów mieszkających w Ajjalonie. To oni wypędzili mieszkańców Gat.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
A Achio, Szaszak, Jeremot;
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadiasz, Arad, Eder;
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Mikael, Jiszpa i Jocha – [byli to] synowie Berii.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
A Zebadiasz, Meszullam, Chiszki, Cheber;
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Jiszmeraj, Jiszlia i Jobab – [byli] synami Elpaala.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
A Jakim, Zikri, Zabdi;
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elioenaj, Silletaj, Eliel;
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adajasz, Berajasz, Szimrat – to synowie Szimejego.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
A Jiszpan, Eber, Eliel;
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zikri, Chanan;
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Chananiasz, Elam i Antotiasz;
25 Ifdeya na Penueli.
Jifdejasz i Penuel – to synowie Szaszaka.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
A Szamszeraj, Szechariasz, Ataliasz;
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaareszjasz, Eliasz i Zikri – to synowie Jerochama.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Ci [byli] naczelnikami rodów, przywódcami według swoich rodowodów, a zamieszkali w Jerozolimie.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
W Gibeonie mieszkał ojciec Gibeona, a jego żona miała na imię Maaka.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Jego pierworodnym synem [był] Abdon, a następni to: Sur, Kisz, Baal, Nadab;
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gedor, Achio i Zakir.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Miklot spłodził Szimeę. Oni także mieszkali ze swoimi braćmi w Jerozolimie, naprzeciw swoich braci.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner spłodził Kisza, a Kisz spłodził Saula, Saul zaś spłodził Jonatana, Malkiszuę, Abinadaba i Eszbaala.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Synem Jonatana [był] Meribbaal, Meribbaal zaś spłodził Micheasza.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Synowie Micheasza: Piton, Melek, Tarea i Achaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Achaz spłodził Jehoaddę, a Jehoadda spłodził Alemeta, Azmaweta i Zimriego, a Zimri spłodził Mosę;
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Mosa spłodził Bineę, jego synem był Rafa, jego synem był Eleasa, jego synem był Asel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Asel miał sześciu synów, a oto ich imiona: Azrikam, Bokru, Izmael, Szeariasz, Obadiasz i Chanan. Ci wszyscy byli synami Asela.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Synowie jego brata Eszeka: Ulam, jego pierworodny, Jeusz – drugi, Elifelet – trzeci;
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Synowie Ulama byli dzielnymi wojownikami, sprawnymi łucznikami, a mieli wielu synów i wnuków, razem – stu pięćdziesięciu. Ci wszyscy [pochodzili] z synów Beniamina.

< 1 Nyakati 8 >