< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Beniamino generò Bela, suo primogenito, Ashbel il secondo, Aharah il terzo,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Nohah il quarto, e Rafa il quinto.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
I figliuoli di Bela furono: Addar, Ghera, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abishua, Naaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Ghera, Scefufan e Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Questi sono i figliuoli di Ehud, che erano capi delle famiglie che abitavano Gheba e che furon trasportati schiavi a Manahath.
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Egli generò Naaman, Ahija e Ghera, che li menò via schiavi; e generò Uzza ed Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Shaharaim ebbe de’ figliuoli nella terra di Moab dopo che ebbe ripudiate le sue mogli Huscim e Baara.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Da Hodesh sua moglie ebbe: Jobab, Tsibia, Mesha, Malcam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeuts, Sokia e Mirma. Questi furono i suoi figliuoli, capi di famiglie patriarcali.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Da Huscim ebbe: Abitub ed Elpaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Figliuoli di Elpaal: Eber, Misham, Scemed, che edificò Ono, Lod, e le città che ne dipendevano.
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Beria e Scema, erano i capi delle famiglie che abitavano Ajalon, e misero in fuga gli abitanti di Gath.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Ahio, Shashak, Jeremoth, Zebadia,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Micael, Jishpa, Joha erano figliuoli di Beria.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebadia, Meshullam, Hizki, Heber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Jshmerai, Jzlia e Jobab erano figliuoli di Elpaal.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Zicri, Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienai, Tsilletai, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaia, Beraia e Scimrath erano figliuoli di Scimei.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Jshpan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zicri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hanania, Elam, Anthotija,
25 Ifdeya na Penueli.
Jfdeia e Penuel erano figliuoli di Shashak.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Shamscerai, Sceharia, Atalia,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaaresia, Elija e Zicri erano figliuoli di Jeroham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Questi erano capi di famiglie patriarcali: capi secondo le loro generazioni; e abitavano a Gerusalemme.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Il padre di Gabaon abitava a Gabaon, e sua moglie si chiamava Maaca.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Il suo figliuolo primogenito fu Abdon; poi ebbe Tsur, Kish, Baal, Nadab, Ghedor, Ahio, Zeker.
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Mikloth generò Scimea.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Anche questi abitarono dirimpetto ai loro fratelli a Gerusalemme coi loro fratelli.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner generò Kis; Kis generò Saul; Saul generò Gionathan, Malkishua, Abinadab, Eshbaal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Figliuoli di Gionathan: Merib-Baal. Merib-Baal generò Mica.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Figliuoli di Mica: Pithon, Melec, Taarea, Ahaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahaz generò Jehoadda; Jehoadda generò Alemeth, Azmaveth e Zimri; Zimri generò Motsa;
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Motsa generò Binea, che ebbe per figliuolo Rafa, che ebbe per figliuolo Eleasa, che ebbe per figliuolo Atsel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Atsel ebbe sei figliuoli, dei quali questi sono i nomi: Azrikam, Bocru, Ishmael, Scearia, Obadia e Hanan. Tutti questi erano figliuoli di Atsel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Figliuoli di Escek suo fratello: Ulam, il suo primogenito; Jeush il secondo, ed Elifelet il terzo.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
I figliuoli di Ulam furono uomini forti e valorosi, tiratori d’arco; ebbero molti figliuoli e nipoti: centocinquanta. Tutti questi furon discendenti di Beniamino.

< 1 Nyakati 8 >