< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Et Benjamin engendra Béla, son premier-né, Asbel, le second, et Aherach, le troisième,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Noha, le quatrième, et Rapha le cinquième.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Et Béla eut des fils: Addar et Géra, et Abihud
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
et Abisua et Naaman et Ahoah
5 Gera, Shefufani na Huramu.
et Géra et Sepuphan et Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Et suivent les fils d'Ehud, lesquels furent les patriarches des habitants de Géba, et ils les emmenèrent captifs à Manachath,
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
savoir Naaman et Ahia et Géra, c'est celui-ci qui les emmena captifs, et il engendra Uzza et Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Et Sacharaïm engendra dans la campagne de Moab, après les avoir répudiées, avec Husim et Baara, ses femmes, des fils.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Et il eut de Hodès, sa femme, Jobab et Tsibia et Meisa et Malcam
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
et Jehuts et Sochia et Mirma. Tels sont ses fils, patriarches.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Et de Husim il eut Abitub et Elpaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Et les fils d'Elpaal: Eber et Miseam et Samer, lequel bâtit Ono et Lod et ses annexes.
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Et Bria et Sema sont les patriarches des habitants d'Ajalon; ils mirent en fuite les habitants de Gath.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Et Ahio, Sasac et Jerémoth
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
et Zebadia et Arad et Ader
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
et Michaël et Jispa et Joah sont les fils de Bria.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Et Zebadia et Mesullam et Hiski et Haber
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
et Jismeraï et Jizlia et Jobab sont les fils d'Elpaal.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Et Jakim et Zichri et Zabdi
20 Elienai, Silethai, Elieli,
et Elioeinaï et Tsilthaï et Eliel
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
et Adaïa et Beraïa et Simrath sont les fils de Siméï.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Et Jispan et Héber et Eliel
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
et Abdon et Zichri et Hanan
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
et Hanania et Eilam et Anthothia
25 Ifdeya na Penueli.
et Jiphdia et Pnuel sont les fils de Sasac.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Et Samseraï et Secharia et Athalia
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
et Jaerseia et Elia et Zichri sont les fils de Jeroham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Ce sont des patriarches d'après leurs familles, des chefs: ils habitaient à Jérusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Et à Gabaon habitait le père de Gabaon, et le nom de sa femme était Maacha.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Et son fils premier-né était Abdon, et [les autres] Tsur et Kis et Baal et Nadab
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
et Gedor et Ahio et Zacher.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Et Micloth engendra Simea et eux aussi habitaient en face de leurs frères à Jérusalem avec leurs frères.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Et Ner engendra Kis, et Kis engendra Saül, et Saül engendra Jonathan et Maleki-Sua et Abinadab et Esbaal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Et le fils de Jonathan fut Meribbaal, et Meribbaal engendra Micha.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Et les fils de Micha sont: Pithon et Mélech et Thaërèa et Achaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Et Achaz engendra Joadda, et Joadda engendra Alemeth et Azmaveth et Zimri, et Zimri engendra Motsa.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Et Motsa engendra Binea, dont le fils fut Rapha qui ont pour fils Eleasa, dont le fils fut Atsel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Et Atsel eut six fils dont les noms suivent: Azricam, Bochru et Ismaël et Séaria et Obadia et Hanan: tout autant de fils de Atsel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Et les fils de Esec son frère: Ulam, son premier-né, Jeüs, le second, et Elipheleth, le troisième.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Et les fils d'Ulam furent de braves guerriers, bandant l'arc, et ils eurent beaucoup de fils et de petits-fils, cent cinquante. Tous ceux-là sont d'entre les fils de Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >