< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamin engendra Béla, son premier-né, Asbel le second, Ahara le troisième,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Nohaa, le quatrième et Rapha le cinquième. —
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Les fils de Béla furent: Addar, Géra, Abiud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abisué, Naaman, Ahoé,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Géra, Séphuphan, et Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Voici les fils d'Ahod: — ils étaient chefs des familles qui habitaient Gabaa, et ils les déportèrent à Manahath —:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naaman, Achia et Géra; c'est lui qui les déporta, et il engendra Oza et Ahiud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Saharaïm eut des enfants au pays de Moab, après qu'il eut renvoyé ses femmes Husim et Bara.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Il eut de Hodès, sa femme: Jobab, Sébia, Mosa, Molchom,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jéhus, Séchia et Marma; ce sont là ses fils, chefs de familles.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Il eut de Husim: Abitob et Elphaal. —
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Fils d'Elphaal: Héber, Misaam et Samad, qui bâtit Ono, Lod et les villes de sa dépendance.
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Baria et Sama, chefs des familles qui habitaient Aïalon, mirent en fuite les habitants de Geth.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Ahio, Sésac, Jérimoth,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zabadia, Arod, Héder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Michaël, Jespha et Joha étaient fils de Baria. —
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zabadia, Mosollam, Hézéci, Héber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Jésamari, Jezlia et Jobab étaient fils d'Elphaal. —
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Jacim, Zéchri, Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elioénaï, Séléthaï, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaïa, Baraïa et Samarath étaient fils de Séméï. —
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Jesphan, Héber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zéchri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hanania, Elam, Anathothia,
25 Ifdeya na Penueli.
Jephdaïa et Phanuel étaient fils de Sésac. —
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Samsari, Sohoria, Otholia,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jersia, Elia et Zéchri, étaient fils de Jéroham. —
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Ce sont là des chefs de famille, des chefs selon leurs générations; ils habitaient à Jérusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Le père de Gabaon habitait à Gabaon, et le nom de sa femme était Maacha.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Son fils premier-né, Abdon, puis Sur, Cis, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gédor, Ahio et Zacher.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Macelloth engendra Samaa. Ils habitèrent aussi près de leurs frères à Jérusalem, avec leurs frères. —
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner engendra Cis; Cis engendra Saül; Saül engendra Jonathan, Melchisua, Abinadab et Esbaal. —
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Fils de Jonathan: Méribbaal; Méribbaal engendra Micha. —
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Fils de Micha: Phiton, Mélech, Tharaa et Achaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Achaz engendra Joada; Joada engendra Alamath, Azmoth et Zamri; Zamri engendra Mosa.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Mosa engendra Banaa; Rapha, son fils; Elasa, son fils; Asel, son fils.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Asel eut six fils, dont voici les noms: Ezricam, Bocru, Ismaël, Saria, Obdia et Hanan: tous ceux-là étaient fils d'Asel. —
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Fils d'Esec, son frère: Ulam, son premier-né, Jéhus le deuxième, et Eliphalet le troisième.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Les fils d'Ulam furent de vaillants hommes, tirant de l'arc, et ils eurent beaucoup de fils, et de petits-fils, cent cinquante. Tous ceux-là sont des fils de Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >