< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjaminille syntyi esikoisena Bela, toisena Asbel, kolmantena Ahrah,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
neljäntenä Nooha ja viidentenä Raafa.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Ja Belalla oli pojat: Addar, Geera, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abisua, Naaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Geera, Sefufan ja Huuram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Ja nämä olivat Eehudin pojat-nämä olivat Geban asukkaiden perhekunta-päämiehet. Heidät siirrettiin pois Manahatiin,
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
niin myös Naaman, Ahia ja Geera; hän siirsi heidät pois. Hänelle syntyi Ussa ja Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Ja Saharaimille syntyi Mooabin maassa, sittenkuin hän oli hyljännyt vaimonsa Huusimin ja Baaran,
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
hänelle syntyi hänen vaimostaan Hoodeksesta Joobab, Sibja, Meesa, Malkam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeus, Sokja ja Mirma; nämä olivat hänen poikiansa, perhekunta-päämiehiä.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Ja Huusimista oli hänelle syntynyt Abitub ja Elpaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Ja Elpaalin pojat olivat Eeber, Misam ja Semed. Tämä rakensi Oonon ja Loodin ynnä sen tytärkaupungit.
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Beria ja Sema olivat Aijalonin asukasten perhekunta-päämiehiä; ja he karkoittivat Gatin asukkaat,
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
he ja Ahjo, Saasak ja Jeremot.
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Ja Sebadja, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Miikael, Jispa ja Jooha olivat Berian poikia.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Ja Sebadja, Mesullam, Hiski, Heber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Jismerai, Jislia ja Joobab olivat Elpaalin poikia.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Ja Jaakim, Sikri, Sabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienai, Silletai, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaja, Beraja ja Simrat olivat Siimein poikia.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Ja Jispan, Eder, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Sikri, Haanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananja, Eelam, Antotia,
25 Ifdeya na Penueli.
Jifdeja ja Penuel olivat Saasakin poikia.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Ja Samserai, Seharja, Atalja,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaaresja, Elia ja Sikri olivat Jerohamin poikia.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Nämä olivat perhekunta-päämiehiä, päämiehiä polveutumisensa mukaan; he asuivat Jerusalemissa.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Gibeonissa asui Gibeonin isä, jonka vaimon nimi oli Maaka.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Ja hänen esikoispoikansa oli Abdon, sitten Suur, Kiis, Baal, Naadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gedor, Ahjo ja Seker.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Ja Miklotille syntyi Simea. Hekin asuivat veljinensä Jerusalemissa, rajakkain veljiensä kanssa.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ja Neerille syntyi Kiis, Kiisille syntyi Saul, ja Saulille syntyi Joonatan, Malkisua, Abinadab ja Esbaal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Ja Joonatanin poika oli Meribbaal, ja Meribbaalille syntyi Miika.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Ja Miikan pojat olivat Piiton, Melek, Tarea ja Aahas.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ja Aahaalle syntyi Jooadda, Jooaddalle syntyi Aalemet, Asmavet ja Simri. Ja Simrille syntyi Moosa.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Ja Moosalle syntyi Binea; hänen poikansa oli Raafa, tämän poika Elasa ja tämän poika Aasel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Ja Aaselilla oli kuusi poikaa, ja nämä ovat heidän nimensä: Asrikam, Bookeru, Jismael, Searja, Obadja ja Haanan. Nämä kaikki olivat Aaselin poikia.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Ja Eesekin, hänen veljensä, pojat olivat: hänen esikoisensa Uulam, toinen Jeus ja kolmas Elifelet.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Ja Uulamin pojat olivat sotaurhoja, jousen jännittäjiä, ja heillä oli paljon poikia ja poikien poikia, sataviisikymmentä. Nämä kaikki ovat benjaminilaisia.

< 1 Nyakati 8 >