< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
亚当生塞特;塞特生以挪士;
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
以挪士生该南;该南生玛勒列;玛勒列生雅列;
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
雅列生以诺;以诺生玛土撒拉;玛土撒拉生拉麦;
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
拉麦生挪亚;挪亚生闪、含、雅弗。
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
雅弗的儿子是歌篾、玛各、玛代、雅完、土巴、米设、提拉。
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
歌篾的儿子是亚实基拿、低法、陀迦玛。
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
雅完的儿子是以利沙、他施、基提、多单。
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
含的儿子是古实、麦西、弗、迦南。
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
古实的儿子是西巴、哈腓拉、撒弗他、拉玛、撒弗提迦。拉玛的儿子是示巴、底但。
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
古实生宁录;他为世上英雄之首。
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
麦西生路低人、亚拿米人、利哈比人、拿弗土希人、
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
帕斯鲁细人、迦斯路希人、迦斐托人;从迦斐托出来的有非利士人。
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
迦南生长子西顿,又生赫
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
和耶布斯人、亚摩利人、革迦撒人、
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
希未人、亚基人、西尼人、
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
亚瓦底人、洗玛利人,并哈马人。
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
闪的儿子是以拦、亚述、亚法 撒、路德、亚兰、乌斯、户勒、基帖、米设。
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
亚法撒生沙拉;沙拉生希伯。
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
希伯生了两个儿子:一个名叫法勒,因为那时人就分地居住;法勒的兄弟名叫约坍。
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
约坍生亚摩答、沙列、哈萨玛非、耶拉、
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
哈多兰、乌萨、德拉、
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
以巴录、亚比玛利、示巴、
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
阿斐、哈腓拉、约巴。这都是约坍的儿子。
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
闪生亚法撒;亚法撒生沙拉;
25 Eberi, Pelegi, Reu,
沙拉生希伯;希伯生法勒;法勒生拉吴;
26 Serugi, Nahori, Tera,
拉吴生西鹿;西鹿生拿鹤;拿鹤生他拉;
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
他拉生亚伯兰,亚伯兰就是亚伯拉罕。
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
亚伯拉罕的儿子是以撒、以实玛利。
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
以实玛利的儿子记在下面:以实玛利的长子是尼拜约,其次是基达、押德别、米比衫、
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
米施玛、度玛、玛撒、哈达、提玛、
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
伊突、拿非施、基底玛。这都是以实玛利的儿子。
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
亚伯拉罕的妾基土拉所生的儿子,就是心兰、约珊、米但、米甸、伊施巴、书亚。约珊的儿子是示巴、底但。
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
米甸的儿子是以法、以弗、哈诺、亚比大、以勒大。这都是基土拉的子孙。
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
亚伯拉罕生以撒;以撒的儿子是以扫和以色列。
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
以扫的儿子是以利法、流珥、耶乌施、雅兰、可拉。
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
以利法的儿子是提幔、阿抹、洗玻、迦坦、基纳斯、亭纳、亚玛力。
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
流珥的儿子是拿哈、谢拉、沙玛、米撒。
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
西珥的儿子是罗坍、朔巴、祭便、亚拿、底顺、以察、底珊。
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
罗坍的儿子是何利、荷幔;罗坍的妹子是亭纳。
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
朔巴的儿子是亚勒文、玛拿辖、以巴录、示非、阿南。祭便的儿子是亚雅、亚拿。
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
亚拿的儿子是底顺。底顺的儿子是哈默兰、伊是班、益兰、基兰。
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
以察的儿子是辟罕、撒番、亚干。底珊的儿子是乌斯、亚兰。
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
以色列人未有君王治理之先,在以东地作王的记在下面:有比珥的儿子比拉,他的京城名叫亭哈巴。
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
比拉死了,波斯拉人谢拉的儿子约巴接续他作王。
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
约巴死了,提幔地的人户珊接续他作王。
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
户珊死了,比达的儿子哈达接续他作王。这哈达就是在摩押地杀败米甸人的,他的京城名叫亚未得。
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
哈达死了,玛士利加人桑拉接续他作王。
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
桑拉死了,大河边的利河伯人扫罗接续他作王。
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
扫罗死了,亚革波的儿子巴勒·哈南接续他作王。
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
巴勒·哈南死了,哈达接续他作王。他的京城名叫巴伊,他的妻子名叫米希她别,是米·萨合的孙女,玛特列的女儿。
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
哈达死了,以东人的族长有亭纳族长、亚勒瓦族长、耶帖族长、
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
亚何利巴玛族长、以拉族长、比嫩族长、
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
基纳斯族长、提幔族长、米比萨族长、
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
玛基叠族长、以兰族长。这都是以东人的族长。

< 1 Nyakati 1 >