< Nehemías 11 >

1 Y los gobernantes del pueblo vivían en Jerusalén, el resto del pueblo seleccionó, por decisión fortuita, uno de cada diez para vivir en Jerusalén, el pueblo santo; Los otros nueve para ir a los otros pueblos.
Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
2 Y el pueblo dio una bendición a todos los hombres que se ofrecían libremente a ocupar sus lugares en Jerusalén.
Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
3 Estos son los jefes de las provincias del país que vivían en Jerusalén; pero en las ciudades de Judá todos vivían de su herencia en las ciudades, es decir, Israel, los sacerdotes, los levitas, los Servidores del templo y los hijos de los siervos de Salomón.
Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
4 Y en Jerusalén vivían algunos de los hijos de Judá y de Benjamín. De los hijos de Judá: Ataias, hijo de Uzías, hijo de Zacarías, hijo de Amarías, hijo de Sefatías, hijo de Mahalaleel, de los hijos de Fares;
Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
5 Y Maasías, hijo de Baruc, hijo de Col-hoze, hijo de Hazaías, hijo de Adaías, hijo de Joiarib, hijo de Zacarías, hijo de Siloni.
Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
6 Todos los hijos de Fares que vivían en Jerusalén eran cuatrocientos sesenta y ocho hombres valientes.
Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
7 Y estos son los hijos de Benjamín: Salú, el hijo de Mesulam, el hijo de Joed, el hijo de Pedaias, el hijo de Colaias, el hijo de Maasias, el hijo de Itiel, el hijo de Jesaias.
Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
8 Y después de él, Gabai, Salai, novecientos veintiocho.
Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
9 Y Joel, el hijo de Zicri, fue su supervisor; y Judá, el hijo de Senua, fue segundo sobre la ciudad.
Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
10 De los sacerdotes: Jedaías, hijo de Joiarib, Jaquin,
Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
11 Seraías, hijo de Hilcías, hijo de Mesulam, hijo de Sadoc, hijo de Meraiot, hijo de Ahitob, jefe del templo de Dios.
Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
12 Y sus hermanos que hicieron el trabajo de la casa, ochocientos veintidós; Y Adaías, hijo de Jeroham, hijo de Pelalias, hijo de Amsi, hijo de Zacarías, hijo de Pasur, hijo de Malquias.
na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, ​​mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
13 Y sus hermanos, jefes de familias, doscientos cuarenta y dos; Amasai, hijo de Azareel, hijo de Azai, hijo de Mesilemot, hijo de Imer,
Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
14 Y sus hermanos varones de guerra, ciento veintiocho; y su supervisor fue Zabdiel, el hijo de Gedolim.
na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
15 Y de los levitas: Semaías, hijo de Hasub, hijo de Azricam, hijo de Hasabías, hijo de Buni.
Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
16 Y Sabetai y Jozabad, de los jefes de los levitas, que eran responsables de la obra exterior del templo de Dios;
na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
17 Y Matanias, el hijo de Micaia, el hijo de Zabdi, el hijo de Asaf, quien tuvo que dar la primera nota del canto de alabanza y acción de gracias, y Bacbuquias, él segundo entre sus hermanos, y Abda, hijo de Samua, hijo de Galal, hijo de Jedutún.
Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
18 Todos los levitas en el pueblo santo eran doscientos ochenta y cuatro.
Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
19 Además, los encargados de las puertas, Acub, Talmon y sus hermanos que vigilaban las puertas, eran ciento setenta y dos.
Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
20 Y el resto de Israel, de los sacerdotes, los levitas, estaban en todos los pueblos de Judá, cada uno en su heredad.
Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
21 Pero los sirvientes del templo habitaban en Ofel; y Ziha y Gispa estaban sobre los sirvientes del templo.
Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
22 Y el supervisor de los levitas en Jerusalén era Uzi, el hijo de Bani, el hijo de Hasabias, el hijo de Matanias, el hijo de Micaia, de los hijos de Asaf, los creadores de música, que estaban sobre la obra del templo de Dios.
Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
23 Porque había una orden del rey sobre ellos y una cantidad regular para los creadores de música, para sus necesidades día a día.
Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
24 Y Petaias, el hijo de Mesezabeel, de los hijos de Zera, el hijo de Judá, fue el siervo del rey en todo lo relacionado con el pueblo.
Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
25 Y para las aldeas con sus campos, algunos de los hombres de Judá vivían en Quiriat-arba y sus aldeas, en Dibón y sus aldeas, y en Jecabseel y sus aldeas.
Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
26 Y en Josué, en Molada, Bet-pelet,
Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
27 Y en Hazar-sual, y en Beer-seba y sus aldeas,
Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
28 Y en Siclag, en Mecona y sus aldeas,
Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
29 Y en En-rimon, en Zora, y en Jarmut,
Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
30 Zanoa, Adulam y sus aldeas, Laquis y sus campos, Azeca y sus aldeas. Así que vivían desde Beer-seba hasta el valle de Hinom.
Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
31 Y los hijos de Benjamín vivían de Geba, en Micmas, en Aia, y en Bet-el y sus aldeas.
Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
32 En Anatot, Nob, Ananias,
Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
33 Hazor, Ramá, Gitaim,
Hazori, Rama, Gitaimu,
34 Hadid, Seboim, Nebalat,
Hadidi, Seboimu, Nebalati,
35 Lod y Ono, el valle de los artífices.
Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
36 Y de los levitas, ciertas divisiones en los repartimientos de Judá y de Benjamín.
Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.

< Nehemías 11 >