< Levítico 18 >

1 Y él Señor dijo a Moisés:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
2 Di a los hijos de Israel: Yo soy el Señor, tu Dios.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
3 No puedes hacer lo que se hizo en la tierra de Egipto donde estaban viviendo; y no pueden hacer las cosas que se hacen en la tierra de Canaán a donde los llevo, ni ser guiados en su comportamiento por sus reglas.
Msitende mambo ambayo watu wa Misri huyatenda, mahali mlikokuwa mkiishi awali. Na ni lazima msitende mambo yale wanayoyatenda watu wa Kanaani, nchi ambayo ninawapeleka nyinyi. Msifuate desturi zao.
4 Pero tú debes ser guiado por mis decisiones y guardar mis reglas, y ser guiado por ellas: Yo soy el Señor tu Dios.
Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
5 Así que guarde mis reglas y mis decisiones, las cuales, si un hombre las cumple, serán para él la vida: Yo soy el Señor.
Kwa hiyo ni lazima mzitunze hukumu zangu na sheria zangu. Ikiwa mtu amezitii, ataishi kwa sababu ya hizo. Mimi Ndimi Yahweh.
6 Ningún hombre debe tener relaciones sexuales con alguien de su propia familia: Yo soy el Señor.
Pasiwepo kwenu atakayelala na yeyote aliye na uhusiano wa karibu naye. Mimi ndimi Yahweh.
7 No tendrás relaciones sexuales con tu padre o tu madre es tu madre, no descubrirás su desnudez.
Usimfedheheshe baba yako kwa kulala na mama yako. Yeye ni mama yako! Haikupasi kumfedhehesha yeye.
8 No tendrás relaciones sexuales con la esposa de tu padre: ella es la esposa de tu padre.
Usilale na yeyote wa wake za baba yako; Usimfedheheshe namna hiyo baba yako.
9 No tendrás relaciones sexuales con tu hermana, la hija de tu padre o de tu madre, dondequiera que haya tenido lugar su nacimiento, entre ustedes o en otro país.
Usilale na yeyote aliye mmoja miongoni mwa dada zako, ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako, ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe. Usilale na dada zako.
10 No tendrás relaciones sexuales con la hija de tu hijo, o la hija de tu hija, ya que son parte de ti;
Usilale na binti ya mwanao, au binti ya binti yako. Hiyo ingekuwa aibu yako mwenyewe.
11 O la hija de la esposa de tu padre, la hija de tu padre, porque ella es tu hermana.
Usilale na binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa kwa baba yako, yeye ni dada yako, na usilale naye.
12 No tendrás relaciones sexuales con la hermana de tu padre, porque ella es tu tía.
Usilale na dada ya baba yako. Yeye ni ndugu wa karibu kwa baba yako.
13 No tendrás relaciones sexuales con la hermana de tu madre, ya que es parienta cercana de tu madre.
Usilale na dada ya mama yako. Yeye ni ndugu wa mama yako.
14 No tendrás relaciones sexuales con la esposa del hermano de tu padre, porque ella es de tu tía;
Usimfedheheshe ndug wa baba yako kwa kulala na mke wake. Usimkaribie kwa kusudi hilo; yeye ni shangazi yako.
15 O de tu nuera, porque ella es la esposa de tu hijo.
Usilale na binti- mkwe wako, Yeye ni mke wa mwanao; usilale naye.
16 No tendrás relaciones sexuales con la esposa de tu hermano; porque es la desnudez de tu hermano.
Usilale na mke wa kaka yako; usije ukamfedhesha yeye katika njia hii.
17 No tendrás relaciones sexuales con una mujer y su hija, ni con la hija de su hijo ni con la hija de su hija; no descubrirás su desnudez, porque son de una sola familia: es una conducta depravada.
Usilale na mwanamke kisha na binti yake, au binti wa mwanawe au binti wa binti yake. Hao ni ndugu zake wa karibu, na kulala nao lingekuwa ni uovu.
18 No tendrás relaciones sexuales con una mujer y al mismo tiempo a su hermana, mientras que la otra esté viva.
Usimwoe dada ya mke wako kuwa mke wako wa pili na kulala naye wakati bado mke wako wa kwanza angali hai.
19 Y no puedes acercarte a una mujer o tener relaciones sexuales con ella cuando está en su periodo menstrual.
Usilale na mwanamke wakati wake wa hedhi.
20 No tengas relaciones sexuales con la esposa de tu vecino, haciéndote impuro con ella.
Yeye ni najisi kwa wakati huo. Usilale na mke wa jilani yako na kujichafua mwenyewe kwake katika njia hii.
21 Y no puedes hacer que ninguno de tus hijos atraviese el fuego como ofrenda a Molec, y no ofendas así el nombre de tu Dios: Yo soy el Señor.
Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto, ili kwamba muwatoe sadaka kwa Moleki, kwa sababu msije mkalinajisi jina la Mungu wenu. Mimi ndimi Yahweh.
22 No tengas relaciones sexuales con hombres, como lo hace con las mujeres: es algo depravado.
Usilale na mwanaume mwingine kama ulalavyo na mwanamke. Jambo hili lingekuwa uovu.
23 No tengas relaciones sexuales con una bestia, haciéndote impuro; y una mujer no puede entregarse a una bestia: es un acto perverso.
Usilale na myama yeyote na kujitia unajisi kwake. Haimpasi mwanamke kufikiria kulala na mnyama ye yote. Huo ungekuwa upotovu.
24 No se hagan inmundo de ninguna de estas maneras; porque así lo han hecho aquellas naciones de las que estoy expulsando de la presencia de ustedes:
Msijichafue wenyewe katika njia hizi, kwa kuwa katika njia hizi mataifa yamechafuliwa, mataifa ambayo Nitayafukuza yatoke kwa ajili yenu.
25 Y la tierra misma se ha vuelto impura; de modo que le he enviado la recompensa por sus malas acciones, y la tierra misma arrojó de sí a sus habitantes.
Ni kwa sababu nchi imenajisiwa, hivyo niliiadhibu dhambi yao, nayo nchi ikawatapika wakazi wake
26 Entonces, guarden mis reglas y mis decisiones, y no haga ninguna de estas cosas repugnantes, aquellos de ustedes que son israelitas de nacimiento, o cualquier otro que esté viviendo con ustedes:
Kwa hiyo, yawapasa kuzishika amri zangu na maagiza yangu, na msifanye aina yoyote ya mambo haya ya machukizo, wala Mwisraeli mzaliwa au Mgeni aishie miongoni mwenu.
27 Porque todas estas abominaciones fueron hechas por los hombres de este país que estaban allí antes que ustedes, y la tierra ha sido impura por ellos;
Kwa kuwa ni uovu huu ambao watu wametenda, wale ambao waliishi hapa kabla yenu, na sasa nchi imenajisiwa.
28 Para que la tierra no te saque de ella, por hacerla impura, como echó fuera a las naciones que estaban allí antes que ustedes.
Kwa hiyo, muwe waangalifu ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu waliokuwako kabla yenu.
29 Porque todos los que hagan cualquiera de estas abominaciones serán separados de entre su gente.
Yeyote anayefanya mambo haya ya kuchukiza, watu wafanyao mambo hayo ya kuchukiza lazima watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao.
30 Entonces, mantén mis órdenes, para que no puedas hacer ninguna de estas costumbres abominables que se hicieron antes de ustedes, o se contaminen a través de ellas: Yo soy el Señor su Dios.
Kw a hiyo inawapasa kuzishika amri zangu na sitende mojawapo ya desturi hizi zenyekuchukiza ambazo zilitendwa hapo kabla yenu, ili msijinajisi wenyewe kwa hizo. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.

< Levítico 18 >