< Salmos 1 >

1 BIENAVENTURADO el varón que no anduvo en consejo de malos, ni estuvo en camino de pecadores, ni en silla de escarnecedores se ha sentado;
Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
2 Antes en la ley de Jehová está su delicia, y en su ley medita de día y de noche.
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
3 Y será como el árbol plantado junto á arroyos de aguas, que da su fruto en su tiempo, y su hoja no cae; y todo lo que hace, prosperará.
Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
4 No así los malos: sino como el tamo que arrebata el viento.
Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Por tanto no se levantarán los malos en el juicio, ni los pecadores en la congregación de los justos.
Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Porque Jehová conoce el camino de los justos; mas la senda de los malos perecerá.
Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.

< Salmos 1 >