< Salmos 87 >

1 A los hijos de Coré: Salmo: Canción. SU cimiento es en montes de santidad.
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 Ama Jehová las puertas de Sión más que todas las moradas de Jacob.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 Cosas ilustres son dichas de ti, ciudad de Dios. (Selah)
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 Yo me acordaré de Rahab y de Babilonia entre los que me conocen: he aquí Palestina, y Tiro, con Etiopía: éste nació allá.
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 Y de Sión se dirá: Este y aquél han nacido en ella; y fortificarála el mismo Altísimo.
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 Jehová contará cuando se escribieren los pueblos: Este nació allí. (Selah)
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 Y cantores y tañedores [en ella dirán]: Todas mis fuentes estarán en ti.
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”

< Salmos 87 >