< Salmos 49 >

1 Al Músico principal: Salmo para los hijos de Coré. OID esto, pueblos todos; escuchad, habitadores todos del mundo:
Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
2 Así los plebeyos como los nobles, el rico y el pobre juntamente.
wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
3 Mi boca hablará sabiduría; y el pensamiento de mi corazón inteligencia.
Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4 Acomodaré á ejemplos mi oído: declararé con el arpa mi enigma.
Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5 ¿Por qué he de temer en los días de adversidad, cuando la iniquidad de mis insidiadores me cercare?
Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
6 Los que confían en sus haciendas, y en la muchedumbre de sus riquezas se jactan,
Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
7 Ninguno de [ellos] podrá en manera alguna redimir al hermano, ni dar á Dios su rescate.
Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8 (Porque la redención de su vida es de gran precio, y no se hará jamás; )
Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
9 Que viva adelante para siempre, y nunca vea la sepultura.
Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
10 Pues se ve que mueren los sabios, así como el insensato y el necio perecen, y dejan á otros sus riquezas.
Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
11 En su interior [tienen] que sus casas [serán] eternas, y sus habitaciones para generación y generación: llamaron sus tierras de sus nombres.
Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
12 Mas el hombre no permanecerá en honra: es semejante á las bestias que perecen.
Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
13 Este su camino es su locura: con todo, corren sus descendientes por el dicho de ellos. (Selah)
Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
14 Como rebaños serán puestos en la sepultura; la muerte se cebará en ellos; y los rectos se enseñorearán de ellos por la mañana: y se consumirá su bien parecer en el sepulcro de su morada. (Sheol h7585)
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
15 Empero Dios redimirá mi vida del poder de la sepultura, cuando me tomará. (Selah) (Sheol h7585)
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
16 No temas cuando se enriquece alguno, cuando aumenta la gloria de su casa;
Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
17 Porque en muriendo no llevará nada, ni descenderá tras él su gloria.
Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
18 Si bien mientras viviere, dirá dichosa á su alma: y tú serás loado cuando bien te tratares.
Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
19 Entrará á la generación de sus padres: no verán luz para siempre.
naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
20 El hombre en honra que no entiende, semejante es á las bestias que perecen.
Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.

< Salmos 49 >