< Salmos 3 >

1 Salmo de David, cuando huía de delante de Absalom su hijo. ¡OH Jehová, cuánto se han multiplicado mis enemigos! muchos se levantan contra mí.
Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
2 Muchos dicen de mi vida: No hay para él salud en Dios. (Selah)
Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
3 Mas tú, Jehová, eres escudo alrededor de mí: mi gloria, y el que ensalza mi cabeza.
Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
4 Con mi voz clamé á Jehová, y él me respondió desde el monte de su santidad. (Selah)
Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
5 Yo me acosté, y dormí, y desperté; porque Jehová me sostuvo.
Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
6 No temeré de diez millares de pueblos, que pusieren cerco contra mí.
Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
7 Levántate, Jehová; sálvame, Dios mío: porque tú heriste á todos mis enemigos en la quijada; los dientes de los malos quebrantaste.
Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
8 De Jehová es la salud: sobre tu pueblo será tu bendición. (Selah)
Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.

< Salmos 3 >