< Salmos 16 >

1 Michtham de David. GUÁRDAME, oh Dios, porque en ti he confiado.
Unilinde, Mungu, kwa kuwa nakimbilia kwako kwa ajili ya usalama.
2 Dijiste, [oh alma mía], á Jehová: Tú eres el Señor: mi bien á ti no [aprovecha];
Nami ninasema kwa Yahwe, “Wewe ni Bwana wangu; wema wangu ni bure pasipo wewe.
3 [Sino] á los santos que están en la tierra, y á los íntegros: toda mi afición en ellos.
Kama kwa watakatifu walioko duniani, ndio walio bora; furaha yangu yote iko kwao.
4 Multiplicaránse los dolores de aquellos que sirven diligentes á otro [dios]: no ofreceré yo sus libaciones de sangre, ni en mis labios tomaré sus nombres.
Taabu yao itaongezeka, wale watafutao miungu mingine. Sitamimina sadaka ya damu kwa miungu yao. Wala kuyainua majina yao kwa midomo yao.
5 Jehová es la porción de mi parte y de mi copa; tú sustentarás mi suerte.
Yahwe, wewe ni sehemu ya chaguo langu na kikombe changu. Unaishikilia kesho yangu.
6 Las cuerdas me cayeron en lugares deleitosos, y es hermosa la heredad que me ha tocado.
Mistari iliyo pimwa imelelazwa mahari pa kufurahisha kwa ajili yangu; hakika urithi ufurahishao ni wangu.
7 Bendeciré á Jehová que me aconseja: aun en las noches me enseñan mis riñones.
Nitakubariki Yahwe, wewe unishauliye; hata wakati wa usiku akili zangu za nielekeza.
8 A Jehová he puesto siempre delante de mí: porque está á mi diestra no seré conmovido.
Nimemuweka Yahwe mbele yangu kila wakati, ili nisitikisike kutoka mkono wake wa kuume.
9 Alegróse por tanto mi corazón, y se gozó mi gloria: también mi carne reposará segura.
Kwa hiyo moyo wangu unafuraha, utukufu wangu washangilia. Hakika nitaishi katika usalama.
10 Porque no dejarás mi alma en el sepulcro; ni permitirás que tu santo vea corrupción. (Sheol h7585)
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol h7585)
11 Me mostrarás la senda de la vida: hartura de alegrías hay con tu rostro; deleites en tu diestra para siempre.
Wewe hunifundisha njia ya maisha; furaha tele inakaa katika uwepo wako; furaha inakaa katika mkono wako wa kuume milele!”

< Salmos 16 >