< Salmos 107 >

1 ALABAD á Jehová, porque es bueno; porque para siempre [es] su misericordia.
Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema, upendo wake wadumu milele.
2 Dígan[lo] los redimidos de Jehová, los que ha redimido del poder del enemigo,
Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi, wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,
3 Y los ha congregado de las tierras, del oriente y del occidente, del aquilón y de la mar.
wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali, kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini.
4 Anduvieron perdidos por el desierto, por la soledad sin camino, no hallando ciudad de población.
Baadhi yao walitangatanga jangwani, hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.
5 Hambrientos y sedientos, su alma desfallecía en ellos.
Walikuwa na njaa na kiu, nafsi zao zikadhoofika.
6 Habiendo empero clamado á Jehová en su angustia, librólos de sus aflicciones:
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
7 Y dirigiólos por camino derecho, para que viniesen á ciudad de población.
Akawaongoza kwa njia iliyo sawa hadi mji ambao wangeweza kuishi.
8 Alaben la misericordia de Jehová, y sus maravillas para con los hijos de los hombres.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
9 Porque sació al alma menesterosa, y llenó de bien al alma hambrienta.
kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.
10 Los que moraban en tinieblas y sombra de muerte, aprisionados en aflicción y en hierros;
Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu, wafungwa wakiteseka katika minyororo,
11 Por cuanto fueron rebeldes á las palabras de Jehová, y aborrecieron el consejo del Altísimo,
kwa sababu walikuwa wameasi dhidi ya maneno ya Mungu na kudharau shauri la Aliye Juu Sana.
12 Por lo que quebrantó él con trabajo sus corazones, cayeron y no hubo quien [les] ayudase;
Aliwatumikisha kwa kazi ngumu; walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.
13 Luego que clamaron á Jehová en su angustia, librólos de sus aflicciones.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
14 Sacólos de las tinieblas y de la sombra de muerte, y rompió sus prisiones.
Akawatoa katika giza na huzuni kuu na akavunja minyororo yao.
15 Alaben la misericordia de Jehová, y sus maravillas para con los hijos de los hombres.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
16 Porque quebrantó las puertas de bronce, y desmenuzó los cerrojos de hierro.
kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
17 Los insensatos, á causa del camino de su rebelión y á causa de sus maldades, fueron afligidos.
Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao, wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
18 Su alma abominó toda vianda, y llegaron hasta las puertas de la muerte.
Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
19 Mas clamaron á Jehová en su angustia, y salvólos de sus aflicciones.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
20 Envió su palabra, y curólos, y librólos de su ruina.
Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizo yao.
21 Alaben la misericordia de Jehová, y sus maravillas para con los hijos de los hombres:
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
22 Y sacrifiquen sacrificios de alabanza, y publiquen sus obras con júbilo.
Na watoe dhabihu za kushukuru, na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.
23 Los que descienden á la mar en navíos, y hacen negocio en las muchas aguas,
Wengine walisafiri baharini kwa meli, walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.
24 Ellos han visto las obras de Jehová, y sus maravillas en el profundo.
Waliziona kazi za Bwana, matendo yake ya ajabu kilindini.
25 El dijo, é hizo saltar el viento de la tempestad, que levanta sus ondas.
Kwa maana alisema na kuamsha tufani iliyoinua mawimbi juu.
26 Suben á los cielos, descienden á los abismos: sus almas se derriten con el mal.
Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini, katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.
27 Tiemblan, y titubean como borrachos, y toda su ciencia es perdida.
Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi, ujanja wao ukafikia ukomo.
28 Claman empero á Jehová en su angustia, y líbralos de sus aflicciones.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawatoa kwenye taabu yao.
29 Hace parar la tempestad en sosiego, y se apaciguan sus ondas.
Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono, mawimbi ya bahari yakatulia.
30 Alégranse luego porque se reposaron; y él los guía al puerto que deseaban.
Walifurahi ilipokuwa shwari, naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.
31 Alaben la misericordia de Jehová, y sus maravillas para con los hijos de los hombres.
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
32 Y ensálcenlo en la congregación del pueblo; y en consistorio de ancianos lo alaben.
Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu, na wamsifu katika baraza la wazee.
33 El vuelve los ríos en desierto, y los manantiales de las aguas en secadales;
Yeye aligeuza mito kuwa jangwa, chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,
34 La tierra fructífera en salados, por la maldad de los que la habitan.
nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa, kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.
35 Vuelve el desierto en estanques de aguas, y la tierra seca en manantiales.
Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
36 Y allí aposenta á los hambrientos, y disponen ciudad para habitación;
aliwaleta wenye njaa wakaishi humo, nao wakajenga mji wangeweza kuishi.
37 Y siembran campos, y plantan viñas, y rinden crecido fruto.
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
38 Y los bendice, y se multiplican en gran manera; y no disminuye sus bestias.
Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana, wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.
39 Y luego son menoscabados y abatidos á causa de tiranía, de males y congojas.
Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa kwa kuonewa, maafa na huzuni.
40 El derrama menosprecio sobre los príncipes, y les hace andar errados, vagabundos, sin camino:
Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu, aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.
41 Y levanta al pobre de la miseria, y hace [multiplicar] las familias como [rebaños de] ovejas.
Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao, na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.
42 Vean los rectos, y alégrense; y toda maldad cierre su boca.
Wanyofu wataona na kufurahi, lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.
43 ¿Quién es sabio y guardará estas cosas, y entenderá las misericordias de Jehová?
Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya, na atafakari upendo mkuu wa Bwana.

< Salmos 107 >