< Génesis 10 >

1 ESTAS son las generaciones de los hijos de Noé: Sem, Châm y Japhet, á los cuales nacieron hijos después del diluvio.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
2 Los hijos de Japhet: Gomer, y Magog, y Madai, y Javán, y Tubal, y Meshech, y Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
3 Y los hijos de Gomer: Ashkenaz, y Riphat, y Togorma.
Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
4 Y los hijos de Javán: Elisa, y Tarsis, Kittim, y Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
5 Por éstos fueron repartidas las islas de las gentes en sus tierras, cada cual según su lengua, conforme á sus familias en sus naciones.
Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
6 Los hijos de Châm: Cush, y Mizraim, y Phut, y Canaán.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
7 Y los hijos de Cush: Seba, Havila, y Sabta, y Raama, y Sabtecha. Y los hijos de Raama: Sheba y Dedán.
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
8 Y Cush engendró á Nimrod: éste comenzó á ser poderoso en la tierra.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
9 Este fué vigoroso cazador delante de Jehová; por lo cual se dice: Así como Nimrod, vigoroso cazador delante de Jehová.
Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
10 Y fué la cabecera de su reino Babel, y Erech, y Accad, y Calneh, en la tierra de Shinar.
Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
11 De aquesta tierra salió Assur, y edificó á Nínive, y á Rehoboth, y á Calah,
Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
12 Y á Ressen entre Nínive y Calah; la cual es ciudad grande.
na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
13 Y Mizraim engendró á Ludim, y á Anamim, y á Lehabim, y á Naphtuhim,
Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
14 Y á Pathrusim, y á Casluim, de donde salieron los Filisteos, y á Caphtorim.
Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
15 Y Canaán engendró á Sidón, su primogénito, y á Heth,
Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
16 Y al Jebuseo, y al Amorrheo, y al Gergeseo,
pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
17 Y al Heveo, y al Araceo, y al Sineo,
Mhivi, Mwarki, Msini,
18 Y al Aradio, y al Samareo, y al Amatheo: y después se derramaron las familias de los Cananeos.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
19 Y fué el término de los Cananeos desde Sidón, viniendo á Gerar hasta Gaza, hasta entrar en Sodoma y Gomorra, Adma, y Zeboim hasta Lasa.
Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
20 Estos son los hijos de Châm por sus familias, por sus lenguas, en sus tierras, en sus naciones.
Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
21 También le nacieron hijos á Sem, padre de todos los hijos de Heber, y hermano mayor de Japhet.
Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
22 Y los hijos de Sem: Elam, y Assur, y Arphaxad, y Lud, y Aram.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
23 Y los hijos de Aram: Uz, y Hul, y Gether, y Mas.
Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
24 Y Arphaxad engendró á Sala, y Sala engendró á Heber.
Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
25 Y á Heber nacieron dos hijos: el nombre del uno fué Peleg, porque en sus días fué repartida la tierra; y el nombre de su hermano, Joctán.
Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
26 Y Joctán engendró á Almodad, y á Sheleph, y Hazarmaveth, y á Jera,
Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 Y á Hadoram, y á Uzal, y á Dicla,
Hadoram, Uzali, Dikla,
28 Y á Obal, y á Abimael, y á Seba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
29 Y á Ophir, y á Havila, y á Jobad: todos estos fueron hijos de Joctán.
Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 Y fué su habitación desde Mesa viniendo de Sephar, monte [á la parte] del oriente.
Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
31 Estos fueron los hijos de Sem por sus familias, por sus lenguas, en sus tierras, en sus naciones.
Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
32 Estas son las familias de Noé por sus descendencias, en sus naciones; y de éstos fueron divididas las gentes en la tierra después del diluvio.
Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.

< Génesis 10 >