< 1 Crónicas 1 >

1 ADAM, Seth, Enos,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Cainán, Mahalaleel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoch, Mathusalem, Lamech,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noé, Sem, Châm, y Japhet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Los hijos de Japhet: Gomer, Magog, Dadai, Javán, Tubal, Mesec, y Thiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Los hijos de Gomer: Askenaz, Riphath, y Thogorma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Los hijos de Javán: Elisa, Tharsis, Chîthim, y Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Los hijos de Châm: Chûs, Misraim, Phuth, y Canaán.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Los hijos de Chûs: Seba, Havila, Sabtha, Raema, y Sabtechâ. Y los hijos de Raema: Seba y Dedán.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Chûs engendró á Nimrod: éste comenzó á ser poderoso en la tierra.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Misram engendró á Ludim, Ananim, Laabim, Nephtuim,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Phetrusim y Casluim: de éstos salieron los Filisteos, y los Caphtoreos.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Canaán engendró á Sidón, su primogénito;
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 Y al Hetheo, y al Jebuseo, y al Amorrheo, y al Gergeseo;
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 Y al Heveo, y al Araceo, y al Sineo;
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 Al Aradeo, y al Samareo, y al Hamatheo.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Los hijos de Sem: Elam, Assur, Arphaxad, Lud, Aram, Hus, Hul, Gether, y Mesec.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arphaxad engendró á Sela, y Sela engendró á Heber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Y á Heber nacieron dos hijos: el nombre del uno fué Peleg, por cuanto en sus días fué dividida la tierra; y el nombre de su hermano fué Joctán.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Y Joctán engendró á Elmodad, Seleph, Asarmaveth, y Jera,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 A Adoram también, á Uzal, Dicla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Hebal, Abimael, Seba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ophir, Havila, y Jobab: todos hijos de Joctán.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arphaxad, Sela,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Heber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nachôr, Thare,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Y Abram, el cual es Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Los hijos de Abraham: Isaac é Ismael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Y estas son sus descendencias: el primogénito de Ismael, Nabajoth; después Cedar, Adbeel, Misam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Misma, Duma, Maasa, Hadad, Thema, Jetur, Naphis, y Cedma. Estos son los hijos de Ismael.
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Y Cethura, concubina de Abraham, parió á Zimram, Jocsán, Medán, Madián, Isbac, y á Súa.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Los hijos de Jobsán: Seba y Dedán.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Los hijos de Madián: Epha, Epher, Henoch, Abida, y Eldaa; todos estos fueron hijos de Cethura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Y Abraham engendró á Isaac: y los hijos de Isaac [fueron] Esaú é Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Los hijos de Esaú: Eliphas, Rehuel, Jeus, Jalam, y Cora.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Los hijos de Eliphas: Themán, Omar, Sephi, Hatham, Chênas, Timna, y Amalec.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Los hijos de Rehuel: Nahath, Zera, Samma, y Mizza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Los hijos de Seir: Lotán, Sobal, Sibeón, Ana, Disón, Eser, y Disán.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Los hijos de Lotán: Hori, y Homam: y Timna fué hermana de Lotán.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Los hijos de Sobal: Alian, Manahach, Ebal, Sephi y Oman. Los hijos de Sibehom: Aia y Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Disón fué hijo de Ana: y los hijos de Disón; Hamrán, Hesbán, Ithran y Chêrán.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Los hijos de Eser: Bilham, Zaaván, y Jaacán. Los hijos de Disán: Hus y Arán.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Y estos son los reyes que reinaron en la tierra de Edom, antes que reinase rey sobre los hijos de Israel: Belah, hijo de Beor; y el nombre de su ciudad fué Dinaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Y muerto Belah, reinó en su lugar Jobab hijo de Zera, de Bosra.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Y muerto Jobab, reinó en su lugar Husam, de la tierra de los Themanos.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Muerto Husam, reinó en su lugar Adad hijo de Bedad, el cual hirió á Madián en la campaña de Moab: y el nombre de su ciudad fué Avith.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Muerto Adad, reinó en su lugar Samla, de Masreca.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Muerto también Samla, reinó en su lugar Saúl de Rehoboth, que está junto al río.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Y muerto Saúl, reinó en su lugar Baal-hanán hijo de Achbor.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Y muerto Baal-hanán, reinó en su lugar Adad, el nombre de cuya ciudad fué Pai; y el nombre de su mujer Meetabel, hija de Matred, y ésta de Mezaab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Muerto Adad, sucedieron los duques en Edom: el duque Timna, el duque Alia, el duque Jetheth,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 El duque Oholibama, el duque Ela, el duque Phinón,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 El duque Chênaz, el duque Themán, el duque Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 El duque Magdiel, el duque Iram. Estos fueron los duques de Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Crónicas 1 >