< 1 Crónicas 8 >

1 BENJAMÍN engendró á Bela su primogénito, Asbel el segundo, Ara el tercero,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Noha el cuarto, y Rapha el quinto.
Noha, na Rafa.
3 Y los hijos de Bela fueron Addar, Gera, Abiud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisua, Naamán, Ahoa,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Y Gera, Sephuphim, y Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Y estos son los hijos de Ehud, estos las cabezas de padres que habitaron en Gabaa, y fueron trasportados á Manahath:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 [Es á saber]: Naamán, Achîas, y Gera: éste los trasportó, y engendró á Uzza, y á Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Y Saharaim engendró hijos en la provincia de Moab, después que dejó á Husim y á Baara que eran sus mujeres.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Engendró pues de Chôdes su mujer, á Jobab, Sibias, Mesa, Malchâm,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeus, Sochîas, y Mirma. Estos son sus hijos, cabezas de familias.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Mas de Husim engendró á Abitob, y á Elphaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Y los hijos de Elphaal: Heber, Misam, y Semeb, (el cual edificó á Ono, y á Loth con sus aldeas, )
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Berías también, y Sema, que fueron las cabezas de las familias de los moradores de Ajalón, los cuales echaron á los moradores de Gath;
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Y Ahío, Sasac, Jeremoth;
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zebadías, Arad, Heder;
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Michâel, Ispha, y Joa, hijos de Berías;
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Y Zebadías, Mesullam, Hizchî, Heber;
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Ismari, Izlia, y Jobab, hijos de Elphaal.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Y Jacim, Zichri, Zabdi;
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elioenai, Silithai, Eliel;
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaías, Baraías, y Simrath, hijos de Simi;
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 E Isphán, Heber, Eliel;
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Adón, Zichri, Hanán;
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananía, Belam, Anathothías;
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Iphdaías, y Peniel, hijos de Sasac;
Ifdeia, na Penueli.
26 Y Samseri, Seharías, Atalía;
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaarsías, Elías, Zichri, hijos de Jeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Estos fueron jefes principales de familias por sus linajes, y habitaron en Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 Y en Gabaón habitaron Abiga-baón, la mujer del cual se llamó Maachâ:
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Y su hijo primogénito, Abdón, luego Sur, Chîs, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ahíe, y Zechêr.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Y Micloth engendró á Simea. Estos también habitaron con sus hermanos en Jerusalem, enfrente de ellos.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Y Ner engendró á Cis, y Cis engendró á Saúl, y Saúl engendró á Jonathán, Malchî-súa, Abinadab, y Esbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Hijo de Jonathán fué Merib-baal, y Merib-baal engendró á Michâ.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Los hijos de Michâ: Phitón, Melech, Thaarea y Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Y Ahaz engendró á Joadda; y Joadda engendró á Elemeth, y á Azmaveth, y á Zimri; y Zimri engendró á Mosa;
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Y Mosa engendró á Bina, hijo del cual fué Rapha, hijo del cual [fué] Elasa, cuyo hijo [fué] Asel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Y los hijos de Asel fueron seis, cuyos nombres son Azricam, Bochru, Ismael, Searías, Obadías, y Hanán: todos estos fueron hijos de Asel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Y los hijos de Esec su hermano: Ulam su primogénito, Jehus el segundo, Elipheleth el tercero.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Y fueron los hijos de Ulam hombres valientes y vigorosos, flecheros diestros, los cuales tuvieron muchos hijos y nietos, ciento y cincuenta. Todos estos fueron de los hijos de Benjamín.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Crónicas 8 >