< 1 Crónicas 1 >

1 ADAM, Seth, Enos,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Cainán, Mahalaleel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoch, Mathusalem, Lamech,
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Noé, Sem, Châm, y Japhet.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Los hijos de Japhet: Gomer, Magog, Dadai, Javán, Tubal, Mesec, y Thiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Los hijos de Gomer: Askenaz, Riphath, y Thogorma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Los hijos de Javán: Elisa, Tharsis, Chîthim, y Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Los hijos de Châm: Chûs, Misraim, Phuth, y Canaán.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Los hijos de Chûs: Seba, Havila, Sabtha, Raema, y Sabtechâ. Y los hijos de Raema: Seba y Dedán.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Chûs engendró á Nimrod: éste comenzó á ser poderoso en la tierra.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Misram engendró á Ludim, Ananim, Laabim, Nephtuim,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Phetrusim y Casluim: de éstos salieron los Filisteos, y los Caphtoreos.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Canaán engendró á Sidón, su primogénito;
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 Y al Hetheo, y al Jebuseo, y al Amorrheo, y al Gergeseo;
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 Y al Heveo, y al Araceo, y al Sineo;
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 Al Aradeo, y al Samareo, y al Hamatheo.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Los hijos de Sem: Elam, Assur, Arphaxad, Lud, Aram, Hus, Hul, Gether, y Mesec.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Arphaxad engendró á Sela, y Sela engendró á Heber.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Y á Heber nacieron dos hijos: el nombre del uno fué Peleg, por cuanto en sus días fué dividida la tierra; y el nombre de su hermano fué Joctán.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Y Joctán engendró á Elmodad, Seleph, Asarmaveth, y Jera,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 A Adoram también, á Uzal, Dicla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Hebal, Abimael, Seba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ophir, Havila, y Jobab: todos hijos de Joctán.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Sem, Arphaxad, Sela,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Heber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nachôr, Thare,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Y Abram, el cual es Abraham.
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Los hijos de Abraham: Isaac é Ismael.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 Y estas son sus descendencias: el primogénito de Ismael, Nabajoth; después Cedar, Adbeel, Misam,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Misma, Duma, Maasa, Hadad, Thema, Jetur, Naphis, y Cedma. Estos son los hijos de Ismael.
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Y Cethura, concubina de Abraham, parió á Zimram, Jocsán, Medán, Madián, Isbac, y á Súa.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Los hijos de Jobsán: Seba y Dedán.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Los hijos de Madián: Epha, Epher, Henoch, Abida, y Eldaa; todos estos fueron hijos de Cethura.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Y Abraham engendró á Isaac: y los hijos de Isaac [fueron] Esaú é Israel.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Los hijos de Esaú: Eliphas, Rehuel, Jeus, Jalam, y Cora.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Los hijos de Eliphas: Themán, Omar, Sephi, Hatham, Chênas, Timna, y Amalec.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Los hijos de Rehuel: Nahath, Zera, Samma, y Mizza.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Los hijos de Seir: Lotán, Sobal, Sibeón, Ana, Disón, Eser, y Disán.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Los hijos de Lotán: Hori, y Homam: y Timna fué hermana de Lotán.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Los hijos de Sobal: Alian, Manahach, Ebal, Sephi y Oman. Los hijos de Sibehom: Aia y Ana.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 Disón fué hijo de Ana: y los hijos de Disón; Hamrán, Hesbán, Ithran y Chêrán.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Los hijos de Eser: Bilham, Zaaván, y Jaacán. Los hijos de Disán: Hus y Arán.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 Y estos son los reyes que reinaron en la tierra de Edom, antes que reinase rey sobre los hijos de Israel: Belah, hijo de Beor; y el nombre de su ciudad fué Dinaba.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 Y muerto Belah, reinó en su lugar Jobab hijo de Zera, de Bosra.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Y muerto Jobab, reinó en su lugar Husam, de la tierra de los Themanos.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Muerto Husam, reinó en su lugar Adad hijo de Bedad, el cual hirió á Madián en la campaña de Moab: y el nombre de su ciudad fué Avith.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Muerto Adad, reinó en su lugar Samla, de Masreca.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Muerto también Samla, reinó en su lugar Saúl de Rehoboth, que está junto al río.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Y muerto Saúl, reinó en su lugar Baal-hanán hijo de Achbor.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Y muerto Baal-hanán, reinó en su lugar Adad, el nombre de cuya ciudad fué Pai; y el nombre de su mujer Meetabel, hija de Matred, y ésta de Mezaab.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Muerto Adad, sucedieron los duques en Edom: el duque Timna, el duque Alia, el duque Jetheth,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 El duque Oholibama, el duque Ela, el duque Phinón,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 El duque Chênaz, el duque Themán, el duque Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 El duque Magdiel, el duque Iram. Estos fueron los duques de Edom.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Crónicas 1 >