< Salmos 1 >

1 Bienaventurado el varón, que no anduvo en consejo de malos, ni estuvo en camino de pecadores, ni se asentó en silla de burladores.
Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
2 Mas antes en la ley de Jehová es su voluntad: y en su ley meditará de día y de noche.
Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
3 Y será como el árbol plantado junto a arroyos de aguas, que da su fruto en su tiempo: y su hoja no se marchita, y todo lo que hace, prosperará.
Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
4 No así los malos: sino como el tamo, que lo lanza el viento.
Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Por tanto no se levantarán los malos en el juicio: ni los pecadores en la congregación de los justos.
Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Porque Jehová conoce el camino de los justos: y el camino de los malos se perderá.
Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.

< Salmos 1 >